PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Do...hupitwi na jambo?Mkamate Preta muje naye yale makitu yapo kama katoni nne hivi...lol
Do...hupitwi na jambo?Mkamate Preta muje naye yale makitu yapo kama katoni nne hivi...lol
Je, wakati unamhisi Mwita25, Nyani Ngh'abu hukumfikiria? Yaani omba Mungu awe na mabox mangi Leo asipite hapa! Akipita itakubidi tu ufanye edit kwenye original version.
kama vile nakuona mwayego na KITOCHI chako hapo, mtoto mbaya weye hata kuaga, nilijifanya mtabiri nikabashiri kuwa umeenda kwenu Uchagani, kumbe kweli, Usisahau kuniletea Mdizi nikapande huko kwetu Pemba.
sijambo mpenzi....habari ya Noel.....?
No PakaJimmy anywhere!
Usiogope Avatar weye mdada!
Happy Boxing day!
Watu wa kwanza kuja kuniona walikuwa Dena Amsi na Da' AshaDii, walikuwa amenibebea uji lakini ulikuwa na ma-Bujibuji, hata sikuupenda,
Habari za Noel nzuri Mpenzi, karibu tuogelee baharini
nice one murembo,happy holidays.
mamaaa yangu.....ngoja aje akute umemuandika hivyo......
Hivi dawa ya hangover ni nini jamani .......
thanks cheusimangala,usiwe unapotea hivo yaani unaonekana jf mwanzo na mwisho wa mwakanapata picha jana ilikuwaje mama wa kwanza.
supu kamulia ndimu na pilipili kidogo inawasaidia wengi.
Cheu baybe.....Merry Xmas.....
na ndio ikawaje tena banaaa........
Wazee wa mahangover wakiamka hunywa zaidi ili kuiondosha, wengineHivi dawa ya hangover ni nini jamani .......
Mi mzima ubavu wangu. Nakunywa tu kisusio na mbege hapa. Karibu sanaswili hati
hujambo