Jaji Mkuu ingilia kati hili la Lema

Jaji Mkuu ingilia kati hili la Lema

Simtetei LEMA kwa kosa alilofanya lakini mwenendo wa shauri na hizi "amri toka juu" katika mahakama ndizo zinazonitisha.
Kuna sheria ya kuweka watu kizuizini,waitumie ili waiache mahakama iendelee na shughuli nyingine.
Lema hana kosa hata kidogo isipokuwa miungu watu wasiotaka kusemwa kwa lolote wanamtwika mzigo wa dhambi asiyokuwa nayo. Hivi kama Lema kwa mfano angeona maono ya wakubwa kushinda uchaguzi wa 2020 kwa vishindo wangemchukulia hatua gani?
 
Mahakama kibogoyo, Bunge kibogoyo.....huzaa taifa la Wenda wazimu.
Nadhani Constitutional Lawyers itabidi wakae chini na kuangalia vyema hii dhana ya mihimili ya dola. Mahakama inatafasiri sheria na kutoa hukumu ila enforcement inafanywa na executive!! Mahakama ikitoa hukumu dhidi ya executive unadhani executive itafanya enforcement willingly?
 
Alafu ndoto za rumande nahisi huwa zinatisha, mara ukisogea mbele lazima unaguswa na vinyweleo vya kifua cha mtu ukisonga nyuma hivyo hivyo. Hakuna jaji mkuu yeyote anayeweza kuingilia sakata ili kujichafua maana hakuna nchi dunian ambayo mtu anaweza kuota juu ya kufa kwa rais alafu akashangilia na kusambaza ujumbe akaachwa hivi hivi, hivyo basi ngoja akabebe ndoo kwanza , na akitoka uko kama atabahatika kutoka, atakuwa mnyenyekevu, kwanini asijifunze siasa za ustaarabu kama, Mbowe, Lowassa na Mnyika?
So sad.Wakati mwingine unaweza kusoma na kupita si lazima uchangie
 
Alafu ndoto za rumande nahisi huwa zinatisha, mara ukisogea mbele lazima unaguswa na vinyweleo vya kifua cha mtu ukisonga nyuma hivyo hivyo. Hakuna jaji mkuu yeyote anayeweza kuingilia sakata ili kujichafua maana hakuna nchi dunian ambayo mtu anaweza kuota juu ya kufa kwa rais alafu akashangilia na kusambaza ujumbe akaachwa hivi hivi, hivyo basi ngoja akabebe ndoo kwanza , na akitoka uko kama atabahatika kutoka, atakuwa mnyenyekevu, kwanini asijifunze siasa za ustaarabu kama, Mbowe, Lowassa na Mnyika?
Huna akili mpuuzi tu
 
Mboga Ya Nyapara Hiyo, Acha Nyampala Waenjoi Maisha - Kiboga Cha Lema Chaliwa Mubashara Kisongo
 
Huyu mropokaji mpaka tumkomeshe
Mmezidi kumponza
Huyu anatafuta kick zakipumbavu wacha atulizwe.
Hatuwezi kuwa kuingozwa na Wanywa Viroba na kauli zao za kijingajinga
Tukae kimya.
Lema atajuta
 
Mnatakiwa mmwambie lema siasa taka afanyazo ndo aache, acheni kutafuta mchawi! Alafu si "wanasheria nguli" lisu na kibatala wako ndani ya nyumba?? Jaji mkuu wa nini tena??
Hahaha hujasikia leo baada ya kujua Kibatala na Lisu wapo Arusha ,mkasingizia mmekosa gari la kumleta Lema mahakamani
 
Back
Top Bottom