Jaji Mkuu ingilia kati hili la Lema

Jaji Mkuu ingilia kati hili la Lema

MIGNON

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2009
Posts
4,116
Reaction score
5,119
Kuna jambo hatari linaendelea nchini na limejidhihirisha katika kesi ya Lema. Mhimili wa utoaji haki umekuwa inflitrated na idara nyingine ya serikali.

Tangu Ijumaa mpaka leo tunachokiona katika kesi hii kinafanya tuwe na mashaka. Jaji Mkuu ingilia jambo hili ili kulinda heshima kwa mhimili huu ambao ndio tegemeo la kupatia.Lema ahukumiwe kwa haki kwa kosa alilotenda lakini hizi figisu, zinatia mashaka.
 
Kuna jambo hatari linaendelea nchini na limejidhihirisha katika kesi ya Lema. Mhimili wa utoaji haki umekuwa inflitrated na idara nyingine ya serikali.

Tangu Ijumaa mpaka leo tunachokiona katika kesi hii kinafanya tuwe na mashaka. Jaji Mkuu ingilia jambo hili ili kulinda heshima kwa mhimili huu ambao ndio tegemeo la kupatia.Lema ahukumiwe kwa haki kwa kosa alilotenda lakini hizi figisu, zinatia mashaka.

Labda Jaji Mwalusanya, Lugakingira,
 
Hii serikali inakoelekea huko ni kufeli tu.. wameshindwa kuwabana mafisadi eti sijui kufukua makaburi lakini kwenye ishu za masikini ndo wanaweka nguvu zao zote.. sasa kama ishu hii ya Lema na kosa alilofanya sio kupelekea nguvu zote hizo za serikali na muhimili wake.. kuna tatizo sehemu huko juu. Time will tell.
 
Hii serikali inakoelekea huko ni kufeli tu.. wameshindwa kuwabana mafisadi eti sijui kufukua makaburi lakini kwenye ishu za masikini ndo wanaweka nguvu zao zote.. sasa kama ishu hii ya Lema na kosa alilofanya sio kupelekea nguvu zote hizo za serikali na muhimili wake.. kuna tatizo sehemu huko juu. Time will tell.
Ngoja waandikwe kwenye vitabu vya historia ya watawala madikiteita.
 
Justice for Lema
Simtetei LEMA kwa kosa alilofanya lakini mwenendo wa shauri na hizi "amri toka juu" katika mahakama ndizo zinazonitisha.
Kuna sheria ya kuweka watu kizuizini,waitumie ili waiache mahakama iendelee na shughuli nyingine.
 
Simtetei LEMA kwa kosa alilofanya lakini mwenendo wa shauri na hizi "amri toka juu" katika mahakama ndizo zinazonitisha.
Kuna sheria ya kuweka watu kizuizini,waitumie ili waiache mahakama iendelee na shughuli nyingine.
Kosa lipi? Innocent until proven guilty!
 
Alafu ndoto za rumande nahisi huwa zinatisha, mara ukisogea mbele lazima unaguswa na vinyweleo vya kifua cha mtu ukisonga nyuma hivyo hivyo. Hakuna jaji mkuu yeyote anayeweza kuingilia sakata ili kujichafua maana hakuna nchi dunian ambayo mtu anaweza kuota juu ya kufa kwa rais alafu akashangilia na kusambaza ujumbe akaachwa hivi hivi, hivyo basi ngoja akabebe ndoo kwanza , na akitoka uko kama atabahatika kutoka, atakuwa mnyenyekevu, kwanini asijifunze siasa za ustaarabu kama, Mbowe, Lowassa na Mnyika?
 
Kuna jambo hatari linaendelea nchini na limejidhihirisha katika kesi ya Lema. Mhimili wa utoaji haki umekuwa inflitrated na idara nyingine ya serikali.

Tangu Ijumaa mpaka leo tunachokiona katika kesi hii kinafanya tuwe na mashaka. Jaji Mkuu ingilia jambo hili ili kulinda heshima kwa mhimili huu ambao ndio tegemeo la kupatia.Lema ahukumiwe kwa haki kwa kosa alilotenda lakini hizi figisu, zinatia mashaka.
Kweli hali inatisha sana.
 
Mkuu hili la Lema limekuja ili iwe wazi, eti kuna watu huwa wanasema kuna mihimili mitatu ya dola, hiyo ni nadharia tu, huwa ninacheka eti mtu akisema iko huru. Sasa kwa hiki kinachoendelea ndio kimeonyesha mahakama haiko huru kama ambavyo huwa tunaaminishwa jambo huwa tunapinga kwa kila hali. Hili halinishangazi sana kwani hiyo ndio namna watawala wa kiafrika hujisikia kweli wako madarakani.
 
Alafu ndoto za rumande nahisi huwa zinatisha, mara ukisogea mbele lazima unaguswa na vinyweleo vya kifua cha mtu ukisonga nyuma hivyo hivyo. Hakuna jaji mkuu yeyote anayeweza kuingilia sakata ili kujichafua maana hakuna nchi dunian ambayo mtu anaweza kuota juu ya kufa kwa rais alafu akashangilia na kusambaza ujumbe akaachwa hivi hivi, hivyo basi ngoja akabebe ndoo kwanza , na akitoka uko kama atabahatika kutoka, atakuwa mnyenyekevu, kwanini asijifunze siasa za ustaarabu kama, Mbowe, Lowassa na Mnyika?
Unadhanui wote ni waoga kama ukoo wako?
 
Kuna jambo hatari linaendelea nchini na limejidhihirisha katika kesi ya Lema. Mhimili wa utoaji haki umekuwa inflitrated na idara nyingine ya serikali.

Tangu Ijumaa mpaka leo tunachokiona katika kesi hii kinafanya tuwe na mashaka. Jaji Mkuu ingilia jambo hili ili kulinda heshima kwa mhimili huu ambao ndio tegemeo la kupatia.Lema ahukumiwe kwa haki kwa kosa alilotenda lakini hizi figisu, zinatia mashaka.
Mnatakiwa mmwambie lema siasa taka afanyazo ndo aache, acheni kutafuta mchawi! Alafu si "wanasheria nguli" lisu na kibatala wako ndani ya nyumba?? Jaji mkuu wa nini tena??
 
Mnatakiwa mmwambie lema siasa taka afanyazo ndo aache, acheni kutafuta mchawi! Alafu si "wanasheria nguli" lisi na kibatala wako ndani ya nyumba?? Jaji mkuu wa nini tena??
Kuna jaji mkuu wapi?
 
Kuna jambo hatari linaendelea nchini na limejidhihirisha katika kesi ya Lema. Mhimili wa utoaji haki umekuwa inflitrated na idara nyingine ya serikali.

Tangu Ijumaa mpaka leo tunachokiona katika kesi hii kinafanya tuwe na mashaka. Jaji Mkuu ingilia jambo hili ili kulinda heshima kwa mhimili huu ambao ndio tegemeo la kupatia.Lema ahukumiwe kwa haki kwa kosa alilotenda lakini hizi figisu, zinatia mashaka.
Mwacheni atulie jela ndio sifa ya ukamanda
 
Back
Top Bottom