Ukweli ni kwamba sheria za kiislam ziko on the rise na zinakuwa more favorable sasa all over the world na kutarajiwa kutake over common law,tatizo sisi waafrika kwakuwa ni wafuata mkumbo bado hatujui,na kwahiyo sidhani kama wakristo watamchagua JK this time around,wasilam asilimia 40,wakristo sijui ngapi,hata hivyo huu uchaguzi utakuwa very interesting coz mgawanyiko wa kidini hauwezi kukwepeka JK ameshindwa ku govern kwa busara....JK hakikisha unakula za waislam wote,wafanyakazi waislam sidhani kama watakutupa mkono "Msilam mwenzao"
Kuhusiana na benki hiyo wamesema hata hivyo kuwa ni specifically for muslim people,hiyo kusema wengine wanakaribishwa kwetu sisi inaweza kutupa shida,kwa jinsi ya ubaguzi wa kidini ulivyo....Ni wazo zuri lakini waafrika either ni waislam kuliko waliouleta uislam ama wakristo kuliko waliouleta ukristo,hilo ni tatizo na JK ajiandae....Taifa lijiandae,only the strongest will survive.