Jamani hivi wanaume mnataka nini kwa wanawake?

Jamani hivi wanaume mnataka nini kwa wanawake?

Kipi kimekufurahisha hivyo mrembo Emmy?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Nimefurahi tu pale alipoamua kuzungumza kwa niaba.

[emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wanawake wa miaka hii wamekuwa wa binafsi sana anataka wa kwake peke yake hawaonei wenzake huruma wakati mpo wengi kuliko sisi, mbona zaman haya mambo kulialia hayakuwepo wazee walikuwa wanajipigia tu mdogo mdogo

Hahaaa. Itakuwa hao wa zamani hawakuwa na pakutolea maduku duku yao ndio sababu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeshakuja na kanyani kako! Kaambie kaache kunitusi na kaondoe mkono kinywani ili nisikie matusi yake [emoji4][emoji4]

[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Nimefurahi tu pale alipoamua kuzungumza kwa niaba.

[emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
Womens are fruits each one with a different flavour, but men love fruit salad
[emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23]

*You get what you work for not What you wish for*
[emoji23] [emoji23] [emoji23] .

Umeamua kuandika kidhungu ili tukuelewe kaka ake.
 
Ndio mkuu.... Kwenye chura mmoo, kwenye chuchu mmoo, kwenye macho mmoo, kwenye mwanya mmoo.... Sasa naona kuna papuchi mtuno namo mmoo sa tuelewe lipi mkuu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] chura,chuchu,mwanya zote mbwembwe mwisho ni hapo bondeni kilipo kizibo cha asali
 
Jibu ni moja na rahisi tu ingawa hamtaki kulielewa na kulikubali.
Mwanaume anataka wanawake na si mwanamke. kama hujaelewa refer umoja na wingi. 😀😀😀😀
Hivyo vingine usafi, tabia, sijui mapishi hayo lazima yawepo mule kwenye wanawake hayawezi kosekana.
 
Ndio mkuu.... Kwenye chura mmoo, kwenye chuchu mmoo, kwenye macho mmoo, kwenye mwanya mmoo.... Sasa naona kuna papuchi mtuno namo mmoo sa tuelewe lipi mkuu
Naona sasa wanataka papuchi mchano
Hizi zinapatikana asia ya kichina thailand singapore malasya nk
Sijajua huku kwetu zipo?
Labda wanataka hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kikubwa nadhani Heshima ndio inabeba kilakitu wanaume tunataka.
vingine vinakuwa ziada tu
 
Hpa tatizo sio kitukikubwa tatizo ninamna mlivyotaka namna yakimausiano yawe pande zote mbili,
1.kujipendekza kuzid vipimo
2. Ulimbuken wa mapenzi
3. Akili ndogo kutawala kubwa
Pendekezo tujiludi mapenzi/mausiano siomchezo wa kamali.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani naomba wanaume mje hapa... Hivi mungu kakupa mke mwema, mchapakazi, msafi, anajituma, anakupenda na bado huna shukrani. Mungu anawaona.

Sent using Jamii Forums mobile app
Swali unalouliza pia wanaume huwa wanajiuliza huwa mnatak nn?
Kwan kam kukuhudumia anatoa mpk bhc ,,,anakufny uish kam malkia ila akianza kukuchnguza mnaanza kusema ukimchunguza bata huwez kumla

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kipande cha Miss Natafuta ni kipande haswa,kwa sababu yule papuchi peke yake ina kilo 25!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kilo 25? njia si ya kutafuta na tochi
 
Back
Top Bottom