Interesting.Nilikua time keeper, sasa aliyenikabidhi hakunielekeza vizuri interval ya vipindi.
Ikawa nikiona muda umepita kidogo naenda kugonga kaka kipindi kimeisha. Sasa mwalimu anafundisha anashangaa kengele kwamba muda umeisha inagongwa...
Siku hiyo nikaitwa ofisini kwa waalimu, kulikua na saa za kuvaa shingoni nilipokua naelekea ofisini nikaibonyeza bonyeza ikawa inaonyesha vitu vya ajabu ajabu. Kufika pale waalimu wakaitazama wakasema itakya battery imeisha. Nikapewa 200. Ni kijijini enzi hizo tunafunga safari kwenda kijiji kingine kununua battery...wakati tunarudi ile kuokota mawe kuwinda ndege njiani, kumbe battery ilishadondoka kitambo.
Hapo ikabidi nitafute timu inipe darasa vipindi vinavyoenda zile dakika arobaini arobaini nisikosee maanake walijua kabisa saa ina battery drama hazitavumulika.
Nilikuwa timekeepr wa shule kipindi nkondarasa la tatu.Nilikua time keeper, sasa aliyenikabidhi hakunielekeza vizuri interval ya vipindi.
Ikawa nikiona muda umepita kidogo naenda kugonga kaka kipindi kimeisha. Sasa mwalimu anafundisha anashangaa kengele kwamba muda umeisha inagongwa...
Siku hiyo nikaitwa ofisini kwa waalimu, kulikua na saa za kuvaa shingoni nilipokua naelekea ofisini nikaibonyeza bonyeza ikawa inaonyesha vitu vya ajabu ajabu. Kufika pale waalimu wakaitazama wakasema itakya battery imeisha. Nikapewa 200. Ni kijijini enzi hizo tunafunga safari kwenda kijiji kingine kununua battery...wakati tunarudi ile kuokota mawe kuwinda ndege njiani, kumbe battery ilishadondoka kitambo.
Hapo ikabidi nitafute timu inipe darasa vipindi vinavyoenda zile dakika arobaini arobaini nisikosee maanake walijua kabisa saa ina battery drama hazitavumulika.
Duuh, naona matimekeeper tumekutana.Nilikuwa timekeepr wa shule kipindi nkondarasa la tatu.
Nilikuwa simuelewi mwalimu wa hisabati so akiingia class basda ya robo saa naenda kugonga kengele anatoka. Akiniuliza nasogeza mbele muda kuwa kioindi kimeisha.
Mwalimu wa kiswahili nilikuwa namuelewa sana so kipindi chake nampa dk 80.
Break tulikuwa tunacheza mpira timu yangu ikiwa imefungwa sigongi kengele mpaka wasawazishe na wafunge la ushindi... Au kama tunaongoza wanataka kusawazisha wapinzani nagonga kengele fasta.
Kwa ufisadi huo wa muda wakajakunifukuza na fimbo za kutosha.