hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 54,396
- 80,352
Hahaa hahaHuyo ni mdogo wangu.
Ningekuwa kwenye ligi ya kumgombania mtu most likely wangeshajitoa.
Hahaa hahaHuyo ni mdogo wangu.
Ningekuwa kwenye ligi ya kumgombania mtu most likely wangeshajitoa.
watu wanatuongezea msongo wa mawazo au sio[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahhahhahahahahaahahah.Yaani sasa mpaka mimi Wana nitia mzuka nianze kukunyapia nyapia. ...Maana najiuliza huyu cute b. .itakuwa ana kitu special ehh? Haiyumkiniki agombaniwe kiasi hiki kama Mpira wa kona
AsanteSubiri angalau ufike miaka 20 hiyo hali itaondoka[emoji41]
Team kujiamini[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo ni mdogo wangu.
Ningekuwa kwenye ligi ya kumgombania mtu most likely wangeshajitoa.
Mi nimegomewa tena kwa herufi kubwa kabisa nisitimbe PM kwa mtuHahahahhahhahahahahaahahah.
Hamna kitu cha uspecial sema sema labda wanaona mteremko.
Aibu nimeona Mimi[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85].Apige pumbu mpaka atembelee magoti
Hahahahhahaha na naniii?Mi nimegomewa tena kwa herufi kubwa kabisa nisitimbe PM kwa mtu
Na wewe una Roho ngumu sana wewe [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125]Hahahahhahaha na naniii?
Team kujiamini[emoji23][emoji23][emoji23]
Tafuta kazi ya kufanya,wewe utakuwa bado ni kula kulala,Kila mwanamke mzuli nitakae mwona mbele yangu natamani kushiriki nae tendo (sex) aijarishi ni umri gani.
Jamani nifanye nn ili nitoke kwenye hii stage maana binafsi siipendi hii hari na inanitesa sana mwenzenu naitaji msaada wenu wana JF.
Unataka kujua kama anashinda nyumban ili ukamwambukize dengue mkuuWewe una umri gani na ratiba zako za kila siku zipoje?
Huwa unakwenda kazini asubuh na kurud jioni Kama wafanyavyo wengine au huwa unashinda nyumbani muda mwingi?
Tuanzie hapo kwanza kabla ya kukupa ushaur
Kutaman tu no kugegedaKwani ww una wagegeda au unawatamani tu.
Kama ni kutaman bas endeleea tu hakina ttzo lolote baya
Hofu yangu kwamba jamaa hajiweki bize na kazi na ndio maana anawawazia sana wanawake na Anashindwa kujizuia.Unataka kujua kama anashinda nyumban ili ukamwambukize dengue mkuu
Ndiyo mambo hadharani habari za kuitana pm zimepitwa na wakati.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na wewe una Roho ngumu sana wewe [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125]
Hahahahahha hahahahahha.Vita yangu unaijua.
Nikishindwa nashindwa kwa sababu yangu mwenyewe na si kwa sababu eti kanishinda.
Bado sana.