Itakuwaje Lowassa akifukuzwa CCM, CHADEMA watampokea?

Itakuwaje Lowassa akifukuzwa CCM, CHADEMA watampokea?

Dah aisee hapa JF kila mtu aheshimiwe bil kujali kama ni mwerevu ama ********.

Kuna watu wanaongea mambo ya ajabu yanayoonekana kama ni upuuzi usiowezekana ila ni ma foreseers....Wanasayansi wa zamani kina Newton, Mendel, Tesla n.k walifanya mambo yaliyowafanya wachekwe na pengine kuzomewa na kizazi chao, kumbe walikuwa foreseer wa karne kibao, na sasa hivi wanatukuzwa na vizazi na wazomeaji wamesahaulika.

Ona huyu mtoa mada, wakati analeta hii post January 2014 hakuna member aliyeamini uwezekano wa hili jambo, ila kwa sasa ndio ukweli wenyewe....kweli idumu JamiiForums.
Dahaaaa!!
 
Kuna watu wakiuona huu uzi wanachanganyikiwa hasa yale maandishi yao. Ama kweli Lowassa amewashika pabaya.
Wamekuwaa wadogoo zaid ya pritoni. Weka mada ya cuf au kukosoa serikali,, utaona walivyo makin kuzungusha mikono wakionesha mbinu mh EL ambavyo angeendeshaa serikali akiwa chadema kwa uwelediiii,,,, apo ndoutabaini viroba sidiliii
 
Siku zote Njia ya muongo ni fupi, asante Mungu kwa kuwaumbua wanafiki Chadema.

Wamejiegesha kwenye maslahi ya umma kumbe nyuma ya pazia ni majizi matupu.
 
hhahahah Nani kafukunyua haya makabrasha ya zamani tehe tehe tehe aiseee JF bwana safi sana.
 
Back
Top Bottom