Jaji M.C. Othman Jaji Mkuu mpya wa Tanzania

Mpita Njia

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
6,997
1,163
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

Telephone: 255-22-2114512, 2116539
E-mail: press@ikulu.go.tz
Website: www.mawasilianoikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425



PRESIDENT’S OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.



TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Jaji Mohamed Chande Othman kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania, kuanzia tarehe 28 DIsemba, 2010.

Jaji Othman anachukua nafasi ya Jaji Augustino Ramadhani anayestaafu kwa mujibu wa sheria tarehe 27 DIsemba, 2010.

Kwa sasa Jaji Othman ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa na pia ni mtaalamu binafsi juu ya hali ya Haki za Binadamu huko Kusini mwa Sudan, hadi mwezi Agosti 2011.
Jaji Othman alizaliwa tarehe 1 Januari, 1952, ana shahada ya kwanza ya Sheria (LLB) ya Chuo Kikuu cha Dar-Es-Salaam na Shahada ya Uzamili (MA) kutoka katika Chuo Kikuu cha Webster, Geneva-Uswisi.

Amewahi kuwa Makamu wa Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Rwanda huko Arusha na amewahi kushika nafasi sawa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali huko Timor Mashariki.

Jaji Othman pia, amewahi kufanya kazi ndani na nje ya nchi katika Mashirika mbalimbali ya Kitaifa na Kimataifa kama vile Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP) na Shirika la Msalaba Mwekundu.

Jaji Othman ataapishwa kesho tarehe 27 Disemba, 2010 katika viwanja vya Ikulu saa 4:00 asubuhi.

Imetolewa na Premi Kibanga,
Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi
Ikulu
Dar es Salaam
26 Disemba, 2010

 
Ulitaka mteuliwa awe Jaji PETER JOHN JOSEPH?maana kina Othman hawajasoma
 
Duh, huyu Chief Justice mpya ni mdogo wake mkuu wa usalama wa taifa, yaani director general of the Tanzania Intelligence and Security Services (TISS), Rashid Othman. Katika vetting ya Chief Justice huwa mkuu wa TISS anahusishwa kwa karibu kupitisha majina.

Hii ina maana kuwa Othman wa TISS kampigia chapuo mdogo wake kuwa Chief Justice mpya! It's very possible candidates wengine wa post hii walichafuliwa makusudi ili dogo apite.

Tutarajie nini kuhusu maamuzi sensitive ya mahakama kuhusu katiba mpya, mgombea binafsi, na mengine ambayo yatawagusa watawala kwa karibu. It's obvious kuwa usalama wa taifa ndiyo itakuwa inaiendesha mahakama ya Tanzania. Othman wa TISS atakuwa anatoa maagizo tu kwa dogo wake Othman Chief Justice.

"Dogo hiyo kazi ya Chief Justice si nimekupigia chapuo mimi, sasa nimeshauriana na Rais na uamuzi wa mahakama ya rufaa kwenye kesi hii uwe hivi...."

Kazi ipo hapa... TISS itakuwa inaiendesha mahakama ya Tanzania mpaka mwaka 2017 ambapo Othman atakuwa amefikia umri wa kisheria wa kustaafu.
 
Three Tipped for Chief Justice Post

Dec, 20, 2010

DAR ES SALAAM

With barely a week before Chief Justice Augustino Ramadhani leaves office, the search for his successor has reportedly been narrowed down to three names, from whom President Jakaya Kikwete will pick the new holder of the top judicial position.

The Citizen on Sunday established that the three are 58-year-old Mr Justice Mohamed Othman Chande, Mr Justice Bernard Luanda, 57, and Mr Justice Steven Bwana, 61. One of them will most likely land the top job, barring a surprise from the President, whose prerogative it is to appoint the holder of that office.

Mr Justice Ramadhani, who has attained the official retirement age of 65, was appointed CJ in 2007. He will officially be bade farewell in Dar es Salaam on Friday. Impeccable government sources told The Citizen on Sun day that the next CJ would be sworn in on December 27.

People close to the screening process to fill the post, whose hold automatically becomes the head of the Court of Appeal, said there was strong lobbying from outside the judicial circles for one of the possible candidates. Sources said Mr Justice Chande was highly tipped to replace Chief Justice Ramadhani.

Traditionally, it is the outgoing CJ, who recommends three people for appointment from amongst judges of the Court of Appeal to the President, who, in consultation with the National Intelligence and Security Service (TISS), makes his pick.

Insiders said that this time around, there was evident lobbying for the position, with different groups advancing various reasons, including age, and health status, in lobbying for the candidate of their choice.

Mr Justice Chande is currently a senior adviser to the United Nations on Human Rights. As a former chief of the International Criminal Tribunal for Rwanda (ICTR) Prosecutions and ex-prosecutor of East Timor's UN administration, he boasts rich international experience and exposure in the management of judicial affairs.

He is also said to enjoy good relations with some influential personalities in government. Mr Justice Chande is a younger brother of the current TISS director, Mr Rashid Othman.

Sources said judges Luanda and Bwana enjoy the backing of most of their colleagues in the Judiciary, have excellent credentials and track records, boosting their chances of catching President Kikwete's eye.

Mr Justice Luanda, who started his career as a resident magistrate in 1975, became the registrar of the Court of Appeal in 1997, during the reign of Chief Justice Francis Nyalali. He is said to have enormous experience in management.

He worked as a coordinator at the Judicial Institute at the Institute of Development and Management (IDM) at Mzumbe for eight years from 1990, before he became the registrar, was later appointed judge of the High Court and after a while, promoted to the Court of Appeal.

He is praised for steering Judiciary well, as the registrar at a time when there was little in terms of allocation of funds from the government.

He is currently the regional vice-president for the Commonwealth Magistrates and Judges Association (CMJA) for East, Central and Southern Africa.

He is described by his peers as hard-working and is liked by many, reportedly for not aligning himself to rival groups within the Judiciary. "His record is good. He has a clean sheet and is also a good researcher. Most of the other judges view him as a man who can overhaul the Judiciary, which is struggling to restore its reputation that has been tainted by corruption allegations," one of the sources said.

Mr Justice Bwana is also said to possess the qualifications needed for the post of CJ. He started his career as a junior judicial officer and later attained a PhD in law. He has also a reputation as a hard-working professional, who abhors delays in making decisions. Judge Bwarna is said to have won the confidence of the outgoing CJ.

He served as a judge of the Supreme Court of the Seychelles for five years from 1994, in a judicial exchange programme with Tanzania, but was later recalled.

Judge Bwana has been a judge of the Court of Appeal since 2008. He graduated from the University of Dar es Salaam and with a bachelor of law degree in 1974. He obtained his master's degree in Law in 1988, in Rome, and a PhD in 1992, also from Italy.

Gender

There has been talk of the possibility of picking a woman Chief Justice, who would be first to hold the position in the country's history.

One of the most respected judges in Tanzania, Lady Justice Eusebia Munuo, is said to have been widely tipped for the post before the centre of attention shifted when other considerations took centre stage.

Judge Munuo is a founding member of Tanzania Women Judges Association (TWJA). She is also the president-elect of the International Association of Women Judges (IAWJ). She is said credited with the capability of handling complex matters in the Judiciary.

She joined the Judiciary in 1970, as a magistrate, and worked her way up through the ranks. She was appointed judge of the High Court in 1987, a position she occupied until the end of August 2002, when she was elevated to the Court of Appeal

Lady Justice Munuo has distinguished herself with an impeccable career during her 30 years in the judicial service. Earlier, there was a speculation that the President could extend her tenure that reportedly expires next year and pick her for the CJ's post.

Source: Sunday Citizen
 
kumbe the citizen walitabiri ukweli. na kumbe kaka mtu rashid othman ndiye aliyesuka mpango mzima! any way mi mambo hayo sio mtaalamu sana wa kuyadadavua
 
Duh, huyu Chief Justice mpya ni mdogo wake mkuu wa usalama wa taifa, yaani director general of the Tanzania Intelligence and Security Services (TISS), Rashid Othman.

Hivi hapa hakuna conflict of Interests... AU NI MIMI TU, NA MAWAZO YANGU YA KIZAMANI.......??????
 
Duh, huyu Chief Justice mpya ni mdogo wake mkuu wa usalama wa taifa, yaani director general of the Tanzania Intelligence and Security Services (TISS), Rashid Othman. Katika vetting ya Chief Justice huwa mkuu wa TISS anahusishwa kwa karibu kupitisha majina.

Hii ina maana kuwa Othman wa TISS kampigia chapuo mdogo wake kuwa Chief Justice mpya! It's very possible candidates wengine wa post hii walichafuliwa makusudi ili dogo apite.

Tutarajie nini kuhusu maamuzi sensitive ya mahakama kuhusu katiba mpya, mgombea binafsi, na mengine ambayo yatawagusa watawala kwa karibu. It's obvious kuwa usalama wa taifa ndiyo itakuwa inaiendesha mahakama ya Tanzania. Othman wa TISS atakuwa anatoa maagizo tu kwa dogo wake Othman Chief Justice.

"Dogo hiyo kazi ya Chief Justice si nimekupigia chapuo mimi, sasa nimeshauriana na Rais na uamuzi wa mahakama ya rufaa kwenye kesi hii uwe hivi...."

Kazi ipo hapa... TISS itakuwa inaiendesha mahakama ya Tanzania mpaka mwaka 2017 ambapo Othman atakuwa amefikia umri wa kisheria wa kustaafu.
Umefanyia utafiti hayo unayoyaaandika au unafurahisha baraza
 
tatizo siyo mteuliwa bali ni vigezo vipi vimetumika katika uteuzi huu..wapi bunge?................wapi kamisheni ya sheria?

uwazi haupo na ndiyo maana teuzi zote za JK tunazitilia shaka.................................lakini utamu wa haya yote ni kuwa JK is on his way out....................................hana jipya wala siye mpenda mabadiliko wa jinsi nchi inavyoongozwa..............what a shame upon his soul.........................
 
Uteuzi huu una harafu kali ya udini....alipomteua justice Ramadhan alijua ni mzee na hata kaa sana......sasa huyu ni kijana atakaa miaka 7..........au kwa lugha nyingine atamzidi JK kwa miaka miwili................................

lengo ni kuhakikisha mapingamizi dhidi ya sheria mpya ya mahakama ya kadhi yanatupiliwa mbali chini ya uongozi wa Chief Justice Othmani.............again JK is simply disgusting..............................
 
Ngoja nikamalizie pilau la jana kwanza nikirudi nitakuwa na cha kusema
 
Othman ni mwanasheria mzuri competent among all three names, well he has international and local experience.

JK for the second time you made a good choice kama ulivyofanya first time kwa Magufuli

Mengine yote ni Udini tu taratibu watazoea tu..ukumbuke tangu uhuru 1961 ni wale wale tu..

Watazoea na kwamba Tanzania ni wote sote (kila moja)
 
Hongera Jaji Chande. Nakutakia heri na mafanikio katika ofisi yako mpya. Mungu akutangulie uiongoze mahakama kwa uadilifu na uaminifu kwa katiba ya nchi yetu.

Ni matumaini ya watanzania wengi kama sisi kwamba utatumia uzoefu wako katika kuhakikisha mahakama inafanya shughuli zake za kutafsiri sheria bila upendeleo wa masikini na matajiri. Tanzania ni yetu sote. Hatuna budi kuijenga wote.

Kila lakheri na nakutakia afya njema,

Masanja
 
Umefanyia utafiti hayo unayoyaaandika au unafurahisha baraza

Wewe mwenye different side of the story.... naomba utumwagie hapa........ hizo ndio kazi za forum, kama unaona asemalo ni fiction basi tuambie ukweli.


Ili kusave muda naomba utuambie mtoa mada amedanganya wapi Je hawa jamaa sio ndugu??????
 
Back
Top Bottom