Its officially OVER Erick!

Its officially OVER Erick!

BT hata wewe?
Mtu wetu ?
Dam-dam!
Lako letu!
Letu lako!
Sina maana nafikiria kukuweka nje ya mtandao wetu laa hasha!
Bt nakusihi basi, kua mke mwenza, BT kuna ubaya mkiwa hivyo?
Na si tayari ushakua mke mwenza na Amy?
Tatizo nini BT ?
Amyner si ni wetu jamani ?
Hiyo kusema ameforgive forever ni hasira tu! Nafsi hurejea nyuma badae.

Au unaniambiaje? Aidha nitafurahi kuwatambua wote wewe na Amy ni My Shem, ukizingatia mila na desturi za kwao 52 zinaruhusu ndoa za multiple.
I hope kuanzia leo Amyner hatoongea na wewe tena,yaani kwa msimamo wako huu....
 
Wherever you r...
Amyner wajua namna gani nakupenda,wajua tulikotoka...penzi letu sio la kuyumbishwa kirahisi namna hiyo...
I real love you na hao wanaokupa maneno sio wema,simama imara kulinda penzi letu,humu hawatatusaidia lolote zaidi ya kutuvuruga..come down tuimarishe penzi letu.
Love you bby..
Usharikoroga!
 
It hurts me to say this, but am thankful to Zinduna's Talk Show because imeniwezesha ku find out what kind of a TERRIBLE MAN you are Erick!
Bishanga alinipa warning mara nyingi nikapuuzia. And now i have seen for myself.
I cant share a man so am letting u go.
Cantalisia naomba usimtetee erick he's not worth it.
BT, Erotica et al.. You can have him now..
To all my shemeji's BAGAH, Judgement , and etc hope we'll still keep in touch!
But for now WE ARE SO DONE ERICK!

And.. Am moving out, nakuja kuchukua all my things.. You can turn ur place to a "...." if u WISH!!

Mwanyasi don't like this!

  • :sad:
 
me hapa cjaelewa kidogo:kwa upeo wangu mdogo sidhan kama am with my bf crying bcoz of his mistakes hafu at the same time yey anasign in jf na kuendelea na chatings zake:coz me cwez et naongea na wew ili kuweka our relationship sawa then wew unachukua cjui laptop au simu na kupm watu lyk me kisiki crying for you:Erick why dont u solve hiyo ishu na amyner then uturudie sisi huku ukiwa na raha zote za kusamehewa na amyner..

Q hii ndo jf.
 
Hivi hapa kuna nini KInaendelea wajameni? Kama kuna mmojawenu anaweza kujitolea akaniambia kwa ufasaha....maana nina machungu Twiga jana wametolewa, leo sijui Taifa stars wametolewa,

sasa hapa...whats wrong Erickb52, Amyner, The secretary, Bishanga, Smiling Saint, BADILI TABIA, Mamndenyi, Remmy, Judgement, The Boss (sijui anafanyaje hapa) Qt B na wengineo!
Kwa kifupi ni hivi:
Erick na amyner ni wapenzi.
Erick kwa ulafi wake na Amyner bila kujua kujua kaamua kufanya uzanga,leo ndo Amyner kagundua...kasheshe Amyner hataki kusikia cha mtoa adhana wala mwongoza swala!
 
Last edited by a moderator:
bibiee, kidole na jicho.

Inahusu nini???

Ina maana wote wanaosaidia omba omba wanawaoa?

Boss kampa amyner kama msamaria tu kumpoza machungu, atie timu kwangu anamnywesha sumu aloo

amyner kaa na mumeo, unadhani ndoa mchezo?

Mie hapa nilichitiwa hadi na visungura lakini sikuondoka, sasa hivi kazeeka twala vyetu

hivi huyu amyner alifundwa kweli?

Mnalo!
Nshakukataza ushambenga wewe!
 
ha ha ha

amyner atakuwa anaota, mkufu wa zahabu kwa boss ni gesture ndogo sana.

Nimedhani kapewa nyumba mikocheni, kumbe kimkufu lol

shamba boy anaendesha Harrier, so sishangai saaana.

Huyu mtoto mdogo kuucheza mziki wangu, hivi anajua hata vibration ya kalio moja huyu?

Kwanza naskia Erick kamtema sababu hajui kuoga, he he he he nisije sema mengi lol
Na wewe umeamua kudandia treni?
 
bibiee, kidole na jicho.

Inahusu nini???

Ina maana wote wanaosaidia omba omba wanawaoa?

Boss kampa amyner kama msamaria tu kumpoza machungu, atie timu kwangu anamnywesha sumu aloo

amyner kaa na mumeo, unadhani ndoa mchezo?

Mie hapa nilichitiwa hadi na visungura lakini sikuondoka, sasa hivi kazeeka twala vyetu

hivi huyu amyner alifundwa kweli?

Mnalo!

Yangu hapa tu yananishinda wala usihofu konnie, The Boss was only trying to comfort me..
He's caring. Unlike other "guys" i know. You are lucky to have him!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom