owkey Bishanga,nimeelewa..nice chit chat..lkn mmh yataka ustahimilivu kwa tusojua utani kama mie..
Unajigonga eh baada ya kuharibu? Imekula kwako hiyo!!!!
Kweli umedhamilia kunimiliki lol
Badili tabia.........
unanijali kama nani?
Kama shosti angu sawa.
Mengine staki, huko huko kwa TS.
Nina ndowa changa kama yai la njiwa lol
Nishabadili
We huyo kigoda wako hukohuko mie simtaki ma pressure ya nini kutwa kuvunja ndoa za watu FATAKI LA TANDALE
Heshma, Adabu, Busara, Vigezo unavyo !
Mi penda the way you respond.
Bt just wait for a moment tumalize agenda mezani, tunatoka ukoo wa kichifu agenda yako inazungumzika, itajadiliwa.
Ni kweli agenda iendeleeHeshma, Adabu, Busara, Vigezo unavyo !
Mi penda the way you respond.
Bt just wait for a moment tumalize agenda mezani, tunatoka ukoo wa kichifu agenda yako inazungumzika, itajadiliwa.
We BT wewe!
yan ananiharibia aisee lol