Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,505
- 34,256
anapokewa yoyote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawezi kupokelewa labda Sumaye.
Unahuakikanani ampokee fisadi?
Hii thread yako imewaumbua watu wengi.Tujadiliane hapa!
Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa akitakiwa kutoka CCM, Chadema wanaweza kumkataa?
Usitukane Mamba kabla hujavuka Mto.Mwizi Lowassa, aje chadema kufanya nini?
Kijana ulitimiza ahadi yako..?Chadema Wakimpokea Lowassa sipigi kura kabisa.
Hakika Makaburi yaachwee kama ya livyo maanake watu watakimbiana huku na huko.Ukifukua kaburi harufu inawapata wengi