ITV bakizeni akiba ya ushabiki

ITV bakizeni akiba ya ushabiki

Nenda TBC utaona negative sides za Chadema
 
Yaani kuna matukio yanaonyesha wazi kuwa mna upendeleo wa wazi kwa CHADEMA na UKAWA bila kificho, mfano migogoro ya CHADEMA ya wagombea wao kukatwa na kugombana hadharani hamuonyeshi sana sana mnakimbilia kule CCM wanakokatwa na kutangaza kuhama tu! Bakizeni akiba ya maneno ya habari za kishabiki hamuwezi kujua nani ataibuka mshindi na msiamini mnavyoamini tu.
Duh! Inaonekana imekuuma sana.
 
antony komu kamtishia silaha lema sababu kashindwa kura za maoni kilimanjaro aliyeshinda ni lucy owenya. itv kimyaaaaa! me hawa watu naona wamekaa kidaku daku juzi nilicheka hadi mbavu zikakatika mbavu mbili nilipoona picha ya mengi na lawrence masha nikakumbuka habari za kutaka kuuwawa zilizowahi kurushwa itv yaani kuna unafiki mwingi kwenye hii nchi
 
Mngekuwa Mna AKILI Na MMEJIZATITI Basi Msingeacha Hadi Simu Zake Zote Lowassa Na Wafuasi Wake Tena Wa Karibu Zipo Monitored 24/7 Na ANASANIFIKA Mno Na Wazee Wa Kazi. au Mnataka Sasa Tutegeshe Kama Alivyotegeshewa Savimbi Kisha Ibaki MIFUPA Na MAFUVU Kisha Ndiyo Muyapigie Kura? au Nikutajie Hapa Hapa Hadharani Watu Wetu Wa Kazi Ambao Wako Penetrated Na Seconded Kwenu CHADEMA / UKAWA?

Wazee wa kazi wengi kwa sasa ni watumishi wa UKAWA hata wakichunguzaa simu na mawasiliano wanajisumbua kwani wenzao wanaleta habari zote za siri.
 
antony komu kamtishia silaha lema sababu kashindwa kura za maoni kilimanjaro aliyeshinda ni lucy owenya. itv kimyaaaaa! me hawa watu naona wamekaa kidaku daku juzi nilicheka hadi mbavu zikakatika mbavu mbili nilipoona picha ya mengi na lawrence masha nikakumbuka habari za kutaka kuuwawa zilizowahi kurushwa itv yaani kuna unafiki mwingi kwenye hii nchi

Ungecheka mbavu hadi zivunjike kwani unacheka kicheko cha kushangaza! Kwani haujui kuwa wagombanao ndiyo wanataka walipatana makaburu na weusi kule south africa sembuse Mengi na masha wewe inaelekea unapenda vinyongo vya kudumu lazina utakuwa na roho mbaya
 
Ivi kwanini mwaisakama ITV,nendeni muwashauri TBCCM,kuwa hakuna mtu mwenye akili sawasawa anaweza kukaana kuangalia habari kupitia TV hii maana habari zao zote ni kuisifu ccm na kubaza oppositions
 
CCM Haijajiandaa Kushindwa Na Tena Utukome Wana CCM Wote Kwani Tokea UHURU Wa Nchi Hii CCM Haijawahi Na Haitakaa Kushindwa Na Itaongoza Tanzania Hii Hii Kwa Miaka Mingine 1000 Ijayo. Tuvumiliane Tu Wajameni!
Kwa hiyo kura zisipotosha mnafanyaje kwa vile hamjajiandaa? Kumbuka kuna chaguo na ni wanananchi ndiyo wanaamua! Nafikiri muanze pia kujiandaa kushindwa la sivyo muandae watu wa kwenda the Hague.
 
Yaani kuna matukio yanaonyesha wazi kuwa mna upendeleo wa wazi kwa CHADEMA na UKAWA bila kificho, mfano migogoro ya CHADEMA ya wagombea wao kukatwa na kugombana hadharani hamuonyeshi sana sana mnakimbilia kule CCM wanakokatwa na kutangaza kuhama tu! Bakizeni akiba ya maneno ya habari za kishabiki hamuwezi kujua nani ataibuka mshindi na msiamini mnavyoamini tu.

TBCCM je..?hapa moja moja mpaka sasa sema mmetuzidi na klauzi teh teh teh
 
Kwa hiyo unafurahia ITV kufanya makosa yanayofanywa na TBC?

Two wrongs do not make it right.

Basi usilalamike habari pale zinazokuhusu zisipotangazwa.

Haki ya kupata habari ni haki ya muhimu sana kwa ustawi na maendeleo ya jamii bila kujali inamnufaisha nani moja kwa moja.

ukiwa mfinyu wa kuelewa rhetoric arguments ni bora usicomment kitu chochote....kwanza ulipaswa kujiuliza kwa nini nimehusisha uendeshaji. TBC inaendeshwa kwa kodi zetu kimsingi haipaswi hata kuwa na tangazo la biashara.

ITV ni kampuni ya kibiashara ambayo inakwenda na upepo au kunakovutia wengi....ikiwa wengi wanaona waangalie ITV kwa sababu inaonyesha UKAWA ni opportunity kwao ili wafanyabiashara watangaze biashara....ITV si chombo cha umma, TBC is.
 
watanzania wanataka mabadiliko miaka hamsini tunatumia jembe la mkono wakati uchumi wetu unatakiwa kutumia kilimo
 
Ni bora hata ITV kuonyesha iyo hali kwa siri kidogo je kwani Hujui kuhusiana na tbc kuonyesha upendeleo wa wazi si ungesema before
Kijana jitambue na baki ukawa njia kuu
 
bajeti yetu unaendeshwa na wanaokunywa vinywaji na kuvuta sigara tunawaganganya watanzania miaka yote maishabora kwa kila mtanzania naomba tuache ushabiki ukweli ni kwamba tu mpe mwingine afanye kazi



miaka hamsini jembe la mkono tutafika lini kwenye greenhouse


tunalima alizeti mafuta mazuli sana lakini zunguka madukani unakuta mafuta yametoka urabuni hatuwezi kufika
 
tbc ruksa kufanya ubaguzi lakini who knows? Huyo huyo msiemtegemea anaweza akashinda na itakua ni kilio kwa staff wote wa tbc
 
Back
Top Bottom