Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,651
- 588
- Thread starter
- #41
Sasa kwani kuita mafisadi panya we unaumia nini? au na wewe ndio mmojawapo nini? Panya ni panya hawezi kuwa paka.
Nitajie mtu mmoja tu aliwahi kushtakiwa kwa kosa la ufisadi Tanzania. Muite mwizi - mwizi, kisha mkamate umfungulie kesi ya wizi ama sivyo tega mitego ya panya hadi huko mahakamani