Itakuwaje Lowassa akifukuzwa CCM, CHADEMA watampokea?

Itakuwaje Lowassa akifukuzwa CCM, CHADEMA watampokea?

CHADEMA kwa sasa hawapokei "viongozi" toka CCM, hivyo Lowassa hawezi kujaribu kuomba kujiunga CHADEMa.

Ila wanachama wa kawaida wa CCM wanaoguswa na elimu ya uraia pamoja na kuzinduliwa toka usingizi wa ujinga, maradhi, ufisadi na kulindana (hivyo kukosa uzalendo na haki zao za msingi) hao wataendelea kupokelewa kila iitwapo leo.
Haya maneno mnayakumbuka leo yupo kwenu na mme mpokea kwa mbwembwe na kumsafisha na kumpa ugombea uraisi
 
Alafu hawa hawa ndio wamemgeuzia kibao Dr Slaa eti ndio kanunuliwa ....tena wanasauti kweli ....uongo hupanda kwa lifti na ukweli unapanda kwa ngazi lakini utafika tu ....chama sasa hivi kinaendeshwa kwa kutegemea matamko ya Lissu ....Lissu akikaa kimya chama hakipo ....ajabu sana ....
 
Tujadiliane hapa!

Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa akitakiwa kutoka CCM, Chadema wanaweza kumkataa?
Sio mstaaafu au hujui kiswahili,ni waziri mkuu aliyejiuzuru,kujiuzuru na kustaafu ni vitu viwili tofauti
 
Haya maneno mnayakumbuka leo yupo kwenu na mme mpokea kwa mbwembwe na kumsafisha na kumpa ugombea uraisi

Nakubali na kusimamia nilichosema, naamini lilikuwa kosa kumpokea Lowassa na pia naamini lilikuwa kosa kubwa zaidi kumkabidhi kupeperusha bendera ya Urais.

Baada ya kusema hayo, natambua pasina shaka yoyote kuwa CCM kuendelea kushika dola ni kosa kubwa na baya na lenye gharama kubwa sana kwa Taifa, vizazi vyetu na kila mzalendo mwenye akili timamu. Lowassa alikuwa na makando kando yake aliyotoka nayo CCM, kwa hiyo CCM ni tatizo kubwa zaidi kwa Tanzania kuliko Lowassa na mafisadi wote (combined). Kwa sababu mpaka tarehe hii ya leo 4/4/2017 CCM imeendelea kutoa/kutengeneza mafisadi kwa viwango na idadi ya kutisha bila ya uwepo wa Lowassa...... hivyo ndio kusema Lowassa alikuwa tunda la mfumo wa CCM.
 
Walinunuliwa ndani ya week wakaanza kusema Lowasa sio fisadi bali fisadi ni ccm(non living creature)
 
Uli
Nilishawahi kusikia kuwa jeuri ya EL ni kwamba anawatishia eti wakimtema, ataenda upinzani. Tusije tukawa mbulula tukampokea CCM wakapata credit. Huyu jamaa nadhani ndio katuletea matatizo ya umeme kwa maslahi yake binafsi. Umeme unapanda mara dufu tunahoji tukiwa bar afu tunatulia (tuingie barabara kidogo-tuonyeshe anger). Wenzetu Kenya walipandishiwa bei ya chakula, wakaingia barabarani na mabango, tumekuwa wabinafsi sana.
Lowassa leo anazunguka nchi nzima na gia yake kubwa ni ruswa kwa watanzania maskini na bodaboda. Na matatizo mengi tunayoyapata, kielimu(shule za kata), kiuchumu (ki-umeme) yalikuja akiwa PM, leo aje upinzani tumpokee. Tutakuwa waroho wa madaraka.
sUlisema vema
 
st: 8284611, member: 28164"]kikwete atahakikisha lowassa anapitishwa,ana siri nyingi za jk huyu mamvi[/QUOTE]
MWongo wewe
 
Back
Top Bottom