brave Mwafrika
JF-Expert Member
- May 2, 2019
- 248
- 143
- Thread starter
- #21
Bad stageKabla ya yote hiyo stage uliyopo inaitwaje?
Bad stageKabla ya yote hiyo stage uliyopo inaitwaje?
Hahahahahahah sio rahisHahahahaha wakikupig mzinga ndiyo utatulia
i
Hilo ni pepo la ngono aka jini mahaba.
Ila kwa jina la YESU ni rahisi sana kuliondoa.
HahahaNa utakufa kweli mbuzi wewe
Asante mkuuWanaume tulivyoumbwa ni kuwa tunavutiwa na uumbwaji wa wanawake,ndivyo tulivyoumbwa na sio wanaume wenzetu,sasa cha muhimu ni kujiepusha na hisia zinazokufanya utamani hao wanawake kwani mwishowe katika huko kuvutiwa kinachofuata ni kutamani na hiyo ni dhambi mbele za Mungu...
Hamna cha pepo hapo. ..Balehe tu hiyo ina-msumbua akikua ataacha
Siwezi kubaka mkuuNi umri tu huo, ukikua kua hiyo hali inatoweka yenyewe, kuwa makini usibake utafungwa
Hivi mkuu balehe inaisha miaka mingapi?
Maana mimi nahisi kama hilo ni tatizo la balahe basi mimi pia haijaisha.
Inamaana sikuizi tunabalehe mara mbilimbilHamna cha pepo hapo. ..Balehe tu hiyo ina-msumbua akikua ataacha
foolish ageKabla ya yote hiyo stage uliyopo inaitwaje?
Its called puberty utaelewa ukifika form 1.Kila mwanamke mzuli nitakae mwona mbele yangu natamani kushiriki nae tendo (sex) aijarishi ni umri gani.
Jamani nifanye nn ili nitoke kwenye hii stage maana binafsi siipendi hii hari na inanitesa sana mwenzenu naitaji msaada wenu wana Jf.
Aise -wewe itakuwa umeshindwa kuji -control tu. ....
Umeshawahi kusikia baadhi ya wazee wakiitwa wazee Vijana? ...yaani wanazeeka huku bado Akili zao Zina waambia bado wao ni damu changa. ...
Mara nyingi huwa wanaanza na Tabia kama hiyo ya kwako --.
Mwisho wa Balehe kwa kijana wa kiume Mara nyingi huwa ni miaka 25
Kata hicho kidole chako cha 21, pita nacho barabarani kuwaonyesha mademu kama alivyofanya mwenzako hivi karibuni, tamaa zote zitakwisha!!Kila mwanamke mzuli nitakae mwona mbele yangu natamani kushiriki nae tendo (sex) aijarishi ni umri gani.
Jamani nifanye nn ili nitoke kwenye hii stage maana binafsi siipendi hii hari na inanitesa sana mwenzenu naitaji msaada wenu wana Jf.
Inamaana sikuizi tunabalehe mara mbilimbil
Na utakufa kweli mbuzi wewe
Sijachukia[emoji23][emoji23] mbona kama umechukia
Nifanye nn mkuu maana siipendi hii hali,ata mausiano siyataki kwa wakati huuAise -wewe itakuwa umeshindwa kuji -control tu. ....
Umeshawahi kusikia baadhi ya wazee wakiitwa wazee Vijana? ...yaani wanazeeka huku bado Akili zao Zina waambia bado wao ni damu changa. ...
Mara nyingi huwa wanaanza na Tabia kama hiyo ya kwako --.
Mwisho wa Balehe kwa kijana wa kiume Mara nyingi huwa ni miaka 25
Sio kufungwa tu, Mvua 30!Ni umri tu huo, ukikua kua hiyo hali inatoweka yenyewe, kuwa makini usibake utafungwa