rallphryder
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 3,630
- 1,444
- Thread starter
- #121
Na vijana wa ccm wengi wamesha dumaa
Hakuna waliodumaa kama nyinyi ukawa ambao wajanja kama Dr slaa na Lipumba wamewapuuza, kwa kubadilishiwa misamiati kila uchao na huku mnakenua meno tu! Eti fisadi anaitwa "Mfumo" ha ha ha ha think big bro!