Jamani mimi ni kijana mwenzenu ntakufa

Jamani mimi ni kijana mwenzenu ntakufa

Hahaha Asante ---Ujana huu wee acha tu ukiuvuka salama ni jambo la kushukuru ---... nakumbuka nilikuwa na gombana sana na rafiki zangu kwaajili ya dada /wanawake zao. ...Yaani nilikuwa na Tabia chafu. ...kiasi kwamba nilikuwa nikikaa mwenyewe peke yangu naanza kujikosoa. ..Yaani kwa kweli nilipitia mambo ya upuuzi "na kwa wakati ule huwa nakubali kuwa nilikuwa mpuuzi -----
[emoji119][emoji119][emoji3]Haya buana
 
Kwanza kabisa cute b nakuomba PM KWANGU kwa interview fupi,

Pili mi nasema kwamba mwanaume ukijiona unatamani kila mwanamke mzuri wa mbele yako basi jua wewe ni rijari we ukipata chance ya kuwapanga wale mkuu kuna watu wanazitamani hizo hisia zako,


Cc zero I Q
Kiranja wao [emoji23][emoji23].
Sasa ashindwe kuwa tafuna.
 
Na kweli agegede daily tu mpaka achubuke
Umejuaje? [emoji23][emoji23][emoji23]si unaona ushauri aliopewa?
Mpaka nanilii ziume.
Kwanza kabisa cute b nakuomba PM KWANGU kwa interview fupi,

Pili mi nasema kwamba mwanaume ukijiona unatamani kila mwanamke mzuri wa mbele yako basi jua wewe ni rijari we ukipata chance ya kuwapanga wale mkuu kuna watu wanazitamani hizo hisia zako,


Cc zero I Q
 
Nadhani kuna kitu hakijawekwa sawa, kutamani ni nini?

Ukimwona mwanamke mzuri ukakubali kwamba ni mzuri, nini kinachokuja kichwani?

Achana na habari ya kusema umtongoze au la, nazungumzia ile hatua ambayo unajikuta unamfanyia assessment na kukibali kwamba analipa, he hiyo hatua unaitofautisha vipi na kutamani?
Binafsi cwez kutofautisha maan nkiisha mkubali tu namtaman
 
Hahah wakware ni watu hatari sana. .mashemeji zao twende. .madada binamu twende. ...Ndugu tu ambao sio wale wa karibu twende. ...

Mara nyingi hawa watu huwa ni heartless
Nadhani hata jamaa alimaanisha hicho kitu, sema kaongeza chumvi.

Wakware kama ulivyosema huwa hawachagui bidhaa, wanabeba kila aina ya abiria kama daladala.
 
Back
Top Bottom