Islamic Banking ‘invades’ Tanzania

Status
Not open for further replies.
Haya! Naona itafika wakati tutakataa kuhudumiwa na teller aliyevaa hijab! Si na yeye anafuata sharia katika uvaaji wake?

Amandla.......
 
Tunapaswa kuweka udini kando katika kuangalia hili la sharia banking..mie ninachoona ni mfumo wa kibenki unaotumiwa na nchi za Kiislam na sio uisilamu. Sasa kama wachumi na mabenki wameona unafaa kuuiga kwanini tulumbane hivyo. Tuache kupanda mbegu za chuki kwa misingi ya udini jamani. Udini.. udini, ukabila.. ukabila, weupe..weusi I wish visingekuwepo duniani.
 
Sioni sababu ua kulumbana. Stanbic sio bank ya serikali ni private na kufungua hicho kitu ni haki yao. Sasa wewe kama unaona hukubaliani usiende kuweka pesa zako pale. Au la na sisi wakristo tukaongee na standard charted au bank nyingine. maisha yaende mbele.
Hata private sector inafuata sheria na taratibu za nchi - soma Banking and Financial institutions Act, 2006, BoT Act, our constitution n.k.
 
Tunapaswa kuweka udini kando katika kuangalia hili la sharia banking..mie ninachoona ni mfumo wa kibenki unaotumiwa na nchi za Kiislam na sio uisilamu. Sasa kama wachumi na mabenki wameona unafaa kuuiga kwanini tulumbane hivyo. Tuache kupanda mbegu za chuki kwa misingi ya udini jamani. Udini.. udini, ukabila.. ukabila, weupe..weusi I wish visingekuwepo duniani.
Kwa nini Shekh Simba peke yake alialikwa na kuacha viongozi wa dini nyingine na madhehebu mengine? Sharia inasimamia utekelezaji wa Quaran. Sasa sio udini huu?
 
Hatujasikia kauli ya BOT kuhusu hili kama msimamizi wa mabenki haya kwa niaba yetu.

Licensing condition namba 16 imevunjwa hivyo hana jinsi ni ku - revoke or suspend their licenses. Na hapa ukute chini chini akina Mustafa wanafanya mambo yao.
 
hebu tupe ufafanuzi inakuwaje bank tu iwe kumeingizwa taratibu za kiuongozi wa nchi na masuala ya dini lakini huduma nyengine za jamii ziwe haziingiliani?.

Tumekuwa na sifa ya ku complain watanzania.......wakristo wakianzisha kitu waislam watalalamika, waislam wakianzisha wakristo watalalamika.....sielewi kwa nini......

Msanii nimekushtukizia unaongelea vitu kama facts wakati kumbe huvielewi kwa undani ....ati "tukichinja kikristo" ...and what is that if i may ask!
nadhani kuna haja ya watanzania kuijua katiba yao.sheria inasemaje? Nbc ni chombo cha uma.efatha ni taasisi binafsi,jamani tunapoelekea sipo,hakuna mahali katiba inaruhusu serikali kuendesha taasisi yoyote ya kidini labda tukae chini tukubaliane kubadili katiba.mambo mengine tunavumiliana kama jadi yetu watz.mf chuo cha kiislam moro,mkapa alivunja katiba ,mahakama y kadhi inashindikana kwa sabbu za kikatiba.kwa maoni yangu nafikiri bakwata ingeanzisha hiyo benki ingekuwa sawa.tuwe makini jamani hata kwa michango yetu.nbc ni mali ya uma naombo ibaki kama chombo cha uma.mwisho tutadai polisi wa sharia.magereza ya sharia.tanesco ya sharia.dwasco ya sharia nk.mungu ibariki tz n watu wake
 
Waacheni Waislam na sharia banking yao, kama hutaki basi funga akaunti yako huko NBC au Stanbic Bank. Mbona tuna shule, vyuo hado vyuo vikuu vya kidini, hospitali za dini na kadhalika na hatujalalamika. Tena taasisi hizi hazibagui mtu wa imani yoyote kupata huduma yao. Mbona kuna Efatha na Mkombozi banks na sijasikia Waislamu wakilalamika. Mbona Chuo Kikuu cha Kiislamu kule Morogoro kilitokana na majengo ya TANESCO ambalo ni shirika la umma na majengo hayo walipewa na Rais mstaafu, Ben Mkapa na hakuna aliyelalamika ???????? Kama unaona hutaki Islamic Banking, basi, usitafute huduma yao. Tusigeuze JF kuwa mahali pa porojo za kupotosha ukweli wa mambo kama ninavyoona tunataka kuelekea huko. Wana JF tuwe makini na upotoshaji wa mambo lakini tujikite kutoa hoja zenye ukweli.

Tutumie busara katika hili, hivyo vyuo vyote vinafuata sheria na taratibu za nchi kasoro seminaries ambako mapadri wanakuwa - trained. Taasisi hizi zinahudumia mtu yoyote na hazizingatii imani ya mtu na havitokani na imani ya mtu. Mkombozi benki haingozwi na Code of Canon Law au Catechism.

I am tired of this thread now.
 
Kwa nini Shekh Simba peke yake alialikwa na kuacha viongozi wa dini nyingine na madhehebu mengine? Sharia inasimamia utekelezaji wa Quaran. Sasa sio udini huu?

Hilo nalo limetokana na mawazo ya udini waliokuwa nayo waalikaji...ndio maana nasisitiza tuangalie kama mfumo ikiwa hautufa tuachane nao...Swala la dini ni mapokeo kwetu.
 
Akina mustapha mkulo wanajua wanachofanya,lakini kwa tahadhari wawe makini tumewapa dhamana kwa sababu tunawaamini.tanzania itakuwepo miaka mingi ijayo wao wanapita.mwl nyerere alipita hata mtoto atamjua kwa mema miaka yote.kwa ushauri misikiti yote ianzishe taasisi yoyote itakayo na makanisa vilevile mradi wafuate sheria za nchi.taasisi z a uma zibaki mali yetu wote tusije tukaanza kuweka misalaba na mwezi na nyota kwenye majengo ya uma.kwa kifupi naipenda nchi yangu kuliko dini yangu.nitasema kwelidaima fitina kwangu mwiko.
 
Kwa nini Shekh Simba peke yake alialikwa na kuacha viongozi wa dini nyingine na madhehebu mengine? Sharia inasimamia utekelezaji wa Quaran. Sasa sio udini huu?

Watanzania mnaiogopa sharia/Quaran kama waamerika? na mkisikia mabomu mbagala pia mnachechetuka, Acheni uoga wa hovyohovyo kwani tunakoelekea tunatakiwa tuwe majasiri kwa kila kitu tukionacho kina faida kwa watanzania na ndipo tutatoka mikononi mwa wanyonyaji, mabeberu, wakandamizaji ambao sasa ni watanzania wenzetu
 
Inaonekana wadau bado wanachanganya huduma ya kibenki inayofuata misingi ya dini pamoja na suala la wananchi kugawanywa kwa misingi ya udini, na hii ni kwa kuwa wachache/wengi wetu hatutaki kusoma na kujua ukweli kuhusiana na huduma hii na namna gani itakavyoweza kuwasaidia wananchi pamoja na benki.

Ni muhimu tukatenganisha hayo mambo mawili wadau.
 
Waacheni Waislam na sharia banking yao, kama hutaki basi funga akaunti yako huko NBC au Stanbic Bank. Mbona tuna shule, vyuo hado vyuo vikuu vya kidini, hospitali za dini na kadhalika na hatujalalamika. Tena taasisi hizi hazibagui mtu wa imani yoyote kupata huduma yao. Mbona kuna Efatha na Mkombozi banks na sijasikia Waislamu wakilalamika. Mbona Chuo Kikuu cha Kiislamu kule Morogoro kilitokana na majengo ya TANESCO ambalo ni shirika la umma na majengo hayo walipewa na Rais mstaafu, Ben Mkapa na hakuna aliyelalamika ???????? Kama unaona hutaki Islamic Banking, basi, usitafute huduma yao. Tusigeuze JF kuwa mahali pa porojo za kupotosha ukweli wa mambo kama ninavyoona tunataka kuelekea huko. Wana JF tuwe makini na upotoshaji wa mambo lakini tujikite kutoa hoja zenye ukweli.

iyo issue ni tofauti, vyuo vikuu, shule na hospitali, hazijahusu pesa ya umma iliyo wekezwa, na kusema kweli yale majengo ya tanesco morogoro tuliyowapa waislam waweke chuo ambacho hata hivyo hawawezi kukiendeleza, selikali ilifanya hivyo ili walau kuwafadhili/kuwasaidia kwasababu wanalalamika kuwa wakristo ndo wasomi kuliko wao....hata hivyo, kutoa majengo yale si sawa na kuweka mfumo, majengo hata mengine wakitaka hata leo wanaweza kupata, lakini si kuweka mfumo wa udini kwenye kitu cha umma.....efatha, mkombozi na vingine vingi vimeendeshwa kwa sadaka, wao kwani hawatoagi sadaka? kwanini tuendelee kuwabeba hivi, na zaidi, issue ya majengo ya moro ni tofauti na issue ya ubaguzi wa kuweka sharia ya kiislam kwenye kitu cha umma. wanaingiza kidogokidogo elements za uislam kwenye selikali ambayo ni secular, wamefanya hili, kesho utasikia mahakama ya kadhi, siku ingine utasikia hakuna mwanamke kutembea bila ushungi, siku ingine utasikia kitu kingine cha ajabu alimradi tu watufanye watz wote tuwe waislam...sisi wengine hiyo dini hatutaki hata kuisikia, hivyo mtu anapofanya kitu ambacho kinatugusa na hiyo dini, hatuwezi kukubali kabisa. itafika kipindi hata shule za kikristo watakuwa hawapokelewi, hospitali watakuwa wanabaguliwa ili waishie kwa kina shee yahya hata wakiumwa malaria, ......why? kwasababu wanaendelea kuweka dukuduku kwenye mioyo ya wakristo siku baada ya siku, wakijibagua wenyewe wakati wao ndo wamekalia jani bovu wakati wowote kama upepo ukija wao ndo watakula hasara zaidi. hatutaki kulazimishwa kushiriki sharia za kiislam kwenye nchi ambayo haina dini, hatutaki na hatutakubali.
 
Hisia zetu za mgawanyiko wa kidini mara nyingi zinatupotosha! Mbona hapana pahala tulipoambiwa kuwa watu wa dini nyengine hawaruhusiwi kujiunga na Benki hiyo? Mbona huwi na mashaka na Benki ya Wanawake? Iwapo unajali suwala la kundi fulani kupewa upendeleo au huduma kwanini hujauliza na kukosoa hiyo Benki ya wanawake? Wanawake ni moja kati ya makundi ya Kijamii na Waislamu ni moja ya kundi la kijamii, hivyo kuhudumiwa si tatizo.
Hapa Tanzania tuna vyuo vikuu vya kidini (vilianzia kwa dini ya Kikristo) mbona hujauliza Katiba inasemaje juu ya huduma inayojitafautisha na dini?
After all hii ni huduma na wewe una uhuru wa kujiunga nayo kama unaona inakufaa. Halafu choyo cha nini wakati watakajiunga na Benki hii watakosa Riba?
 
Hapo ndio utakapofahamu uzuri wa dini ya Kiislamu! Hilo litakuwa jukumu la hao watakaokwenda kinyume na walichokubaliana na wateja!
 
This is good in banking revolutions!!!! More and more products are coming to the market! Kudos to Bashir!!
 
Kweli wewe Msanii!!! Ni nani atawapeleka katika kuchukia pombe, kamari na porno? Hivyo ni vitendo visivyopendwa na hata pagani mbali ya mwenye dini awe Muislamu au Mkristo. Mapenzi ya kitu hayakifanyi kitu hicho kiwe kizuri na mambo mabaya yatabaki hivyo hata tukiyapenda.

Halafu Bwana Msanii pale tunapokatazwa kulewa saa za Kazi, tukaonywa juu ya Kamari na kuzuiliwa kuwapa mimba au kufanya uchangu dowa na kuchapisha mapicha ya uchi huwa katiba inavunjwa?
 
Islamic Banking ‘invades’ Tanzania
Here we go...!


Posted on Friday 7 May 2010

By Andualem Sisay, AfricaNews reporter in Addis Ababa, Ethiopia


[/COLOR][/SIZE][/FONT]

Mleta mada, ungeichambua taarifa kabla ya kutumia hayo maneno hapo juu. Wewe ni kati ya wausika wakuu JF. Kama ulivyoondoa link ya Injili...bora kuwa neutral. Mada inalenga kuwagawa wa tz.
 
Hisia zetu za mgawanyiko wa kidini mara nyingi zinatupotosha! Mbona hapana pahala tulipoambiwa kuwa watu wa dini nyengine hawaruhusiwi kujiunga na Benki hiyo? Mbona huwi na mashaka na Benki ya Wanawake? Iwapo unajali suwala la kundi fulani kupewa upendeleo au huduma kwanini hujauliza na kukosoa hiyo Benki ya wanawake? Wanawake ni moja kati ya makundi ya Kijamii na Waislamu ni moja ya kundi la kijamii, hivyo kuhudumiwa si tatizo.
Hapa Tanzania tuna vyuo vikuu vya kidini (vilianzia kwa dini ya Kikristo) mbona hujauliza Katiba inasemaje juu ya huduma inayojitafautisha na dini?
After all hii ni huduma na wewe una uhuru wa kujiunga nayo kama unaona inakufaa. Halafu choyo cha nini wakati watakajiunga na Benki hii watakosa Riba?

we ni mgumu sana kuelewa, hapa tz kuna vyuo vikuu vya kidini ndiyo, havijaanzishwa na pesa ya umma, tunatoa sadaka ndo maana tunapata pesa kujenga vyuo ambavyo vitawafaidisha watu wa dini zote, hatubagui, tungebagua mbona nyie mngekosa hata pa kwenda, ngoja tuwabebe hivyohivyo..pamoja na kwamba mnakoelekea kuna siku mtajikuta mnategemea udsm,sokoine na vyuo vingine vya umma peke yake ambavyo hata wakristo pia bado wanaongoza kuingia vyuo hivyo kwasababu wao ndo wanaenda sana secondari kuliko nyie msopenda kusoma.

bank ya wanawake, na wanawake wa dini zote, wakristo kwa waislam etc, so ni irrelevant na kinachoongelewa hapa. katiba haikatazi kuanzishwa chuo cha private, wapi imekataza, mbona inasema kuwa kila mtu anayo haki kumiliki mali etc, vyuo vya private ni vyuo vya biashara tu pamoja na kwamba vinatoa huduma, hivyo katiba haijakataza vyuo vya private na sio udini kuanzisha vyuo vya private....nyie hamuwezi kuanzisha vyuo vya private kwasababu hamna nguvu ya kutoa sadaka itakayowafanya mfanye kitu cha maana, na pia ni wavivu kufanya kazi.

hatuwezi kunyamaza kwasababu kuna hisa zinazotuhusu kwenye NBC, kwanini tunyamaze wakati kuna mali zetu? nyie hata mkibebwa kwa mbeleko hambebeki hakika. hampendeki. waislam si moja ya kundi la kijamii kama unavyosema, bali ni moja kati ya kundi la dini/imani....wewe naona haueleweki.....
 
Akina mustapha mkulo wanajua wanachofanya,lakini kwa tahadhari wawe makini tumewapa dhamana kwa sababu tunawaamini.tanzania itakuwepo miaka mingi ijayo wao wanapita.mwl nyerere alipita hata mtoto atamjua kwa mema miaka yote.kwa ushauri misikiti yote ianzishe taasisi yoyote itakayo na makanisa vilevile mradi wafuate sheria za nchi.taasisi z a uma zibaki mali yetu wote tusije tukaanza kuweka misalaba na mwezi na nyota kwenye majengo ya uma.kwa kifupi naipenda nchi yangu kuliko dini yangu.nitasema kwelidaima fitina kwangu mwiko.

hizo ndo type ambazo kikwete kaweka ili kuweka mfumo wa kiislam...nashinda kuendelea kuwachambu hawa, nisijepigwa ban bure hapa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom