Itakuwaje Lowassa akifukuzwa CCM, CHADEMA watampokea?

Itakuwaje Lowassa akifukuzwa CCM, CHADEMA watampokea?

Acha kupotosha umma, Lowasa sio waziri mkuu mstaafu, ni waziri aliyejihudhuru kwa matumizi mabaya ofisi ya umma, huyo ndiye mzee wa richmundi, kuhusu kwenda Chadema, unaota ndoto za alinacha, hiki ni chama cha watu makini.
Naona kunawatu humu washa acha Id zao,
Kwa kweli uchaguzi ule uliwaweka baadhi ya wanachama katika wakati Mgumu.

Siasa lazima uwe mnafiki ili uweze kuumudu vyema.
 
Nguvu ya Lowassa inatisha sana.

Wenyeviti wa CCM Mikoa...wengi kawapachika walipo.

Wenyeviti wa CCM wilaya...kawapachika.

Wajumbe wa Halmashauri Kuu...kawapachika.

TISS wengi...wanaripoti pia kwake.

Karume na kundi lake...wapo nyuma ya EL.


Wilson Mukama anamjua EL ni nani, naye Nape Nnauye anamjua fika Lowassa ni nani nchini.
Kisha...
 
Ningefurahi kupata maoni ya baadhi ya "makamanda" walio mstari wa mbele hapa jf kama mmawia, musaallen, mwanahabari huru, godlisten malissa, yerico nyenyere
 
Back
Top Bottom