Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,733
- 218,320
Hii hapa ni kata ya Ikoma Jimbo la Rorya Mkoani Mara. Moja ya Kata ambazo zimeteuliwa na kinachoitwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Tanzania katika kinachoitwa maboresho ya Daftari la Kudumu la wapiga kura.
CHADEMA inafuatilia jambo hili ili kutengeneza ushahidi na kujiridhisha na kila kinachotendwa kuona kama kuna lolote jipya au la.
CHADEMA inafuatilia jambo hili ili kutengeneza ushahidi na kujiridhisha na kila kinachotendwa kuona kama kuna lolote jipya au la.