BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
Judgement, mie sina tatizo Amyner kuwa mke mwenzangu, namheshimu kama bi mkubwa, ila akiamua kususa mie nitamsaidiaje jamani? Na anamujua Erickb52 wetu udhaifu wake.....
Heri avumilie, ndo ina kupanda na kushuka, ila
akisusa shauri yake, mie simuachi b52 ng'ooooooooo......
Heri avumilie, ndo ina kupanda na kushuka, ila
akisusa shauri yake, mie simuachi b52 ng'ooooooooo......
BT hata wewe?
Mtu wetu ?
Dam-dam!
Lako letu!
Letu lako!
Sina maana nafikiria kukuweka nje ya mtandao wetu laa hasha!
Bt nakusihi basi, kua mke mwenza, BT kuna ubaya mkiwa hivyo?
Na si tayari ushakua mke mwenza na Amy?
Tatizo nini BT ?
Amyner si ni wetu jamani ?
Hiyo kusema ameforgive forever ni hasira tu! Nafsi hurejea nyuma badae.
Au unaniambiaje? Aidha nitafurahi kuwatambua wote wewe na Amy ni My Shem, ukizingatia mila na desturi za kwao 52 zinaruhusu ndoa za multiple.
Last edited by a moderator: