morenja
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 4,518
- 1,855
TBC ni chombo cha umma lakini si cha umma achana na itv wanajitahidi sana tena sana
Umenikumbusha wakati ITV inaanzishwa ilipigwa vita na ccm .vita ya ajabu kama sio ujasiri wa Mengi ingekuta mpaka Leo tuna tbccm tuu