Loh rekebisha kauli tehJIna lako limekosa mvuto, shairi lingekosa vina........LOL
Kazi naianzia huku. Vijana kibao wameshajipanga kuhakikisha jimbo la hapa moshi mjini linalokaliwa na kibabu cha CDM linarudi mikononi mwa CCM. DSM CDM wameprove failure kwa majimbo waliyopewa ridhaa ya kuyaongoza na wananchi. 2015 yote yanarudi yalipotoka.Rejao hadi akirejea Dar Atakuta CDM Washachukua Nchi
Mmmmh mi natamani ibaki tu ndani usiitoe!naona imeingia lakini nimeshindwa kutoa!
Pole kwa mihangaiko..mimi nipo mapumzikoni tu!@rejao nipo bana mambo mengi tu
Maids wako hamna wa kuwagusa. Inabdi tena uongeze wengine. Naona kuna na aliyejitolea kukubebea kipochi. Excellent nimeshammaliza tayari! Huoni leo kapotea kabisa hapa JF?si excellent huyo
hata maids wangu anataka kuwapangia wizara
Maids wako hamna wa kuwagusa. Inabdi tena uongeze wengine. Naona kuna na aliyejitolea kukubebea kipochi. Excellent nimeshammaliza tayari! Huoni leo kapotea kabisa hapa JF?
My sister wangu, uko vizuri! Hata hivyo ujue kuwa wadaresalaama si wakaribishaji...wanaona utawatia hasara. Shairi lako limetulia!Nilijaribu kuwataja lakini majina yao yakaharibu vina, nilijua tu Mwita25 atamaindi, maana hana dogo!
Mwanaume mlalamishi kaa nini sijui.............. Ghubu tu!