If we dont stand for nothing we will fall for anything, hawa aim yao ni ku-corrupt the simple minded in our society. Lazima tujielewe we are Tanzanians first.
Na hizi type of investment im not against them hila haziko ready kwenye nchi ambayo bado a majority are so simple minded, a majority can not reason the importance of religion to them. Wengi bado ni wapokeaji tu kama wanavyoipokea CCM. We are gonna be messed for a long period of time if we dont put the effort to make sure enough of us have reasonable minds.
Ni wengi watanichukia hila ukweli ni kwamba Tanzania is still a primitive society na nijikumu letu wana Jf ku upinga huu ujinga wa dini na Ukabila hiwe jukumu letu kuwafanya watu kwanza wajione wabonge pili they can make decisions based on their own reasoning as they understand things or else we gonna be fu@ked for a long period of time.
Mawazo ya wengi ndio uleta mabadiliko na watu inabidi wajitambue kwa a shared identity kama watanzania kwanza kabla ya dini au ushenzi kama kabila. Well what do i Know?
Aim ni kutujengea matabaka ambayo sisi wenyewe tunaanza kuya-promote its easy to divide and rule for them and make a scrumble of our resources please lets be Tanzanians first and forget about our tribes and religions lets be patriots to our land as a agroup. Thats the only way we can defeat outsiders. As right know we're pretty much subjects of manipulations, again what do i know?.
Tabaka gani limejengwa?