Jamani mimi ni kijana mwenzenu ntakufa

Jamani mimi ni kijana mwenzenu ntakufa

Hahaha Asante ---Ujana huu wee acha tu ukiuvuka salama ni jambo la kushukuru ---... nakumbuka nilikuwa na gombana sana na rafiki zangu kwaajili ya dada /wanawake zao. ...Yaani nilikuwa na Tabia chafu. ...kiasi kwamba nilikuwa nikikaa mwenyewe peke yangu naanza kujikosoa. ..Yaani kwa kweli nilipitia mambo ya upuuzi "na kwa wakati ule huwa nakubali kuwa nilikuwa mpuuzi -----
Pole
 
Kila mwanamke mzuli nitakae mwona mbele yangu natamani kushiriki nae tendo (sex) aijarishi ni umri gani.

Jamani nifanye nn ili nitoke kwenye hii stage maana binafsi siipendi hii hari na inanitesa sana mwenzenu naitaji msaada wenu wana JF.
Kwani ww una wagegeda au unawatamani tu.
Kama ni kutaman bas endeleea tu hakina ttzo lolote baya
 
ukiona maramoja usitake kuona mara ya pili ukifanya hivyo HIV na DHAMBI vitakukalia mbali.
ukitokea umemona mwanamke/msichana usigandishe macho yake kwake maana kufanya hivyo utakuwa watengeneza fikra ambazo zitakufanya utake kupata nae faragha, pia ukishamtupa mgongo usitake kujua ya nyuma
 
Usijali ni kawaida...chamsingi ni kujiongoza na kujizuia kadli utakavoweza

Baadae utaona kawaida tuu...

Jiepushe pia na makundi ya washkaji wanopiga sana stori za ngono zilizokithiri

N.B
Ni hali ya kawaida (hasa miaka 17 hadi mwanzoni mwa 20's ndio hukithiri)

Pia kama waangalia video za ngono,acha...zinaweza kua ndio kichocheo kikubwa
Asante sana mkuu
 
Back
Top Bottom