Magazeti makubwa ya kiuchumu huko Ulaya yanaita kuanzishwa kwa islamic Shariah katika masuala ya Uchumi: mmoja wao anaandika:Islamic banking is the mkombozi of the world economy.
Mkuu hata sijui unachouliza.. maanake maswali na majibu unayatoa kwa jinsie unavyofikiria wewe - Kifupi unayaweka maneno mdomoni mwangu..hukuelewa Uliza, usiseme mimi nasema halii nukuu zako hazionyeshi mimi kusema unayodai wewe. Haya wapi nimesema Halakha ni Uongo?Lakini kutokana na Halakha mtu anakuwa ni Myahudi kwa kuzaliwa na mama wa Kiyahudi au aliyeingia katika dini ya Kiyahudi. Kwa hiyo unachotuambia wewe ni kuwa Halakha ni waongo! na umeikataa.
Ulichofanya ni kwenda na tafsiri ya kikundi cha Karaite ambacho kilizuka katika karne ya 19
Wapi nimesema Mkristu ni Myahudi? mkuu nilichosema mimi Asili ya dini ya Kikristu imetokana na Judaism (dini)..Kama kuna hitlafu zozote zimekuja kutokana na Man's Gospel zaidi ya mafundisho ya Torah na Injili.Vizuri kutuelewesha kuwa Moses hakuwa Myahudi wa damu. Unachodai sasa ni kuwa alikuwa Myahudi kwa kuwa alimkubali Mungu, Je Mkristo ni Myahudi pia kwa sababu amemkubali Mungu? kwa tafsiri yako, ina maana karibu kila mtu ni Myahudi!
Yesu alikuwa Hebrew kwa uzawa yaani kabila lake, na Myahudi (Jew) kwa imani yake ya dini na Ban Israel kwa Utaifa wake... mengineyo jaza mwenyewe.Kwahiyo Jesus pia alikuwa ni Myahudi kwa uzawa! .....unaanza kujichanganya sasa!
Kuhusiana na Shia mkuu ndivyo unavyoamini wewe kwa sababu wewe ni Sunni.. They will say the same when comes to You. Kifupi mkuu wangu amini unachoamini wewe kwani kaburini utakwenda peke yako. Hayo ya Wakristu na Paul yanakuhusu nini wewe ambaye tayari una imani yako..Ashkenaz are converts kama wewe ambaye sii Msaudia.. Now the right to be Jewish inapangwa na wao wanaoamini kama sheria za kiislaam zinavyokuamrisha wewe..Mimi pia naweza pia ku question Uislaam wako kwa kutumia fikra zangu nje ya sheria za Kiislaam.Nina kujibu kuhusu Shiah, Ismailia na wewe nijibu kuhusu Ashkenaz.
Chimbuko la Shiah ni Abdullah ibn Sabah, Myahudi wa Kiyemen aliyeingia katika Uislamu ili kuuharibu na kuwavuruga Waislamu kama alivyojifanya Paul Mkristo ili kuuharibu Ukiristo.
wapi nimesema kuzungumza kiswahili fasaha inakufanya wewe uwe Mtanzania.. Nimesema wewe ni Muislaam ambaye umekuja karne 15 baada ya Muhammad ktk kujibu swali lako kuhusu wale Ashkenaz ulosema sii Wayahudi kwa maana ya Utaifa wao. Hakuna sehemu mimi nimesema Uyahudi ni UTaifa wa kuzaliwa na mama, (nilipinga hili) ila nachoweza kusema Judaism ni dini hivyo kama Ashkenaz ni converts ktk dini hii, na wametoa shuhuda kwa nini wasiwe Wayahudi? Their right kwa Utaifa wa Israel hilo ni swali jingine kabisa.Kuzungumza au kuandika Kiswahili fasaha hakumfanyi mtu kuwa Mtanzania au Mkenya! ndio Dunia ilivyo!
Zayd ibn Thabit (r.a) ni swahaba muarabu aliyekuwa akizungumza na kuandika Hebrew fasaha na lugha ya Syriac ,alikuwa ni mkalimani wa hizi lugha!
Kuhusu Sheria za kiislaam nambie wewe ni sheria zipi unazifuata..Haya maajabu makubwa sana..Ikiwa Mahakama ya kadhi ndio kwanza inaomba kusajiliwa itakuwaje wewe unayeishi ndani ya nchi isiyokuwa na mahakama ya kadhi ijiite Muislaam hali sheria zake hazifuatwi?.. Kama hakuna sheria za Kiislaam hadi sasa ina maana sisi waislaam wote hatufuati sheria za kiislaam - Period. Usitake kunambia habari isiyowezekana kujiita wewe Muislaam hali hakuna sheria za Kiislaam kiutawala. Tuishi tu kwa rehma zake Mungu atatuhukumu kwa mambo mengine. Kikubwa chunga mzani wako usielemee kwenye mabaya lakini dini hutuna! - Wahenga wanasema Islaam ni dini isiyokuwa na WATU.Yes, kama mtu hafuati Sheria nyingine za Kiislamu kwa kuzikataa basi huyu mtu sio Muislamu, Uislamu ni kujisalimisha na kukubali sheria za Allah (aliyokuja nayo mtume) sasa kama mtu ameyakataa ni kwa nini ajiite Muislamu?!
Lakini kama hazifuati sheria nyingine kwa ajili ya uvivu wake au ujinga wake n.k hapa hawi Kaafir.
Sideeq,
Mkuu hata sijui unachouliza.. maanake maswali na majibu unayatoa kwa jinsie unavyofikiria wewe - Kifupi unayaweka maneno mdomoni mwangu..hukuelewa Uliza, usiseme mimi nasema halii nukuu zako hazionyeshi mimi kusema unayodai wewe. Haya wapi nimesema Halakha ni Uongo?
Mkuu wangu, Halakha ni sheria za Kiyahudi (ambao leo ni Taifa la Watu) ambazo zina dini, customs na traditions. Hivyo ni muhimu unapochambua tenganisha swali lako kama linahusiana na religion pekee, customs pekee au Tradition pekee..Kwani itakuwa vigumu kwa mtu yeyote kujibu swali la customs linapoingizwa ktk religion, tutakesha tukibishana hapa.
Huko nyuma nimeeleza wazi kuhusu Man's Gospel ambazo sisi wote Wayahudi,Wakristu na Waislaam tumeingiza customs na traditions zetu ktk sheria za dini..Na unapouliza kama sheria za Halakha ni waongo unajumuisha maswali mengi yenye ku cover huge area kupata jibu la swali dogo sana. Wee uliza kuhusiana na mwanamke kuwa kizazi cha Wayahudi! - jibu lake hiyo ni Custom ilizoanzishwa na binadamu na kuwa sheria..Sasa utajaza mwenyewe..
Katika nchi za Kiarabu zipo customs ambazo zinamkataza mwanamke kujichanganya na wanaume, kutembea peke yake sokoni, kuendesha gari, mwanamke kukutana na uso kwa uso na mwanamme asiyekuwa mumewe na kadhalika. Hizi ni customs za Kiarabu ambazo wao wameziingiza ktk sheria zao, na maadam wao ni asilimia 100 Waislaam sheria hizi zimejulikana kama ni sheria za Kiislaam. Pia Tanzania tuna sheria ambazo zimeletwa ama kutungwa ambazo zimeingizwa ktk Uislaam aidha kwa kupitia Bakwata, Oman au Masheikh (influenced) na kuwa sheria kiasi kwamba kuna Upinzani mkubwa kwa baadhi ya waumini wasomi.
Wapi nimesema Mkristu ni Myahudi? mkuu nilichosema mimi Asili ya dini ya Kikristu imetokana na Judaism (dini)..Kama kuna hitlafu zozote zimekuja kutokana na Man's Gospel zaidi ya mafundisho ya Torah na Injili.
Yesu alikuwa Hebrew kwa uzawa yaani kabila lake, na Myahudi (Jew) kwa imani yake ya dini na Ban Israel kwa Utaifa wake... mengineyo jaza mwenyewe.
Nikasema tena man's Gospel imebadilisha hawa waumini Jews kuwa ni Uzawa wa mtu. Hizi ni sheria za dini hata ukiangalia katika Uislaam mtoto yeyote anayezaliwa huwa ni Muislaam lakini wapo wasomi wanaopinga hili na kusema ni lazima wazazi wa mtoto huyo wawe Waislaam. Kwa hiyo jibu la maswala kama haya utajazia mwenyewe.
Kuhusiana na Shia mkuu ndivyo unavyoamini wewe kwa sababu wewe ni Sunni.. They will say the same when comes to You. Kifupi mkuu wangu amini unachoamini wewe kwani kaburini utakwenda peke yako. Hayo ya Wakristu na Paul yanakuhusu nini wewe ambaye tayari una imani yako..Ashkenaz are converts kama wewe ambaye sii Msaudia.. Now the right to be Jewish inapangwa na wao wanaoamini kama sheria za kiislaam zinavyokuamrisha wewe..Mimi pia naweza pia ku question Uislaam wako kwa kutumia fikra zangu nje ya sheria za Kiislaam.
wapi nimesema kuzungumza kiswahili fasaha inakufanya wewe uwe Mtanzania.. Nimesema wewe ni Muislaam ambaye umekuja karne 15 baada ya Muhammad ktk kujibu swali lako kuhusu wale Ashkenaz ulosema sii Wayahudi kwa maana ya Utaifa wao. Hakuna sehemu mimi nimesema Uyahudi ni UTaifa wa kuzaliwa na mama, (nilipinga hili) ila nachoweza kusema Judaism ni dini hivyo kama Ashkenaz ni converts ktk dini hii, na wametoa shuhuda kwa nini wasiwe Wayahudi? Their right kwa Utaifa wa Israel hilo ni swali jingine kabisa.
Kuhusu Sheria za kiislaam nambie wewe ni sheria zipi unazifuata..Haya maajabu makubwa sana..Ikiwa Mahakama ya kadhi ndio kwanza inaomba kusajiliwa itakuwaje wewe unayeishi ndani ya nchi isiyokuwa na mahakama ya kadhi ijiite Muislaam hali sheria zake hazifuatwi?.. Kama hakuna sheria za Kiislaam hadi sasa ina maana sisi waislaam wote hatufuati sheria za kiislaam - Period. Usitake kunambia habari isiyowezekana kujiita wewe Muislaam hali hakuna sheria za Kiislaam kiutawala. Tuishi tu kwa rehma zake Mungu atatuhukumu kwa mambo mengine. Kikubwa chunga mzani wako usielemee kwenye mabaya lakini dini hutuna! - Wahenga wanasema Islaam ni dini isiyokuwa na WATU.
Mkuu kama una maswali jaribu kuuliza moja moja.. Please. Itakuwa rahisi kwangu kujibu.
Halakha inasema kuwa:mtu anakuwa ni Myahudi kwa kuzaliwa na mama wa Kiyahudi au aliyeingia katika dini ya Kiyahudi.Mkandara said:Haya wapi nimesema Halakha ni Uongo?
Kama umekubali kuwa Jesus ni Myahudi wa kabila itabidi utuelezee sasa alikuwa yuko katika customs au tradition gani! taratibu unaanza kujichanganya.Mkandara said:Mkuu wangu, Halakha ni sheria za Kiyahudi (ambao leo ni Taifa la Watu) ambazo zina dini, customs na traditions. Hivyo ni muhimu unapochambua tenganisha swali lako kama linahusiana na religion pekee, customs pekee au Tradition pekee..Kwani itakuwa vigumu kwa mtu yeyote kujibu swali la customs linapoingizwa ktk religion, tutakesha tukibishana hapa.
Unaogopa!Mkandara said:Wee uliza kuhusiana na mwanamke kuwa kizazi cha Wayahudi! - jibu lake hiyo ni Custom ilizoanzishwa na binadamu na kuwa sheria..Sasa utajaza mwenyewe..
Hizi ni tuhuma nzito, kwa hiyo tunataka ushahidi wako vipi waarabu waliziingiza hiz zionekane kuwa ni za Kiislamu!Mkandara said:Katika nchi za Kiarabu zipo customs ambazo zinamkataza mwanamke kujichanganya na wanaume, kutembea peke yake sokoni, kuendesha gari, mwanamke kukutana na uso kwa uso na mwanamme asiyekuwa mumewe na kadhalika. Hizi ni customs za Kiarabu ambazo wao wameziingiza ktk sheria zao, na maadam wao ni asilimia 100 Waislaam sheria hizi zimejulikana kama ni sheria za Kiislaam.
Hii ni home of greit sinkaz, kwa hiyo ukileta madai kama haya unatakiwa u back up your calim with the sound proof! kwa hiyo tuelezee hizo sheria kabla hujaibadilisha greit sinkaz kuonekana kuwa ni kijiwe cha wahuni.Mkandara said:Pia Tanzania tuna sheria ambazo zimeletwa ama kutungwa ambazo zimeingizwa ktk Uislaam aidha kwa kupitia Bakwata, Oman au Masheikh (influenced) na kuwa sheria kiasi kwamba kuna Upinzani mkubwa kwa baadhi ya waumini wasomi.
Khe! Jesus alikuwa ni Myahudi kwa imani yake ya dini!Mkandara said:Yesu alikuwa Hebrew kwa uzawa yaani kabila lake, na Myahudi (Jew) kwa imani yake ya dini na Ban Israel kwa Utaifa wake... mengineyo jaza mwenyewe.
Ni "wasomi" gani hao? tujuze.Mkandara said:Hizi ni sheria za dini hata ukiangalia katika Uislaam mtoto yeyote anayezaliwa huwa ni Muislaam lakini wapo wasomi wanaopinga hili na kusema ni lazima wazazi wa mtoto huyo wawe Waislaam.
Like what?!Mkandara said:Kuhusiana na Shia mkuu ndivyo unavyoamini wewe kwa sababu wewe ni Sunni.. They will say the same when comes to You.
Kwa hiyo mimi ambaye sio Msaudia sina haki ya kudai ardhi ya saudia kuwa ni mali yangu, kwa nini Ashkenaz wakadai Jerusalem?!Mkandara said:Ashkenaz are converts kama wewe ambaye sii Msaudia
Kwa hiyo unapingana na Halakha, umerudi kulekuleMkandara said:Hakuna sehemu mimi nimesema Uyahudi ni UTaifa wa kuzaliwa na mama, (nilipinga hili) .
Unataka kuniambia kuwa Zionists sio Jews?!Mkuu sikuwezi na nadhani unadhihirisha ukweli wako kwamba JF kuna great sinkaz..sikuelewi nawala sintakuelewa unapochanganya written documents za Zionist na dini ya Judaism.
Ikiwa maana ya Islam ni Surrendering and submitting yourself to the Almighty God, kwa nini mtoto anayetoka tumboni kwa mama yake akifuatisha amri ya Allah kuwa atoke asiitwe Muislam?!Mkandara said:sasa kuna waislaam wanasema kila mtoto anayezaliwa huzaliwa akiwa Muislaam, mwambie maneno hayo Mkristu au Myahudi sijui kama atakuelewa. Mwongo atakuwa aidha wewe au huyo Myahudi ama Mkristumwambie maneno hayo Mkristu au Myahudi sijui kama atakuelewa. Mwongo atakuwa aidha wewe au huyo Myahudi ama Mkristu
....such are greit sinkaz!Sideeq,
Mkuu bila shaka nazungumza kirumi ndio maana hatuwezi kuelewana kabisa. Unatumia zaidi imani yako ya dini ku doubt watu wengine na kujipongeza wewe..Hutaki kutazama upande wa pili wa shilingi ila kwa yanayokupendeza.
Nilikuwepo - Nimemaliza.
Vizuri kwa kurudi ukumbini.Sideeq,
Mkuu hivi katika akili yako unafikiri kila Myahudi au Mkristu anaamini kuwa mtoto akizaliwa huwa ni Muislaam?..Umewahi kuuliza kitu hiki au unafikiria kutoka ktk imani yako.
Nimekukumbusha ni kitu gani Halakha inasema!Mkandara said:Kisha ajabu wewe mwenyewe unaandika na kusema Myahudi ni yule mtoto aliyezaliwa na mama Myahudi..Can't U add
Ndio maana nimekwambia unatumia imani yako ya dini kujadili mada hili.. Hapa kijiweni weka imani yako pembeni unapoandika kitu,tumia kufahamisha ili upate kueleweka na wasomaji wote (Wakristu,Wayahudi na hata Pagan) kinyume cha hapo utakuwa unahubiri dini yako ambayo hutapata wanaokuamini, pia huu siii ukumbi wa dini..Ikiwa maana ya Islam ni Surrendering and submitting yourself to the Almighty God, kwa nini mtoto anayetoka tumboni kwa mama yake akifuatisha amri ya Allah kuwa atoke asiitwe Muislam?!
Kuelewa na kuamini ni vitu tofauti, mbona wakristo wengi tu na Mayahudi wakifahamishwa hivi wanaelewa?! ama kuhusu kuamini hapo ni kitu kingine tena.
Je? umeshaamua sasa Myahudi ni nani?Ndio maana nimekwambia unatumia imani yako ya dini kujadili mada hili.. Hapa kijiweni weka imani yako pembeni unapoandika kitu,tumia kufahamisha ili upate kueleweka na wasomaji wote (Wakristu,Wayahudi na hata Pagan) kinyume cha hapo utakuwa unahubiri dini yako ambayo hutapata wanaokuamini, pia huu siii ukumbi wa dini..
- Sijui kama unanielewa.
Isome katiba vizuri na uielewe!tatizo la hao wazungu na waarabu akili zimefika ukomo kwani wanakumbatia kubaguana kwa misingi ya rangi na imani.
Sisi watanzania tunaendeshwa na katiba ambayo inakataza kuwabagua watu kiitikadi na kiimani. Lakini ninachokiona ni kwamba mtu anaapa kulinda katiba huku akijua wazi kwamba hata akienda kinyume nayo HATAFANYWA KITU
But you need to make up your mind, either Hijab or Kimini!Hizi ni zama za kuchagua ama KIMINI AU HIJABU, AU VYOTE KWA PAMOJA. Na ndio maana kwangu sioni cha ajabu kwa benki kupanua wigo wao na kuwashirikisha waislam katika uchumi kwa kutumia BENKI. Sasa nitatoa viakiba vyangu na kuvipeleka BENKI, maana sikutaka kuingia dhambi kufuata mtindo wa kijadi wa kibenki wa kiyahudi wa riba.