Uchaguzi 2020 Jamana Printers, Wapiga kura mil.29 wa Tume ya Uchaguzi, Asilimia 84 za Ushindi wa Magufuli zinazotajwa kila mara na Ali Bashiru na Polepole

Chadema ijipange upya kwa ajili ya uchaguzi wa 2025. Uchaguzi huu wameshashindwa kwa sababu ya sera zao za kupinga maendeleo.
Wagombea wa ccm huwa wanatuambia Tuache Kutegemea Kuajiriwa Na Serikali, Tujitegemee Na Tujiajiri Wenyewe!! Wakati Wao Wanatuomba Kura Ili Tuwape Ajira Waajiriwe Na wananchi.

TUSAIDIANE MAWAZO HAPA VIJANA WENZANGU, HAWA WATU ZIMO KWELI VICHWANI MWAO ?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona ramli zile zile za mwaka 2o15 tulipoambiwa karatasi za kupiga kura zimechapishwa China na ukimpigia Lowassa wino unayeyuka na kuhamia CCM, tukaambiwa tununue kalamu zetu.....Pumbavu sana wapinzani wa Tanzania! nani aliwaroga nyie kwanini mnadhani tunasahau haraka hivi jamani!
Wagombea wa ccm huwa wanatuambia Tuache Kutegemea Kuajiriwa Na Serikali, Tujitegemee Na Tujiajiri Wenyewe!! Wakati Wao Wanatuomba Kura Ili Tuwape Ajira Waajiriwe Na wananchi.

TUSAIDIANE MAWAZO HAPA VIJANA WENZANGU, HAWA WATU ZIMO KWELI VICHWANI MWAO ?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kuandika utopolo wako, eti zoezi la kuboresha daftari la wapiga kura lilikuwa holela?. Wewe kama hukwenda kuhakiki taarifa zako, ni wewe ila watanzania makini 29,188,347 waliboresha taarifa zao na wapo tayari kupiga kura.
Sio tafiti Moja wala mbili za ki mataifa zinazoonyesha ccm itashinda kwa kishindo,hivyo ukiona mgombea wenu pamoja na attention zote anazofanya kadoda usilete povu hapa jukwaani. Kazi za JPM ziko wazi, hata vibaraka na mabeberu mnao washangilia wanakubali kazi imefanyika wewe ni nani hata useme utawasha moto?. Huo moto mnaopanga kuuwasha ndio utakuwa wa kukifutilia mbali hilo genge la wahuni wa saccos, mnaozunguka kuwahadaa watanzania maskini huku mkiwachangisha pesa. Mwisho wenu umefika hiyo Oct 28.
View attachment 1596377
Weka link ya chanzo cha habari hii mkuu nikamuonyeshe jirani yangu Mushi!
 
Hizo propaganda mnazolishana zitawatokea puani. Tangia mwanzo mmeonesha ni chama cha Shari kabisa, kwa sababu kwenu Ubelgiji na kwenye uchaguzi huu mmeona halambi kitu mnataka kuleta zogo. Pamoja na mabeberu wenu ninyi vibaraka, kipondo kipo palepale na huko Ubelgiji mtarudi kwa miguu nawaambia.
View attachment 1596356

Hizi takwimu za mabeberu za nini Tena?
Au kwenye swala hili wanakuwa ni wahisani wa maendeleo?
 
Hizo propaganda mnazolishana zitawatokea puani. Tangia mwanzo mmeonesha ni chama cha Shari kabisa, kwa sababu kwenu Ubelgiji na kwenye uchaguzi huu mmeona halambi kitu mnataka kuleta zogo. Pamoja na mabeberu wenu ninyi vibaraka, kipondo kipo palepale na huko Ubelgiji mtarudi kwa miguu nawaambia.
View attachment 1596356

Utafiti huu ulifanyika kabla ya mwezi Julai 2020, wakati huo game changer Tundu Lissu alikuwa hajawasili toka Ubelgiji.

CCM wakaenda mbali na walijua ukitaka kuimaliza CHADEMA wakati Tundu Lissu hategemewi kurejea nchini ni kumdhoofisha kisiasa Freeman Mbowe mwenyekiti shupavu wa chama kikuu cha upinzani. Watu wasiojulikana wakamvunja mguu Mh. Freeman Mbowe wakajua wamemaliza adhama yao ya kuhakikisha mgombea John Magufuli atabakiwa na wanasiasa wa upinzani wasio na uwezo wa kupambana na CCM kwa hali yoyote ile.

Pia jasusi mbobezi Bernard Membe alikuwa anacheza na CCM kurubuni kwa namna pekee ya kijasusi wananchi ili kuaminisha na kuonesha Tanzania kwa upande wa nafasi ya Urais wa Muungano hakuna anayeweza kupambana na mgombea John Magufuli.

Ghafla waliyekuwa wamemtoa katika uwanja wa picha kubwa ya siasa Tanzania akawasili na kuchaguliwa na mkutano Mkuu wa CHADEMA kuwa mgombea wa nafasi ya urais Muungano.
 
Uchaguzi huu unaenda kuwasha moto nchini..

Tangu Mwanzo watu wamekuwa wakihoji Wapiga kura milioni 29 Tume iliwatoa wapi? Kwa sababu Kwanza muda wa kujiandikisha ulikuwa mfupi sana na Zoezi lenyewe lilifanyika kiholela holela tu...watu wengi, Hasa Wafanyakazi hawakuweza kujiandikisha.

Halaf mara kwa mara unawasikia akina Ali Bashir na Humphrey Polepole kila mara wakitaja kuwa Ushindi wa Magufuli katika Uchaguzi huu Utakuwa ni kwa zaidi ya Asilimia 80%, unajiuliza kivipi? Maana ni Kinyume kabisa na Flow ya mchezo...Kampeni za Mgombea wa CCM zimekuwa na Organisation ya hovyo kuwahi kutokea na Mgombea mwenyewe amekuwa akitembea na highways tu bila kuwafikia Wapiga kura wa maeneo ya pembezoni, Then anafanya Kampeni siku 2 na kupumzika Wiki..

Halaf Fast foward enters Jamana Printers...

Welcome to Jamana Printers Official Website, Number One Printing Solution in Tanzania, Book Printing, Flexo Printing, Catalog Printing, Textbook Printing, Binding & Finishing, Packaging - Jamana Printers

hapa ndo possibly zilipo codes za Wapiga kura mil.29 wa Tume na Asilimia 84% za "Ushindi" wa Madaraja zinazoimbwa kila leo na akina Humphrey Polepole, Ali Bashiru, REDET(soon), Nape Nnauye na wengineo.

Kama Ndivyo hivyo, namwelewa Lissu anaposema nchi hii haitabaki ile Ile tena baada ya Uchaguzi huu, So Much is At stake.
Rubbish
 
Mkuu mtalalamika sana ila ni ujinga wenu unawacost. Wakati wanaandikisha(kuboresha daftari la wapiga kura mlikua mnatoa kauli za dharau,wengine mlisema haina umuhimu mara hamtapiga kura. Mara paaap kaibuka mgombea wa kuwaboost mnajuta na kulalamika visivyolalamikiwa
 
Utafiti huu ulifanyika kabla ya mwezi Julai 2020, wakati huo game changer Tundu Lissu alikuwa hajawasili toka Ubelgiji...
Africa is fighting independence for the second time everywhere. This indigenous colonialists like maccm represent the worst form of colonialism, because they can camouflage as if they have the best interest of people.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu mwaka utaacha historia nchi hii.

Jiwe anajifanya janjajanja sana lakini this time around ajue hawa Wahindi wa Jamana Printers wanaenda kumwingiza CHOO CHA KIKE na atajuta kuwahi kuwa Rais wa Tanzania.....!!!!
Kwenye hii dunia ya Sasa yenye Hi-Technology huwezi kuishi kilaghailaghai kama enzi za Ujima!!
Something big is gonna happen immediately after 28 October, 2020!!! Just stay tuned.
 

Tanzania: Laws weaponized to undermine political and civil freedoms ahead of elections​

12 October 2020, 11:19 UTC
Tanzanian President John Magufuli’s government has built up a formidable arsenal of laws to stifle all forms of dissent and effectively clamp down on the rights to freedom of expression and peaceful assembly ahead of elections on 28 October, Amnesty International said as they launched the report Lawfare – Repression by Law Ahead of Tanzania’s General Elections today.
In recent months, opposition candidates have been arrested on spurious charges that strip them of their right to freedom of assembly, association and movement. At the same time rules aimed at tightening the government’s control over what local and foreign media publish have come into force, violating the right to freedom of expression.
Tanzania has weaponized the law to the point that no one really knows when they are on the right or wrong side of it.
Deprose Muchena, Amnesty International's Director for East and Southern Africa
“Tanzania has weaponized the law to the point that no one really knows when they are on the right or wrong side of it. Politicians have been arrested for holding or attending meetings, media houses suspended and banned, online activism criminalized, and NGOs stifled with endless regulations,” said Deprose Muchena, Amnesty International’s Director for East and Southern Africa.
These laws and regulations, passed in rapid succession with minimal public participation, affect everyone: opposition politicians, government critics, civil society, journalists, artists, musicians, and diplomats.
The use of the law to systemically and deliberately clamp down on people’s inalienable human rights, especially in an election season, is an extremely worrying and unhealthy sign for a country positioning itself for greater growth and development.
Deprose Muchena, Amnesty International's Director for East and Southern Africa
“The use of the law to systemically and deliberately clamp down on people’s inalienable human rights, especially in an election season, is an extremely worrying and unhealthy sign for a country positioning itself for greater growth and development,” said Deprose Muchena.
Opposition clampdown
Joseph Mbilinyi, a candidate with the main opposition party Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) party was arrested and released on 14 August, accused of organizing an “unauthorized demonstration” because he was accompanied by supporters as he collected his nomination papers from the National Elections Commission (NEC) offices in Mbeya.
Seven members of Chadema’s youth wing were on 7 July arrested for “ridiculing the national anthem and flag” among other charges, because they sang the national anthem while hoisting the party flag. They have not been released.
The leader of the opposition Alliance for Change and Transparency (ACT – Mzalendo), Zitto Kabwe, was arrested on 23 June with seven party officials, for holding an “illegal assembly” because they attended an internal party meeting. And on 12 June, he was summoned to explain his meeting with British High Commissioner Sarah Cooke allegedly in contravention of Section 6(C)4 of The Political Parties (Amendment) Act 2019, which states that “a non-citizen shall not participate in the decision making process of a political party with the aim of promoting the objectives of that party”.
The authorities must stop harassing opposition politicians over ridiculous pretexts and instead respect, uphold and facilitate the fulfilment of the rights to liberty, freedom of expression, peaceful assembly and association, to enable them to freely run their campaigns.
Deprose Muchena, Amnesty International's Director for East and Southern Africa
“The authorities must stop harassing opposition politicians over ridiculous pretexts and instead respect, uphold and facilitate the fulfilment of the rights to liberty, freedom of expression, peaceful assembly and association, to enable them to freely run their campaigns,” said Deprose Muchena.
Media targeted
New rules introduced in August require foreign journalists to be chaperoned on assignments by a government official. Tanzanian broadcasters must also seek permission to air content produced by foreign media following an amendment of the Radio and TV Broadcasting regulations on 11 August 2020. The amendment was precipitated by the broadcast of a BBC interview with opposition politician Tundu Lissu by Radio Free Africa, a Tanzanian broadcaster.
Amnesty International has documented the banning of the Tanzania Daima newspaper associated with Chadema’s Freeman Mbowe on 23 June, and the suspension of other media houses, some under the pretext of spreading false information on COVID-19. Kwanza TV, associated with Maria Sarungi-Tsehai, a fierce critic of President Magufuli, was suspended on 6 July for 11 months for publishing a health alert on Tanzania from the US government.
Civil society stifled
Amnesty International documented at least four new laws passed since 2019 restricting NGOs operations. From June 2019, NGOs were required to disclose the source of their funding, and from April 2020 additional guidelines were passed to give government more control over NGOs impeding freedom of association. Supervision of certain NGO functions that had previously been under the Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children is now under the President’s Office, an indication of growing executive influence over NGO operations.
NGOs are now struggling between disclosing extensive information about their work, which undermines the independence required for legitimate human rights work and puts the security of their staff at risk or face being deregistered.
Deprose Muchena, Amnesty International's Director for East and Southern Africa
NGOs are now struggling between disclosing extensive information about their work, which undermines the independence required for legitimate human rights work and puts the security of their staff at risk or face being deregistered,” said Deprose Muchena.
In June, human rights NGOs were banned from undertaking election-related activities while international observers were ordered not to speak about the elections. The Elections Commission on 23 June barred key civil society organizations such as the Tanzania Constitution Forum (TCF), the Legal and Human Rights Centre (LHRC), the Tanzania Human Rights Defenders Coalition (THRDC) and the Tanzania Episcopal Conference (TEC) from conducting voter education. Two of these - THRDC and LHRC cannot train lawyers to handle election petitions as they have previously done.
President Magufuli must urgently reverse the decline in political and civil freedoms in Tanzania and ensure human rights defenders, activists, journalists and civil society organizations can carry out their work freely and independently without fear of reprisals
Deprose Muchena, Amnesty International's Director for East and Southern Africa
“President Magufuli must urgently reverse the decline in political and civil freedoms in Tanzania and ensure human rights defenders, activists and civil society organizations can carry out their work freely and independently without any fear of reprisals,” said Deprose Muchena.
“He must also ensure that his administration respects, protects and promotes human rights before, during and after the elections. Furthermore, he must ensure the prompt, thorough, transparent and effective investigation of any allegations of violations and bring suspected perpetrators to justice.”
Jiwe anajifanya janjajanja sana lakini this time around ajue hawa Wahindi wa Jamana Printers wanaenda kumwingiza CHOO CHA KIKE na atajuta kuwahi kuwa Rais wa Tanzania.....!!!!

Kwenye hii dunia ya Sasa yenye Hi-Technology huwezi kuishi kilaghailaghai kama enzi za Ujima!!
Something big is gonna happen immediately after 28 October, 2020!!! Just stay tuned.
 
Inashangaza mno haiwezekani waliojiandikisha Kupiga kura wafikie 29 million ambayo ni nusu ya watanzania wote!

Hapa ile sheria ya kipuuzi ya CCM na Magufuli wake ya TAKWIMU wanaenda kui-apply.

Hiyo 29 milioni ya Wapiga Kura Ni cooked data/figure.... kwa manufaa ya Magufuli na CCM yake.
Hata hivo safari hii Watz na Dunia nzima wako macho isivo kawaida.
Kuna watu wanakwenda kuadhirika vibaya Sana baada ya Uchaguzi huu...!!!
Bado takribani wiki mbili tuone upepo wa Kisulisuli ukiondoka na bin-adamu waonevu, wajeuri, wakatili na MAKABURU weusi wa nji hii!!
 
Back
Top Bottom