chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,134
Uwe unaangalia TBC. Nadhani inakufaa,gazeti uwe unasoma uhuru,mzalendo na habari leo.
....Pamoja na JamboLeo...
Uwe unaangalia TBC. Nadhani inakufaa,gazeti uwe unasoma uhuru,mzalendo na habari leo.
Kwenda zako kule
unaona sasa,yan hapo ndo mwisho wako wa kufikiri?ukawa ndomana mnashindwa na kijana kama polepole kwasababu mda mwingi mnatumia kukejel,kukashfu na kutukana instead ya kujenga hoja.
Kama vp uwe unaangalia TBC channel ya ccm
kama we gamba angalia TBCCM Inatosha,na soma gazeti la uhuru..ujifariji.Yaani kuna matukio yanaonyesha wazi kuwa mna upendeleo wa wazi kwa CHADEMA na UKAWA bila kificho, mfano migogoro ya CHADEMA ya wagombea wao kukatwa na kugombana hadharani hamuonyeshi sana sana mnakimbilia kule CCM wanakokatwa na kutangaza kuhama tu! Bakizeni akiba ya maneno ya habari za kishabiki hamuwezi kujua nani ataibuka mshindi na msiamini mnavyoamini tu.
Kwa mara ya kwanza uchaguzi wa mwaka huu ccm ndo watakuwa wa kwanza kwenda mahakamani kupinga matokeo.
Hii ITV inatumika,hasa ikizingatiwa mmiliki wake anataka vitalu vya gesi huko mtwara,na kuna mkono wa wafanyabiashara wanao mfadhili Lowasa Mengi akiwemo
Mbona tbc husemi! Ambayo ni ya umma
Yaani kuna matukio yanaonyesha wazi kuwa mna upendeleo wa wazi kwa CHADEMA na UKAWA bila kificho, mfano migogoro ya CHADEMA ya wagombea wao kukatwa na kugombana hadharani hamuonyeshi sana sana mnakimbilia kule CCM wanakokatwa na kutangaza kuhama tu! Bakizeni akiba ya maneno ya habari za kishabiki hamuwezi kujua nani ataibuka mshindi na msiamini mnavyoamini tu.
Mbona tbc husemi ambayo ni ya umma
unaona sasa,yan hapo ndo mwisho wako wa kufikiri?ukawa ndomana mnashindwa na kijana kama polepole kwasababu mda mwingi mnatumia kukejel,kukashfu na kutukana instead ya kujenga hoja.
Pumbavu sana... TBC wanavyorusha mapungufu tu ya UKAWA we huoni sio
Ha ha ha.. Kwa sheria gani Mkuu wakati waliikataa rasimu ya Warioba, ambayo ilikuwa inatoa haki kupinga matokeo mahakamani, wakidhani watabaki madarakani milele..!