sio itv peke yake hata nipashe ni tatizo wanaandika unazi tupu
soma uhuru habarileo halafu
sikiliza tbc mwaka mmekatika
mmezoea kubebwa
sio itv peke yake hata nipashe ni tatizo wanaandika unazi tupu
UHURU na MZALENDO Vipi??
Sio Itv peke yake hata nipashe ni tatizo wanaandika unazi tupu
Hivi TBC wanaonyesha mikutano ya UKAWA? tuanze na hao kwanza maana TBC inaendeshwa kwa kodi za hata wana UKAWA kuliko ITV ambayo ni biashara ya mtu binafsi.
Sijui ksma ni mmiliki au ni watangazaji wake in short hats magazetivwanadoma hovyo kuiliko tbc1!wamechagua upande wenginebtumeanza kuwapuuzaYaani kuna matukio yanaonyesha wazi kuwa mna upendeleo wa wazi kwa CHADEMA na UKAWA bila kificho, mfano migogoro ya CHADEMA ya wagombea wao kukatwa na kugombana hadharani hamuonyeshi sana sana mnakimbilia kule CCM wanakokatwa na kutangaza kuhama tu! Bakizeni akiba ya maneno ya habari za kishabiki hamuwezi kujua nani ataibuka mshindi na msiamini mnavyoamini tu.
ITV haina upendeleo tunaisifu tofauti na TBC ya CCM inayotumia kodi za wa TZ viva ITV
Kila anayesema ukweli kwenu ni ccm tu! Hivi lini mtakubali kushauriwa?
Yaani kuna matukio yanaonyesha wazi kuwa mna upendeleo wa wazi kwa CHADEMA na UKAWA bila kificho, mfano migogoro ya CHADEMA ya wagombea wao kukatwa na kugombana hadharani hamuonyeshi sana sana mnakimbilia kule CCM wanakokatwa na kutangaza kuhama tu! Bakizeni akiba ya maneno ya habari za kishabiki hamuwezi kujua nani ataibuka mshindi na msiamini mnavyoamini tu.
[/QUOTE
Haifikii TBC na upendeleo kwa ccm
Ngojea Magufuli Achukue Nchi Tuone Hiyo Media Kama Itakuwepo Tena Tanzania Kudadadeki. Ngoja Wajidanganye Kuwa Rais Ni Lowassa Wao Wakati Wanamume Jana Tayari Tumeshamaliza Kupanga Safu Nzima Ya Baraza Lake La Kwanza La Mawaziri Na Kesho Tunamalizia Kupanga Wakuu Wake Wapya Wa Mikoa Na Wilaya Na Ijumaa Tunamaliza Na Mabalozi Na Wakurugenzi Mbalimbali Wa Taasisi Zetu Muhimu Na Nyeti Ili Jumapili Tukianza Mziki Pale Jangwani Kila Kitu Kiwe Kipo Tayari. Hakuna Raha Na Utamu Kama Kuipenda CCM. Tuvumiliane Tu Wajameni!
Sijui ksma ni mmiliki au ni watangazaji wake in short hats magazetivwanadoma hovyo kuiliko tbc1!wamechagua upande wenginebtumeanza kuwapuuza
Yaani kuna matukio yanaonyesha wazi kuwa mna upendeleo wa wazi kwa CHADEMA na UKAWA bila kificho, mfano migogoro ya CHADEMA ya wagombea wao kukatwa na kugombana hadharani hamuonyeshi sana sana mnakimbilia kule CCM wanakokatwa na kutangaza kuhama tu! Bakizeni akiba ya maneno ya habari za kishabiki hamuwezi kujua nani ataibuka mshindi na msiamini mnavyoamini tu.
Kaka mi sio mjinga. Hivi kwa nini nyie chadema mna matusi namna hii!? Huko Sikonge chadema toka asubuhi wanapasuana wao wanaongelea habari za mabibo tu!
Teeeeeeh,teeeeeeh,teeeeeh,endelea kujidanganya kama nyani anavyo jidanganya kwa kujidai anachoma Hindi kwa kulionyesha Hindi kunako tokea moshi,mwaka huu ndio mtaijua nguvu ya umma na mjiandae kwa kuwa wapinzani
Mkuu kama CCM hamtaki kutangazwa kwa mabaya acheni kufanya mabaya.
Shida hoja bwana mdogo unafikikiri mabavu ya ccm yanaweza kuvisumbua vyombo vingine TBC hawana hadhi wanayopewa.TBC ni sawa na uhuru kama ivyo yaani,mi nikushauri,be gentlemen na zungumza ukweli panapo bidi
Teeeeeeh,teeeeeeh,teeeeeh,endelea kujidanganya kama nyani anavyo jidanganya kwa kujidai anachoma Hindi kwa kulionyesha Hindi kunako tokea moshi,mwaka huu ndio mtaijua nguvu ya umma na mjiandae kwa kuwa wapinzani