Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,367
- 37,894
Mkuu asungwilemwaifunga ndugu yangu MADORO kajitahidi kwa kadri ya uwezo wake katoa mifano ya majaji waliosoma na Jaji Mkuu,katoa angalizo zuri sana kwamba mtu anaweza kuanza darasa la kwanza na miaka minne zingatia hiyo ilikuwa mwaka 1956 !.Mengine ata wewe unaweza kusaidia si kukosoa taarifa muhimu.
Chanzo cha taarifa ya Jaji huyo hakiwezi kuwa Chuo kikuu peke yake, hata shule ya msingi alikosoma zipo, shule ya sekondari, High school kote unaweza kupata taarifa hizo. Mtoa uzi kama angekuwa makini asingeishia chuo kikuu kitivo cha sheria peke yake.
Last edited by a moderator: