Hebu watu ambao wanataalamu za ualimu na hesabu waje hapa ili tupate majibu sahihi kabla ya kutoa hukumu kama jaji mkuu anatakiwa kustaafu mwaka huu au mwaka ujao. Mfano kama alianza darasa la kwanza akiwa na miaka sita, msingi na sekondari na jeshi miaka 8 + 2 + 1 na chuo kikuu 4, jumla ni 21, toka 1974 mpaka leo ni miaka 38.Anatakiwa kustaafu mwakani maana atakuwa na miaka 60. Hapo ndipo Lissu alipokuwa anapasemea kuhusu tume ya kuteua majaji kama Kenya.
Kisheria anatakiwa astaafu akiwa na miaka 65.