Jaji Mkuu ingilia kati hili la Lema

Jaji Mkuu ingilia kati hili la Lema

Alikufa zamani sana. Ndio wameshape judiciary hapa tz . Tanzania Law Report imejaa wao
Asante mkuu ,pia namkumbuka sana Mtikila alivyo push Bill of human rights ,hawa wazee wawili wamefanya kazi kubwa sana

Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi
 
Hii serikali inakoelekea huko ni kufeli tu.. wameshindwa kuwabana mafisadi eti sijui kufukua makaburi lakini kwenye ishu za masikini ndo wanaweka nguvu zao zote.. sasa kama ishu hii ya Lema na kosa alilofanya sio kupelekea nguvu zote hizo za serikali na muhimili wake.. kuna tatizo sehemu huko juu. Time will tell.
tatizo kuko juu kuna vila*a wengi
 
Mahakama Ifanye Kazi Yake Kwa Huru Isiingiliwe,japo Lema Anatakiwa Ajirekibishe Anaicosty Chama Chake Kwenye Garama Zisizokuwa Na Maana Yeyote Ile
 
Alafu ndoto za rumande nahisi huwa zinatisha, mara ukisogea mbele lazima unaguswa na vinyweleo vya kifua cha mtu ukisonga nyuma hivyo hivyo. Hakuna jaji mkuu yeyote anayeweza kuingilia sakata ili kujichafua maana hakuna nchi dunian ambayo mtu anaweza kuota juu ya kufa kwa rais alafu akashangilia na kusambaza ujumbe akaachwa hivi hivi, hivyo basi ngoja akabebe ndoo kwanza , na akitoka uko kama atabahatika kutoka, atakuwa mnyenyekevu, kwanini asijifunze siasa za ustaarabu kama, Mbowe, Lowassa na Mnyika?
Hata hao waliomuweka hawajanusurika napo huko, waulize mramba na yona lakini kuna kitilya naye.
 
Mboga Ya Nyapara Hiyo, Acha Nyampala Waenjoi Maisha - Kiboga Cha Lema Chaliwa Mubashara Kisongo
Tatizo wewe na mkeo mnaliwa kiboga na mume mwenza ndio maana unakuja kulia humu jamvini.
 
Mkuu hili la Lema limekuja ili iwe wazi, eti kuna watu huwa wanasema kuna mihimili mitatu ya dola, hiyo ni nadharia tu, huwa ninacheka eti mtu akisema iko huru. Sasa kwa hiki kinachoendelea ndio kimeonyesha mahakama haiko huru kama ambavyo huwa tunaaminishwa jambo huwa tunapinga kwa kila hali. Hili halinishangazi sana kwani hiyo ndio namna watawala wa kiafrika hujisikia kweli wako madarakani.
Kwenye nchi za kiafrika mahakama ni kitengo cha kulinda maslahi ya rais aliyepo madarakani period.
 
Ni move ya kishamba sana inayotaka kudhalilisha mahakama , nakuhakikishia mahakama isipojitenga na jambo hili itadhalilika vibaya sana , maana mwisho wa siku Lema atashinda na atakuwa ameishinda Mahakama , polisi , ccm , serikali na washirika wao .
 
Mahakama Ifanye Kazi Yake Kwa Huru Isiingiliwe,japo Lema Anatakiwa Ajirekibishe Anaicosty Chama Chake Kwenye Garama Zisizokuwa Na Maana Yeyote Ile
Lema anafanya Siasa za kijinga na bado anaamini Raisi ni JK,anapaswa kujifunza awatumikie wananchi kama wenzake kina Sugu,Nassari,Prof J,Heche.Siasa za Africa zinajulikana katiba zimewapa watawala madaraka makubwa sana.
 
Mahakama Ifanye Kazi Yake Kwa Huru Isiingiliwe,japo Lema Anatakiwa Ajirekibishe Anaicosty Chama Chake Kwenye Garama Zisizokuwa Na Maana Yeyote Ile
Haki itendeke maana ndio utaratibu wa kikatiba , lakini Lema hajawahi kulamba miguu ya bwege yeyote nchi hii , na hatokuja kufanya hivyo kamwe .
 
Lema anafanya Siasa za kijinga na bado anaamini Raisi ni JK,anapaswa kujifunza awatumikie wananchi kama wenzake kina Sugu,Nassari,Prof J,Heche.Siasa za Africa zinajulikana katiba zimewapa watawala madaraka makubwa sana.
Hivi udikteta wa kishamba wa viongozi wako unauita ujinga wa lema ?
 
Kuna jambo hatari linaendelea nchini na limejidhihirisha katika kesi ya Lema. Mhimili wa utoaji haki umekuwa inflitrated na idara nyingine ya serikali.

Tangu Ijumaa mpaka leo tunachokiona katika kesi hii kinafanya tuwe na mashaka. Jaji Mkuu ingilia jambo hili ili kulinda heshima kwa mhimili huu ambao ndio tegemeo la kupatia.Lema ahukumiwe kwa haki kwa kosa alilotenda lakini hizi figisu, zinatia mashaka.
Hawezi kuingilia kwa sababu lema ni mharifu na anatoka genge la waharifu wanaopanga mbinu kumdhuru rais wetu na uthibitisho ni kauli zao chama mfu chadema
 
Huyu mropokaji mpaka tumkomeshe
Mmezidi kumponza
Huyu anatafuta kick zakipumbavu wacha atulizwe.
Hatuwezi kuwa kuingozwa na Wanywa Viroba na kauli zao za kijingajinga
Tukae kimya.
Lema atajuta
Ajute wapi wakati leo baada ya kuskia mawakili wasomi, Peter kibatala na lissu wameingia kwenye kesi kwa kuwaogopa mkaona musingizie gar haina wese
 
Sisi wananchi tunaelewa kuwa matatizo yanayomkumba Mh. Godbless Lema ni Ubunge alionao hata marehemu Ditopile alipata dhamana kwa kesi ya mauwaji iliyokuwa inamkabili sasa iweje Lema asipate dhamana .Inatia shaka sana kwa demokrasia Tanzania kama siasa inakuwa uadui.Bora kufuta siasa ya vyama vingi ili kibaki chama kimoja na watu wabaki salama.
 
Simtetei LEMA kwa kosa alilofanya lakini mwenendo wa shauri na hizi "amri toka juu" katika mahakama ndizo zinazonitisha.
Kuna sheria ya kuweka watu kizuizini,waitumie ili waiache mahakama iendelee na shughuli nyingine.
Una ushahidi kuwa ni amri toka juu
 
Back
Top Bottom