Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,321
- 10,079
Hakuna cha maunt meru wala mount kilimanjaro, erickb52 nipo nae hapa, nimempa gemu ya ukweli hadi amesinzia....
Ddjjuuu ya nini unampandisha Amyner presha??
Hakuna cha maunt meru wala mount kilimanjaro, erickb52 nipo nae hapa, nimempa gemu ya ukweli hadi amesinzia....
Ef dablyu bii ndo nini mkuu?
I hope kuanzia leo Amyner hatoongea na wewe tena,yaani kwa msimamo wako huu....BT hata wewe?
Mtu wetu ?
Dam-dam!
Lako letu!
Letu lako!
Sina maana nafikiria kukuweka nje ya mtandao wetu laa hasha!
Bt nakusihi basi, kua mke mwenza, BT kuna ubaya mkiwa hivyo?
Na si tayari ushakua mke mwenza na Amy?
Tatizo nini BT ?
Amyner si ni wetu jamani ?
Hiyo kusema ameforgive forever ni hasira tu! Nafsi hurejea nyuma badae.
Au unaniambiaje? Aidha nitafurahi kuwatambua wote wewe na Amy ni My Shem, ukizingatia mila na desturi za kwao 52 zinaruhusu ndoa za multiple.
BADILI TABIA sema bas taratib...
Mbona makubwa?poleni walengwa
Usharikoroga!Wherever you r...
Amyner wajua namna gani nakupenda,wajua tulikotoka...penzi letu sio la kuyumbishwa kirahisi namna hiyo...
I real love you na hao wanaokupa maneno sio wema,simama imara kulinda penzi letu,humu hawatatusaidia lolote zaidi ya kutuvuruga..come down tuimarishe penzi letu.
Love you bby..
Its too late erick.. Am not looking back.
It hurts me to say this, but am thankful to Zinduna's Talk Show because imeniwezesha ku find out what kind of a TERRIBLE MAN you are Erick!
Bishanga alinipa warning mara nyingi nikapuuzia. And now i have seen for myself.
I cant share a man so am letting u go.
Cantalisia naomba usimtetee erick he's not worth it.
BT, Erotica et al.. You can have him now..
To all my shemeji's BAGAH, Judgement , and etc hope we'll still keep in touch!
But for now WE ARE SO DONE ERICK!
And.. Am moving out, nakuja kuchukua all my things.. You can turn ur place to a "...." if u WISH!!
me hapa cjaelewa kidogo:kwa upeo wangu mdogo sidhan kama am with my bf crying bcoz of his mistakes hafu at the same time yey anasign in jf na kuendelea na chatings zake:coz me cwez et naongea na wew ili kuweka our relationship sawa then wew unachukua cjui laptop au simu na kupm watu lyk me kisiki crying for you:Erick why dont u solve hiyo ishu na amyner then uturudie sisi huku ukiwa na raha zote za kusamehewa na amyner..
Kwa kifupi ni hivi:Hivi hapa kuna nini KInaendelea wajameni? Kama kuna mmojawenu anaweza kujitolea akaniambia kwa ufasaha....maana nina machungu Twiga jana wametolewa, leo sijui Taifa stars wametolewa,
sasa hapa...whats wrong Erickb52, Amyner, The secretary, Bishanga, Smiling Saint, BADILI TABIA, Mamndenyi, Remmy, Judgement, The Boss (sijui anafanyaje hapa) Qt B na wengineo!
Acha uchonganishi.
Nshakukataza ushambenga wewe!bibiee, kidole na jicho.
Inahusu nini???
Ina maana wote wanaosaidia omba omba wanawaoa?
Boss kampa amyner kama msamaria tu kumpoza machungu, atie timu kwangu anamnywesha sumu aloo
amyner kaa na mumeo, unadhani ndoa mchezo?
Mie hapa nilichitiwa hadi na visungura lakini sikuondoka, sasa hivi kazeeka twala vyetu
hivi huyu amyner alifundwa kweli?
Mnalo!
Na wewe umeamua kudandia treni?ha ha ha
amyner atakuwa anaota, mkufu wa zahabu kwa boss ni gesture ndogo sana.
Nimedhani kapewa nyumba mikocheni, kumbe kimkufu lol
shamba boy anaendesha Harrier, so sishangai saaana.
Huyu mtoto mdogo kuucheza mziki wangu, hivi anajua hata vibration ya kalio moja huyu?
Kwanza naskia Erick kamtema sababu hajui kuoga, he he he he nisije sema mengi lol
hebu njoo Bamboo nikupe ofa, kumbe unanijali na kunilinda eeh!
Hivi hujui naku mind???!!!!???!!!!
bibiee, kidole na jicho.
Inahusu nini???
Ina maana wote wanaosaidia omba omba wanawaoa?
Boss kampa amyner kama msamaria tu kumpoza machungu, atie timu kwangu anamnywesha sumu aloo
amyner kaa na mumeo, unadhani ndoa mchezo?
Mie hapa nilichitiwa hadi na visungura lakini sikuondoka, sasa hivi kazeeka twala vyetu
hivi huyu amyner alifundwa kweli?
Mnalo!