Sanda Matuta
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 949
- 134
mimi sijui ukweli kwa ndani, ila tuliokuwapo ubungo wakatu huo tulimpigia kura (au tudanganyana?)
(hearsay) Keenja aliamua kuishika manzese, na sehemu zilizo highly populated akatilia msisitizo kwa kila hali, kuanzia khanga, tshirts, kofia mpaka sherehe na vikao vya usiku(niliona baadhi). Sikuona tshirt ya mnyika.
Mnyika alizunguka sana tangu mwanzo, jimbo zima akaeleweka vizuri kabisa, akapendeka, Keenja alikwama mwanzoni kabisa ila mwishoni akawateka watu kwa mshtukizo kwa ahadi na zawadi, wakamuhama mnyika.
hiyo ni hoja tuliojipa wakati ule baada ya kuona kura hazikutimia.
Anyway, bado tunajua wewe ndio ulifaa. Ukitumia nguvu ile hadi mwisho pia safari hii mtapata. Labda asije keenja. aje kijana kama wewe toka ccm.
Haika,
Mimi muda ule nilikua bado niko Sinza na kwa karibu nilikua na mawasiliana na kambi ya huyu Mh.Mbunge (Aliyetarajiwa)Bwn.Mnyika.
Tatizo kubwa lilikua Kujiaamini kupia kiasi kwa kambi yake,hasa kutokana na ifluence ya ujana (maana wengi walikua vijana na wapiga kula wa maeneo yale ni vijana) ya kamati nzima.
Ila walisahau kitu kimoja,ukitulia maanani maeneo hasa maeneo ya manzese na kata zake za sinza.wenye viti wengi wa serikari za mtaa walikua ni kutoka ccm na walikua na mipango mingi ya kupata kula iwe kwa harari ama kuiba kwani mamlaka mengi yalikua chini yao hivyo kufa uibaji kura pale URAFIKI HALL kua rahisi unlike vijana ambao wao ni wapiga kula tu waendao vituoni na kupiga kula na kwenda zao vijiweni kusubiri majibu na kupiga kula.
Wenye viti hao wengi hasa wa kata ya sinza madukani alinunua vijana wengi katika ile kamti ya Mnyika na fedha zote zilitoka kwa Muheshimiwa aliye pata huo Ubunge.
Lakini all in all bwana Mnyika na kamati yake walijitahidi sana ila wenzao waliwashinda kwa mbinu ila Ubunge kwakweli alipata kutokana na HOJA za kweli toward maendeleo ya ukweli .