Chagga King
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 1,931
- 1,178
mnavyoongea haya huwa mnaongea kinabii au ni ulevi wa siasa?hakuna ccm bila lowasa na hitakuja kuwa ccm bila lowasa milele.
mnavyoongea haya huwa mnaongea kinabii au ni ulevi wa siasa?hakuna ccm bila lowasa na hitakuja kuwa ccm bila lowasa milele.
msome huyo hapo juu anayejiita LOOOKKuna watu walibadili IDs zao kwa aibu.
karibu tena kwa mjadala leoHakuna mtu anayeweza kusema lolote kwa EL, ccm yote ni mali yake na wengine wote ni watumwa wake tu, wewe hukumbuki walikuja na sera za kuvua gamba huoni EL anavyowavua magamba mawaziri? Kama kuna kidume ccm athubutu kumfukuza EL uanachama.
you were very right yani, prophetichawawezi kumtimua very likely ataamua kutoka mwenyewe kama wasipopitisha jina lake
Vip huyo el bado mwiziMwizi Lowassa, aje chadema kufanya nini?
Ni jamaa mmoja anaitwa CHARMILTON.Nani kafukua hii kitu huko "archive" hahahahah
hahahahahahahah, mwishoe fisadi alipokelewanani ampokee fisadi?
kwamba mawazo ya watanzania milioni sita ni bendera fuata upepo.huu uzi unatufundisha mengi
tehe tehe teheAcha kupotosha umma, Lowasa sio waziri mkuu mstaafu, ni waziri aliyejihudhuru kwa matumizi mabaya ofisi ya umma, huyo ndiye mzee wa richmundi, kuhusu kwenda Chadema, unaota ndoto za alinacha, hiki ni chama cha watu makini.
Nilishawahi kusikia kuwa jeuri ya EL ni kwamba anawatishia eti wakimtema, ataenda upinzani. Tusije tukawa mbulula tukampokea CCM wakapata credit. Huyu jamaa nadhani ndio katuletea matatizo ya umeme kwa maslahi yake binafsi. Umeme unapanda mara dufu tunahoji tukiwa bar afu tunatulia (tuingie barabara kidogo-tuonyeshe anger). Wenzetu Kenya walipandishiwa bei ya chakula, wakaingia barabarani na mabango, tumekuwa wabinafsi sana.
Lowassa leo anazunguka nchi nzima na gia yake kubwa ni ruswa kwa watanzania maskini na bodaboda. Na matatizo mengi tunayoyapata, kielimu(shule za kata), kiuchumu (ki-umeme) yalikuja akiwa PM, leo aje upinzani tumpokee. Tutakuwa waroho wa madaraka.
Siasa ni mchezo hatari sana. Leo tena hao hao wako na Maalim Seif, kipindi cha nyuma waliita CUF ni CCM- 'B' na Maalim Seif ni pandikizi!
Ni hatari sana. Kuna watu akili zao zimeshikwa hawana uwezo wa kufikiri kwa kutumia akili zaokwamba mawazo ya watanzania milioni sita ni bendera fuata upepo.
+ balali, sumaye ....Msimamo wangu haujawai kufa kuwa Lowassa ,Kikwete, Mkapa ni mafisadi papa wa nchi hii mpaka naenda kaburini ......
I will stand for that.......
Usimwamini mwanadamu hadi awe amekufahuu uzi unatufundisha mengi
Hahaha unasema?nani ampokee fisadi?