- Thread starter
- #21
acha utani
Bado tu upo JF mkuu???
Miss muya lets me telling you the truth!!.....kama hupendwi ni hupendwi tu,believe me!!
Swali la kijinga hujui tunataka papuchi..????Jamani naomba wanaume mje hapa... Hivi mungu kakupa mke mwema, mchapakazi, msafi, anajituma, anakupenda na bado huna shukrani. Mungu anawaona.
Sent using Jamii Forums mobile app
I Betty u might be my lovely blackbeauty msuya..!
hata sio ndugu zangu hao ntaenda kufanya niniKolomije kwa akina Mabashite
UmekoseaaaI Betty u might be my lovely blackbeauty msuya..!
Vijimaelezo yako nikama nakujua msuya wangu mpare au nimekosea??
Aiseee inabidi niwasamee bureeemissmuya,
Wanaume hatujielewi. Wewe tusamehe tu.