Jaji Mkuu (Chande) amedanganya umri?

Jaji Mkuu (Chande) amedanganya umri?

jaji anaonekana ni mtu wa bata, hajawahi kuzunguka kwenye thiki hizi, asa mbona anaonekaka mzee kuliko huo umri au mwaka unaotajwa! nawafahamu watu kibao waliozaliwa miaka hiyo, tena wengine hawana maisha bomba kama yeye lakini bado wanadai. huyo anafanana na watu wa arobaini na......bana

Mkuu,
Nimependa observation yako maana wadau wengine wanasema CV ya Mh. Jaji Mkuu haiwezi kutusaidia kwa lolote ktk uzi huu juu ya 'utata' wa umri wa Jaji Mkuu.

Pia mie sikujua kuwa humu kuna wadau waliosoma Chuo Kikuu miaka hiyo ya 1970s kweli JamiiForums ni kijiwe cha kuheshimiwa kwa mijadala maana rika zote tumo humu na suala kuu hapa ni nguvu ya hoja yako ktk uzi na kuheshimiana.

JAMIIFORUMS idumu maana ni kisima cha elimu-endelevu kwa sisi sote.
 
- Umeona enheee!! Wanaacha kujadili kesi alizokwisha hukumu ili watuonyehse jinsi umri unavyo play katika maamuzi yake ya kesi, wao wanalatea majungu tu, kama una tatizo na umri wa viongozi uanze na Ndesamburo na Slaa kwanza!!

Le Mutuz!!

Sio lazima uchangie,huu ni mjadala wa GT,waweza kusoma na kupita tu,CDM inaingiaje hapa?
 


Kwenye red:

I beg your pardon -- nani ana mamlaka humu JF 'kum-clear'huyu Jaji? Kuna mchangaiji hapo juu katumia muda mwingi kujaribu ku-clear the air kuhusu majina yake -- lakin i yote hii naona ni kuta kumuondoa off the hook.

Kuna mwingine alijaribu kuweka CV yake hapo juu lakini ilikuwa ina mapungufu makubwa kuhusu umri -- CV hiyo haikueleza alizaliwa lini, na shule za awali hasa primary na secondary alisoma kuanzia mwaka gani hadi mwaka gani?

Hatukubali jitihada hizi eti za kumsafisha. Kuna huyo Le Mutuz kasema eti kujua umri wa CJ itasaidia nini? Nimecheka sana. Huyu CJ ni mtu mkubwa sana katika jamii na hivyo integrity yake lazima iwe beyond reproach -- yaani to the highest esteem. Kama alidanganya umri then that becomes a very serious matter. Anaweza pia kudanganya katika hukumu.

- So kumbe hata wewe huna uhakika na unachojadili ni habari isiyokuwa na uhakika, unaona majungu maana yake ni nini?

Le Mutuz!!
 
Sio lazima uchangie,huu ni mjadala wa GT,waweza kusoma na kupita tu,CDM inaingiaje hapa?

- Nisichangie? Kusudi muupotoshe umma na habari za kimajungu majungu!! omba thread ifungwe kama zile zingine! ha! ha mimi mwendo ni ule ule kuwapa za uso na hoja maana mlizoea sana kutukana humu bila kujibiwa!1

Le Mutuz!!
 
- Umri wa jaji unaweza kuwasadia nini jadili kesi alizokwisha humu tuone kama kuna haki au hakuna, kama ametumia sheria au hapana then hoja ya umri inaweza kuja in the play, lakini unakurupuka tu umri wa jaji wakati Chadema kuna Kiongozi kama Ndesamburo na Slaa ambao wana umri wa ajabu ni kuwa wanafiki na wambeya tu! no wonder mijadala kama hii haiwezi kupewa umaanani na wasomi maana ni nothing but unafiki at best!

- Kwama kweli una tatizo la umri na Viongozi, anzia huko Chadema na Slaa, halafu Ndesamburo, ama sivyo werevu tunaona ni majungu so tunawajibu kwa level ile ile yenu ya kimajungu manyoijua zaidi!!

Le Mutuz!1

kama kawaida yako, kuchafua hali ya hewa.
 
kama kawaida yako, kuchafua hali ya hewa.

- Siachfui anything ila nauliza facts za kisheria kwamba huyu jaji wekeni kesi alizoamua hapa muonyeshe makosa yake kisheria ambayo mnaweza kuyaonisha na umri wake, otherwise mnakua mnapika majungu tu kwa watu mnaodai ni wasomi!! Wasomi wanachambua mambo kwa facts sio kudhani!

Le Mutuz!
 
Alijisahau kuwa kachakachua umri wake, alipokumbuka akaamua kwa hiari yake ajitowe katika kesi ya Lema. Maana alijua mhe. Antipas Lisu atamuumbua.
 
- Siachfui anything ila nauliza facts za kisheria kwamba huyu jaji wekeni kesi alizoamua hapa muonyeshe makosa yake kisheria ambayo mnaweza kuyaonisha na umri wake, otherwise mnakua mnapika majungu tu kwa watu mnaodai ni wasomi!! Wasomi wanachambua mambo kwa facts sio kudhani!

Le Mutuz!

kodi zetu ndo zinakupa kiburi na kukujaza litumbo. Its just a matter of time, when a table turns upside down, we shall slaughter them all! Period!
 
comfused mara jina si la kwake, mara umri si halisi :confused2:
maelezo yasiyoeleweka ya jina sio la kwake mara la kaka ake, ndio kabisaa yamenichanganya kuelewa mada :glasses-nerdy:
 
- Nisichangie? Kusudi muupotoshe umma na habari za kimajungu majungu!! omba thread ifungwe kama zile zingine! ha! ha mimi mwendo ni ule ule kuwapa za uso na hoja maana mlizoea sana kutukana humu bila kujibiwa!1

Le Mutuz!!



KILLING AINT FAIR BUT SOME BODY GAT TO DO IT SOMETIMES...!!

DAH,,:frusty:
 
alafu tuwe tunacheki na umri pia hapa JF ulingangane na hoja zetu tafadhali.
 
- Siachfui anything ila nauliza facts za kisheria kwamba huyu jaji wekeni kesi alizoamua hapa muonyeshe makosa yake kisheria ambayo mnaweza kuyaonisha na umri wake, otherwise mnakua mnapika majungu tu kwa watu mnaodai ni wasomi!! Wasomi wanachambua mambo kwa facts sio kudhani!

Le Mutuz!
alafu tuwe tunacheki na umri pia hapa JF ulingangane na hoja zetu tafadhali.
 
chuo walificha taarifa!! mbona kichekesho tena.
 
Mimi sasa nawaunga mkono(wewe na mh.T.lissu),mpaka waje wanyooshe maelezo.Magamba bwana!
 
Ni afadhali kudanganya umri kuliko kuforge vyeti, wangapi wamebumburushwa na vyeti feki na hadi leo bado wanadunda, kama kungekua na haki hasa kusingekua na haja ya kua na naibu waziri tulienae, angeshikiwa bango mpaka akaachia ngazi lakin bado anadunda, twendeni mbele kwa sababu nyuma hakurudiki tena tumefika mbali

Iwe umri au vyeti ni udanganyifu. Imagine vijana wangapi wanakosa ajira kwa sababu ya udanganyifu wa umri na vyeti...Maana hawa wazee hawang'atuki? Wengi wana sifa lkn wako kijiweni na hasa taasisi za serekali huu mchezo upo sana.
 
- Siachfui anything ila nauliza facts za kisheria kwamba huyu jaji wekeni kesi alizoamua hapa muonyeshe makosa yake kisheria ambayo mnaweza kuyaonisha na umri wake, otherwise mnakua mnapika majungu tu kwa watu mnaodai ni wasomi!! Wasomi wanachambua mambo kwa facts sio kudhani!

Le Mutuz!
hapa swala lilopo ni kughushi umri wa kuzaliwa ......swala la maamuzi yake katika kesi ni
jingine kabisa.....hata kama ameamua kesi vizuri vipi haitahalalisha umri wake.........maana kama yeye mwenyewe msimamizi wa sheria yuko pale kinyume na sheria basi anakosa uhalali wa kisheria kitu ambacho hata hukumu zake zitakuwa na dosari mbele ya sheria
 
Back
Top Bottom