Dorothy Semu: Jaji Warioba anaendelea vizuri

Dorothy Semu: Jaji Warioba anaendelea vizuri

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
5,229
Reaction score
17,986
Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Dorothy Semu amesema Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba anaendelea vizuri.

Jaji Warioba alipata shida ya kiafya na kudondoka ghafla wakati akihutubia katika mkutano wa kitaifa wa kutafakari hali ya kisiasa nchini unaofanyika jijini Dar es Salaam.

Soma: Jaji Warioba aishiwa nguvu na kudondoka wakati anahutubia leo Septemba 7, 2026
 
Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Dorothy Semu amesema Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba anaendelea vizuri.

Jaji Warioba alipata shida ya kiafya na kudondoka ghafla wakati akihutubia katika mkutano wa kitaifa wa kutafakari hali ya kisiasa nchini unaofanyika jijini Dar es Salaam.
ok.🐒
 
Nikiwa kwenye public transport akaniambia Jaji ndio hivyo tena ameanguka jukwaani na amekwenda…! Nilipofuatilia baadaye jioni nikiwa home nilifurahi mno kusikia kuwa yupo hospitali hali yake inaimarika. Ameponea, atukuzwe Mungu!
CCM wanaitaka roho yake, wakimalozana na roho ya Warioba, wanaifuata roho ya mama Anna Tibaijuka
 
Nikiwa kwenye public transport akaniambia Jaji ndio hivyo tena ameanguka jukwaani na amekwenda…! Nilipofuatilia baadaye jioni nikiwa home nilifurahi mno kusikia kuwa yupo hospitali hali yake inaimarika. Ameponea, atukuzwe Mungu!
In fact Mzee ni mgonjwa na afya yake imezorota mno,
na wanaharakati uchwara walimlazimisha tu aende kua mgeni rasmi kwenye kongamano lao, but ukweli ni kwamba Mzee Warioba hayupo fiti kiafya na ukichanganya na uzee na pengine lishe duni, ni wazi kuanguka jukwaani jana haikua jambo la kushangaza hata kidogo.

Alianza kukata pumzi dakika 2 kabla ya kuanguka, but hakuna aliegundua mabadiliko ya tone yake wakati anazungumza. In fact, alikua anapigiza kichwa mbaya sana, angefanikiwa kufikisha kichwa chake sakafuni.

Ni wazi wanaharakati uchwara wanalenga kumuangamiza kwa fedheha akiwa jukwaani, ili aonekane kaanguka kwasababu ya njaa, kumbe mzee ni mgonjwa.

Nashauri,
ikiwa lengo la wanaharakati hao bado ni kumuangamiza Mzee Warioba ambae afya yake ni dhaifu sana kwa sasa na anahitaji medical attention na mapumziko zaidi, basi walau wawe wanampa sehemu ya kukaa ndipo azungumze, ili hata ikitokea amekwama kama jana, basi awe amekaa 🐒
 
In fact Mzee ni mgonjwa na afya yake imezorota mno,
na wanaharakati uchwara walimlazimisha tu aende kua mgeni rasmi kwenye kongamano lao, but ukweli ni kwamba Mzee Warioba hayupo fiti kiafya na ukichanganya na uzee na pengine lishe duni, ni wazi kuanguka jukwaani jana haikua jambo la kushangaza hata kidogo.

Alianza kukata pumzi dakika 2 kabla ya kuanguka, but hakuna aliegundua mabadiliko ya tone yake wakati anazungumza. In fact, alikua anapigiza kichwa mbaya sana, angefanikiwa kufikisha kichwa chake sakafuni.

Ni wazi wanaharakati uchwara wanalenga kumuangamiza kwa fedheha akiwa jukwaani, ili aonekane kaanguka kwasababu ya njaa, kumbe mzee ni mgonjwa.

Nashauri,
ikiwa lengo la wanaharakati hao bado ni kumuangamiza Mzee Warioba ambae afya yake ni dhaifu sana kwa sasa na anahitaji medical attention na mapumziko zaidi, basi walau wawe wanampa sehemu ya kukaa ndipo azungumze, ili hata ikitokea amekwama kama jana, basi awe amekaa 🐒
Naambiwa anamalizwa polepole na watu flani wasiopenda kukosolewa. Kwani Nchimbi yupo wapi?
 
Naambiwa anamalizwa polepole na watu flani wasiopenda kukosolewa. Kwani Nchimbi yupo wapi?
kibibilia,
Mzee Warioba hana cha kupoteza na wala hana cha ziada alichobakiza humu duniani.
Anaenjoy ziada tu ya Neema na Baraka za Mungu. Ni muhimu sana akaachwa kuhangaishwa na wanaharakati uchwara wanaolenga kumuangamiza kwa fedheha, tena hadharani. Apatiwe medical attention ya kutosha, apate utulivu na mapumziko ya kutosha, nadhani hicho ndicho anachostahili Mzee huyo wa heshma sana nchini.

dhana potofu dhidi yake ni vitu nonsense tu kutoka kwa watu wasio na shukrani kwa Mungu 🐒
 
In fact Mzee ni mgonjwa na afya yake imezorota mno,
na wanaharakati uchwara walimlazimisha tu aende kua mgeni rasmi kwenye kongamano lao, but ukweli ni kwamba Mzee Warioba hayupo fiti kiafya na ukichanganya na uzee na pengine lishe duni, ni wazi kuanguka jukwaani jana haikua jambo la kushangaza hata kidogo.

Alianza kukata pumzi dakika 2 kabla ya kuanguka, but hakuna aliegundua mabadiliko ya tone yake wakati anazungumza. In fact, alikua anapigiza kichwa mbaya sana, angefanikiwa kufikisha kichwa chake sakafuni.

Ni wazi wanaharakati uchwara wanalenga kumuangamiza kwa fedheha akiwa jukwaani, ili aonekane kaanguka kwasababu ya njaa, kumbe mzee ni mgonjwa.

Nashauri,
ikiwa lengo la wanaharakati hao bado ni kumuangamiza Mzee Warioba ambae afya yake ni dhaifu sana kwa sasa na anahitaji medical attention na mapumziko zaidi, basi walau wawe wanampa sehemu ya kukaa ndipo azungumze, ili hata ikitokea amekwama kama jana, basi awe amekaa 🐒
Wanaweza wasikuelewe kutokana na mtazamo wao.
 
Back
Top Bottom