aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,630
- 3,578
Huu mkoa vijana wavivu wanaongezeka kwa kasi sana, wanakuja wageni wanafanya kazi wanaondoka na mpunga. Mkoa huu kijana wa kiume anawaza kupata mwanamke ama bibi wa kizungu kutwa kufuga rasta akiamini utamtoa.
Ukitaka kuamini hilo nenda sehemu za starehe kisha akatishe mzungu, ukienda sehemu kama The Hub huwa vijana wanakaa chooni kabisa kuwinda wadada wa kizungu!
Ukija kwa wasichana wa Arusha ndio balaa, dating app zote wapo wanajiuza kwa kigezo cha kufanya modeling. Unakuta kasichana ka miaka 20 kapo na babu wa miaka 75! Hata Zanzibar 50% ya wasichana wanaojiuza ni wanatokea Arusha.
Ukitaka kuamini hilo nenda sehemu za starehe kisha akatishe mzungu, ukienda sehemu kama The Hub huwa vijana wanakaa chooni kabisa kuwinda wadada wa kizungu!
Ukija kwa wasichana wa Arusha ndio balaa, dating app zote wapo wanajiuza kwa kigezo cha kufanya modeling. Unakuta kasichana ka miaka 20 kapo na babu wa miaka 75! Hata Zanzibar 50% ya wasichana wanaojiuza ni wanatokea Arusha.