NgomaNgumu
Senior Member
- Nov 20, 2010
- 194
- 24
Kanyaga twende tutafika tu jamani. Msikate tamaa bandugu
Ni afadhali kudanganya umri kuliko kuforge vyeti, wangapi wamebumburushwa na vyeti feki na hadi leo bado wanadunda, kama kungekua na haki hasa kusingekua na haja ya kua na naibu waziri tulienae, angeshikiwa bango mpaka akaachia ngazi lakin bado anadunda, twendeni mbele kwa sababu nyuma hakurudiki tena tumefika mbali