- Thread starter
- #41
Nitajuaje kama sipendwi? Kwani mnakuwa mmeweka mabango usoni?Miss muya lets me telling you the truth!!.....kama hupendwi ni hupendwi tu,believe me!![emoji53][emoji53][emoji53]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitajuaje kama sipendwi? Kwani mnakuwa mmeweka mabango usoni?Miss muya lets me telling you the truth!!.....kama hupendwi ni hupendwi tu,believe me!![emoji53][emoji53][emoji53]
Weka picha[emoji4]
Huyo akupendi njoo kwenye eden ya mapenzi huku...utakula pepo mpaka ujute kwanini hukunijua mapema...Love where mans phone is free, No lies, No excuses, All time available na mengine yote unayotamani!
Labda umuazime Miss Natafuta![emoji23] [emoji23] [emoji23]
Amekubali kunikatia kipandeLabda umuazime Miss Natafuta![emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaaaa.missmuya,
Wanaume hatujielewi. Wewe tusamehe tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hata sio ndugu zangu hao ntaenda kufanya nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Unasema kweli?Wala hawajui walitakalo, we wasamehe bure
Jibu zuri sana
Asanteeee.maneno kuntuuuTamaa kaumbiwa binadamu na mapungufu pia kaumbiwa binadamu huwezi jua utakuta katika yote hayo uliyonayo / unayoyafanya bado kuna mapungufu unayo.
Na pia kuna baadhi ya wanaume hawajaumbwa kuridhika hata ufanye nini. Hivyo akili kumkichwa my dear.
Ahaaaaaaaaaaa.kweli?Asante sana.
Mfano, mdogo, angalia kila mtu /mwanaume hapa kwenye hii thread ana kitu anachokitafuta.
Ila mbaya sana, ni kwamba sisi ni rahisi sana kutengeneza hitaji jipya ndani ya mwanamke tuliyenaye .
Sasa likikosekana kwake tunaenda kwengine kulitafuta.
Japo, mi [HASHTAG]#Poise[/HASHTAG], sifanyi hivyo. Mmoja tu kutoka Tanga Line amenitosheleza.
Wengi mpo hivyo ila manjonjo ya kuliamsha dude hamna!Jamani naomba wanaume mje hapa... Hivi mungu kakupa mke mwema, mchapakazi, msafi, anajituma, anakupenda na bado huna shukrani. Mungu anawaona.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23]Kuzuru tu kama mtalii kuona mabashite wa nchi hii pendwa wanatoka kipande ipi ya Tanzania.