Jaji M.C. Othman Jaji Mkuu mpya wa Tanzania



Hiyo conflict of interest unaona wewe lakini tukisema kwamba UTEUZI WOWOTE WA CCM NI SHARTI KUFWATE MKONDO FULANI na kwamba BILA VIJI-CONNECTIONS FULANI tunduni haujapita wengini wakawa wanadhani ni utani hapa.

Ni wachache mno wanaotazamwa kwa elimu, ufanisi wa kazi na uzalendo wake. Tukisema Dr Malecela kuna Katapila nyuma kama godfather hamsikii. Sasa ya Othman Chande wa TISS kutumia nafasi yake ya sasa kumpigia chapuo mtoto walioachiana ziwa wewe unaona shida gan??? Hata Jaji Makame majuzi alipofanya vizuri kwenye uchaguzi wetu mkuu tayari dogo lake Prof Makame yuko ndani ya ulingo Dodoma anakula good-time kwa 'Hundi ya Wazi' aliouandika kaka kule Tume ya Uchaguzi 2010.

Kwa kifupi, hapa ni Mega-Corruption Syndication, Nepotism, Favouritism and Bird-Feathering kwa kwenda mbele. Kaka JK kanyaga twende!!! Hapa hata gunia la mkaa linaweza kuteuliwa. Wala sitoshangaa Mzee Jangara akiteuliwa Balozi wetu kule Umoja wa Mataifa; kama ni kiingereza atajisomeaga huko huko kazini.

Hivi ndivyo mambo yanavyokwenda baba. Lile swali la rais wa zamani wa Marekani juu ya mtu kujiuliza ataifanyia nini taifa lake; hapa kwetu swali hilo ni kwamba MTU UMEWAHI KUKIFANYIA CCM AU NDUGU YAKO YUPI AMBAYE AMEWAHI KUIFANYIA NINI CCM na wala kuifanyia nini taifa na maslahi yake.

Bwanae, kwenye KATIBA MPYA HUKO rais apunguziwe kwa sana madaraka ya kupindukia kiasi hiki. There is too much President in our everyday lives. Nafasi hizi zote zitangazwe, mashirika makubwa na ya kuaminiko kwenye mambo ya ajira yashirikishwe kama mashirika matatu hivi kila kimoja kikifanya kazi yake kwa peke yake lakini kwa kipidi kimoja.

Mashirika haya yachuje majina kiutaalam bila kuingiliwa, kisha kila muombaji nafasi apewe mi-alama au marks kabla ya kupelekwa majina yaliochujwa (kama 6 hivi kwa nafasi husika) kupelekwa bungeni nako wakabakishwa watatu na kupewa alama mle upya na mwisho rais kupata mtu pale kwa nafasi husika.

Process itakapokua very transparent and most rigorous then accountability to the general publi and not merely the president will be most assured than is the case to-date.

Hivi hawa ni wale watoto wa yule Chande wa kwenye historia kuwemo kwenye Baraza la Mawaziri sio??? Ukweli ni kwamba maendeleo ya nchi hutegemea sana ufanisi wa taasisi zake.

Nako pia ufanisi huo ni lazima utokane na kiwango cha ubora katika kupatikana watendaji hawa. Sasa, tofauti na hapo ni makida makida tu twende kasi!!!

Nimeyakubali mawazo yako mkuu!
 
@Mdodoaji
Hivi je sio busara TISS na CJ kuwa separate bodies kabisa bila kuwa na muingilano wowote...? YES or NO... please.
 
Ifike mahala tuache kutia nyongo kila jambo linalofanywa na watawala. Nimesoma kwa makini wasifu wa Jaji Mkuu mpya Othman Chande. Inajitokeza waziwazi kwamba huyu ni mtu mwenye wasifu na sifa za juu kabisa katika maswala ya sheria na mahakama. Ana uzoefu wa hali ya juu kitaifa na kimataifa. Mamlaka ya uteuzi wangekuwa ni wajinga kama wangemuacha kwa sababu tu kaka yake ni Mkurugenzi Mkuu wa TISS. Tony Blair na Gordon Brown waliwahi kuwateua mtu na mdogo wake kuwa katika baraza la mawaziri. Juzijuzi Chama cha Labour kiliwapitisha mtu na kakake kugombea nafasi ya Kiongozi wa labour.

Ni ujuha na ujinga kumteua mtu kwa sababu ya dini, udugu, ukabila, n.k. Vilevile ni ujuha na ujinga wa kutisha kuacha kumteua mtu kwa sababu tu ndugu yake alishatangulia huko serikalini hata kama ana sifa. Haya mambo ya ku-balance kidini, kikabila, kidugu, kikanda na kimokoa ndiyo yanaletekeza mijitu mingine kuteuliwa kuwa mawaziri hata kama haina sifa ili wateuzi waonekane walizingatia mgawanyo wa kimkoa, kidini, kikabila, n.k. Kama mtu ana sifa basi ateuliwa, na kama hakuna mtu mwenye sifa kwa nafasi husika kutoka hiyo dini au kabila au mkoa basi na iwe hivyo. Si lazima kila dini au mkoa uwakilishwe katika nafasi za uteuzi.

Othman Chande, chapa kazi. Una nafasi ya kujitengenezea legacy ya pekee kwa kutoa msukumo muhimu ili hatimaye nchi yetu iwe na Katiba Mpya yenye kuzingatia misingi ya demokrasia na haki za binadamu.
 
Wakristu badala ya kupiga kelele you better brace for impact! OIC na Kadhi hazikwepeki kwa vyovyote vile. Anzeni kuzoea. Ila kinachouma zaidi ni kuwa Top four za Tanzania (Bila kugusa Zanzibar) yupo mtu mmoja mkristu anayeweza kukaimu urais (speaker ana makinda). Usalama wa Taifa (Muislam), Wizara ya mambo ya ndani (usalam ni Mwislam), Mahakama (Mwislam), Urais (Mwislam). Kwa nini JK hana imani na Wakristu kwenye mambo ya Usalama?
 
wanajamii kwa taarifa za uhakika tumempata jaji mkuu mpya mtajwa hapo juu.Tutegemee nini kipya kutoka kwake? mabadiliko ya sheria kandamizi mahakamani? haki kupatikana kwa wakati bila kucheleweshwa? au mambo ndo yale yale ya mahakama kumezwa na chama tawala kiutendaji hata utoaji wa haki kwa kupendelea?
 
Ifike mahala tuache kutia nyongo kila jambo linalofanywa na watawala. Nimesoma kwa makini wasifu wa Jaji Mkuu mpya Othman Chande. Inajitokeza waziwazi kwamba huyu ni mtu mwenye wasifu na sifa za juu kabisa katika maswala ya sheria na mahakama. Ana uzoefu wa hali ya juu kitaifa na kimataifa. Mamlaka ya uteuzi wangekuwa ni wajinga kama wangemuacha kwa sababu tu kaka yake ni Mkurugenzi Mkuu wa TISS. Tony Blair na Gordon Brown waliwahi kuwateua mtu na mdogo wake kuwa katika baraza la mawaziri. Juzijuzi Chama cha Labour kiliwapitisha mtu na kakake kugombea nafasi ya Kiongozi wa labour.

Ni ujuha na ujinga kumteua mtu kwa sababu ya dini, udugu, ukabila, n.k. Vilevile ni ujuha na ujinga wa kutisha kuacha kumteua mtu kwa sababu tu ndugu yake alishatangulia huko serikalini hata kama ana sifa. Haya mambo ya ku-balance kidini, kikabila, kidugu, kikanda na kimokoa ndiyo yanaletekeza mijitu mingine kuteuliwa kuwa mawaziri hata kama haina sifa ili wateuzi waonekane walizingatia mgawanyo wa kimkoa, kidini, kikabila, n.k. Kama mtu ana sifa basi ateuliwa, na kama hakuna mtu mwenye sifa kwa nafasi husika kutoka hiyo dini au kabila au mkoa basi na iwe hivyo. Si lazima kila dini au mkoa uwakilishwe katika nafasi za uteuzi.

Othman Chande, chapa kazi. Una nafasi ya kujitengenezea legacy ya pekee kwa kutoa msukumo muhimu ili hatimaye nchi yetu iwe na Katiba Mpya yenye kuzingatia misingi ya demokrasia na haki za binadamu.

Nani kakwambia ustaarabu wa Ulaya na Afrika ni sawa. Kilichotokea Ivory Coast nini kama si ndugu kumtangaza ndugu kama Rais. Ulaya ipo mifano mingi ya ndugu kutawala (Nikuongezee Poland) lakini wana system zinazoweza kudhibiti kama maadili yanakengeukwa?
 
Wakristu badala ya kupiga kelele you better brace for impact! OIC na Kadhi hazikwepeki kwa vyovyote vile. Anzeni kuzoea. Ila kinachouma zaidi ni kuwa Top four za Tanzania (Bila kugusa Zanzibar) yupo mtu mmoja mkristu anayeweza kukaimu urais (speaker ana makinda). Usalama wa Taifa (Muislam), Wizara ya mambo ya ndani (usalam ni Mwislam), Mahakama (Mwislam), Urais (Mwislam). Kwa nini JK hana imani na Wakristu kwenye mambo ya Usalama?

Lakini wakristu kuna mawaziri 33 vs 17 vipi mbona JK hana imani na waislamu kwenye mambo uwaziri?
 
Tony Blair na Gordon Brown waliwahi kuwateua mtu na mdogo wake kuwa katika baraza la mawaziri. Juzijuzi Chama cha Labour kiliwapitisha mtu na kakake kugombea nafasi ya Kiongozi wa labour.

With all due respect Sir...... Kuna tofauti kubwa sana kama mtu na kaka yake mmoja ni waziri wa michezo na mwingine waziri wa kilimo (hapa hakuna muingiliano wala any possibility ya corruption)... na mtu na kaka yake kugombea uongozi kwenye chama kimoja cha siasa (Ed and David Milliband) how can this lead to corruption????? Am sorry lakini mifano yako does not hold water....
 
Nani kakwambia ustaarabu wa Ulaya na Afrika ni sawa. Kilichotokea Ivory Coast nini kama si ndugu kumtangaza ndugu kama Rais. Ulaya ipo mifano mingi ya ndugu kutawala (Nikuongezee Poland) lakini wana system zinazoweza kudhibiti kama maadili yanakengeukwa?
Hata mifano aliyotoa haiendani kabisa na hii mada anagalia post ya 70
 
Ndugu yangu, hakuna mjadala kuwa Chief Justice kama vyeo vingine kama mawaziri, wakurugenzi wa mashirika ya umma, etc, lazima wafanyiwe vetting na usalama wa taifa, TISS. Vijana wa TISS wanafanya vetting, wanampelekea mkuu wa TISS then anampelekea Rais. Mwenye final input kwenye file za vetting za watu kabla haijaenda kwa Rais ni mkuu wa TISS. Sasa kwenye issue hii Othman wa TISS ilikuwa ni wazi kuwa ana conflict of interest kwa kuwa mdogo wake pia yupo kwenye majina haya. Mkuu wa TISS anaweza kuandika file zuri kwa mtu mmoja na kuwachafua wengine hivyo ku-influence uteuzi wa Rais moja kwa moja.

Huo ni mtazamo wako kuona labda watu wamependeleana ili tu mdogo mtu apate hiyo post; je hana sifa kuzidi wale wengine wawili au vp??? Tuangalie ujuzi, uzoefu, elimu, busara na hekima za watu wanaoteuliwa kushika nyadhifa tofauti ktk nchi yetu.

Tukianza kusema amependelewa kwa undugu, udini, ukabila n.k hakuna atakaeteuliwa akaonekana anafaa, hili jambo ipo siku litaturudi muda si mrefu.

Wengine nao wameshakuwa kina Shehe Yahya (watabiri), mara mahakama ya kadhi inakuja mara oic....oohh tutakuwa km Sudan/Somali/Nigeria... watu hawana hoja wanaleta habari za kusadikika tu!!! Leteni hoja zenye mashiko...
 
But one man who is duly qualified with local and international experience cannot be denied a chance to serve his country just because his brother is the head of the intelligence services. Have you considered that the man was already serving in the Court of Appeal as a Justice of Appeal. This means that he has had to deal with seminal cases and his record does not really require the words of this brother! You people think in very linear terms, that might be the issue. Not even one of you has asked which judgements he has delivered throughout his distinguished career (inorder to determine his legal expertise and level of intergrity) instead all you see is his first name, his religion... yani waswahili ndio maana hatuendelei nakwambieni... Wote humu wanafikiria aah muislamu basi freshi au muislamu aah JK mdini.. Hakuna kunagalia 'merit'.... Mungu anahusiana vipi na Judicial system ya Tanzania ambayo inamatatizo mbali mbali...hakuna dini inayoruhusu rushwa, ukosefu wa haki, urasimu wakijinga, na hayo ndio matatizo ya Mahakama Tanzania... haendi madraas huyu au kanisani kuubiri...Anaenda kuwasaidia watanzania kupata haki zaidi.... mpimeni kwa vigezo husika... TUACHE MAWAZO FINYU..


Tanzania ni MOJA.

KK
 
With all due respect Sir...... Kuna tofauti kubwa sana kama mtu na kaka yake mmoja ni waziri wa michezo na mwingine waziri wa kilimo (hapa hakuna muingiliano wala any possibility ya corruption)... na mtu na kaka yake kugombea uongozi kwenye chama kimoja cha siasa (Ed and David Milliband) how can this lead to corruption????? Am sorry lakini mifano yako does not hold water....

Hakuna tofauti yoyote ile kila kazi ina mipaka yake so hakuna tatizo, kila mtu ana duties zake

Jaji chapa kazi hawana hoja....wale wale wapendao kupendelewa...
 
With all due respect Sir...... Kuna tofauti kubwa sana kama mtu na kaka yake mmoja ni waziri wa michezo na mwingine waziri wa kilimo (hapa hakuna muingiliano wala any possibility ya corruption)... na mtu na kaka yake kugombea uongozi kwenye chama kimoja cha siasa (Ed and David Milliband) how can this lead to corruption????? Am sorry lakini mifano yako does not hold water....
...hebu tutajie walau conflict of interest moja iliyojitokeza ktk Bunge lililopita La 10 ambapo Mh. Samwel Sitta alikuwa Speaker then Mke Wake alikuwa Waziri ktk Wizara tofauti??.
Vivyo hivyo kipindi cha Pius Msekwa( Speaker) Mkewe Anna Abdalah Mbunge(Waziri???) kipindi hicho
 
...hebu tutajie walau conflict of interest moja iliyojitokeza ktk Bunge lililopita La 10 ambapo Mh. Samwel Sitta alikuwa Speaker then Mke Wake alikuwa Waziri ktk Wizara tofauti??.
Vivyo hivyo kipindi cha Pius Msekwa( Speaker) Mkewe Anna Abdalah Mbunge(Waziri???) kipindi hicho

nadhani hatuelewani maana ya conflict of interest...... Mfano mzuri ni kama mfano kampuni inatoa tender (na mtoa tenda ni mke) na anayepewa tenda ni bwana yake.......... (kwa hiyo hapa kuna uwezekano wa corruption au huyo mtu aliyepewa tenda kutokufanya kazi)... Sasa je Spika wa Bunge na Waziri.... au Spika na Mbunge wewe unaona kuna uwezekano wa hawa watu kunfanya any corruption???? na kama uwezekano upo extent yake ni kubwa kiasi gani???
 
Hongera Othumani, majina yasiwatishe kwani hata bungeni tumeona mbunge anajina la kikiristo lakini ameapa kwa kutunia KURUANI TUKUFU, acheni fikira za udini tunachojali ni utendaji wa kazi wa mtu.
 
@Mdodoaji
Hivi je sio busara TISS na CJ kuwa separate bodies kabisa bila kuwa na muingilano wowote...? YES or NO... please.

Jibu it depends kwani in a perfect world it is possible kwa TISS na CJ kuwa separate bodies kama kila mmoja atafanya kazi kwa ufanisi. Nitakupa mfano Ed miliband alikuwa waziri wa mazingira na kaka David milliband alikuwa waziri wa mambo ya nje UK wote walifanya kazi kwa ufanisi mkubwa kiasi walikuwa consider for the nomination of Labour Party ambapo Ed alimshinda kaka yake.

Sasa kwa ulimwengu wa Tanzania jibu ni Yes kunaweza kutokea conflict of interest but huo ndio utaratibu wa nchi yetu. Mbona kulikuwa na rumours wakati wa mkapa kuwa mama mkapa, Mramba na mgonja wametokea sehemu mmoja na wako sehemu sensitive. Well ndio system ya nchi yetu. Hatuna la kusema la muhimu tuache tu yaende na kumpa nafasi aliyeteuliwa afanye kazi kwa ufanisi kama walivyofanya baadhi ya watu duniani.
 
Back
Top Bottom