Uongo mtupu. Majina ya wote waliograduate sheria UDSM yamewekwa online kwenye tovuti ya law school.
Wala huitaji kwenda pale campus kuulizia majina ya graduates.
Alimaliza mwaka 1974 akiwa darasa moja na Mizengo Pinda kama sijakosea.
Lakini pia Utata unazidi kwanini habari za darasa zima Kitivo cha Sheria mwaka 1974 Zikawa hazipatikani
One for the road, asante kwa kuweka mambo sawa.
Mkuu EMT umemaliza kila kitu hii ni faida ya JF kila jambo linaanikwa.
Chanzo cha taarifa ya Jaji huyo hakiwezi kuwa Chuo kikuu peke yake, hata shule ya msingi alikosoma zipo, shule ya sekondari, High school kote unaweza kupata taarifa hizo.
Mtoa uzi kama angekuwa makini asingeishia chuo kikuu kitivo cha sheria peke yake.
UDSM - LLB 11th INTAKE 1971 – 74
1. Abubakar, A.A
2. Alizeti, M.N.
3. Ayany, E.A.
4. Bwana, J.S.M.
5. Bwesha, K.I.
6. Chakava, S.B.
7. Chamriho, S.M.
8. Gathenji, C.M.
9. Haule, L.G.
10. Ileti, K.F.
11. Kadiri, E.T.K.
12. Kajeri, M.G.C.
13. Kamanzi, J.
14. Kija, G.D.
15. Kilonzo, M.
16. Lyimo, V.K.D.
17. Mahalu, C.R.
18. Makalle, A.P.
19. Mallya, W.J.G.
20. Manento, A.R.
21. Mapundi, E.
22. Masese, G.J.M.
23. Massaba, K.S.
24. Matafu, S.I.M.
25. Matata, C.B.B.
26. Matui, G.B.
27. Mauggo, J.Z.J.
28. Mbinga, A.A.A.
29. Mihyo, P.B.
30. Mlanzi, M.A.
31. Mlawa, G.F.
32. Mlay, J.I.
33. Msakamari, J.M.
34. Muro, M.I.
35. Mpiluka, W.H.
36. Mututo, L.N.
37. Mwagiru, B.C.
38. Mwakilasa, T.H.M.
39. Mwakisu, B.H.K.
40. Nasser, S.
41. Ngibuini, C.K.
42. Odhiambo, O.R.O.
43. Okello, F.O.
44. Othman, M.C.
45. Rachier, A.D.O.
46. Oyoo, J.O.
47. Pinda, M.K.P.
48. Putika, A.S.A.
49. Rashidi, Y.M.K.
50. Shaidi, L.L.P.
51. Sheikh, R.H.
52. Teemba, A.A.M.
53. Wellington, J.O
Nina wasi wasi kama ww ni gthinker au kama unajua maana ya mitandao ya kijamii otherwise ungeenda kusoma magazeti tu, acha uvivu wa kufikiri, hv mm nikiweka cheti cha kuzaliwa cha jaji mkuu hapa utakataa kwa kuwa mm sie nilieanzisha topic? Think, reason, conclude.. Uzi sio wangu na sipendi na sina kawaida ya kudandia kazi ya mtu. Kama ameamua kutoa taarifa anapaswa kutoa taarifa iliyokamilika bila ya kuacha kipengere chochote. Tusizungumzie ushabiki, tuzungumzie uchambuzi unavyopaswa kuwa. Tusitoe maada yenye mapengo tukitumainia watu wengine kuziba. Mchango wangu katika maada ni kumwonyesha mtoa maada vyanzo vingine vya taarifa anakoweza kutoa ili kuikamilisha maada kiutafiti zaidi. Mtu anayedhani kuwa hizi ni lawama hajangalia kwa maana ya academic criticism anachukulia kama personal attack jambo ambalo sio sahihi. Sitoki nyumbani kwa Jaji Chande Omari wala sijasoma naye lakini pia sikuwa na nia yoyote ya kufuatilia maisha yake. Maadam mtoa maada kaitoa humu jamvini nimevutiwa nayo ndiyo maana nikamshauri atafute taarifa zaidi kutoka kwenye vyanzo vingine ili kuipa uzito, mvuto na ukweli zaidi bila ya kuacha nafasi kwa msomaji ya kuhoji au kupendekeza jambo lolote. Nimependekeza kwa sababu Uzi wake unatoa mwanya wa kufanya nilivyofanya. Ugomvi unatoka wapi? Nadhani mtoa uzi na waungaji mkono wa uzi huu walitegemea kila mtu apokee taarifa hii pasi na kuhoji kama walivyoipokea wao. Hapana