brave Mwafrika
JF-Expert Member
- May 2, 2019
- 248
- 143
- Thread starter
- #161
Asante sana mkuuukiona maramoja usitake kuona mara ya pili ukifanya hivyo HIV na DHAMBI vitakukalia mbali.
ukitokea umemona mwanamke/msichana usigandishe macho yake kwake maana kufanya hivyo utakuwa watengeneza fikra ambazo zitakufanya utake kupata nae faragha, pia ukishamtupa mgongo usitake kujua ya nyuma