dudumizi09
Member
- Jul 11, 2015
- 76
- 120
WeUOTE="OR7, post: 15138579, member: 50298"]Huu ni uongo dhahiri field force kwa mrombo napajua vizuri sana. Huo uwanja anaousema haufiki hata mita20 kutoka barabarani sa hio ni sehemu ukipiga kelele usisike? Na mita kama 70 upande wa kambi kuna nyumba za askari wa ffu. No way this is a cooked story kwa hapo tu nimedharau[/QUOTE]
We ni hakika hujui chochote kile na unajaribu kutetea kwa utetezi wa uongo...
Kwa haya maelezo ya huyu bint kuna asilimia kubwa za ukweli maana mimi mwenyewe nimesha wahi kukatiza hilo eneo.
Ni eneo linalo toka kambi ya fidifos kando ya uwanja wa mpira linafika mpaka barabara inayo panda bar mpya....
Umbali kutoka kwenye kambi bara bara inapo anzia mpaka mwisho wa bara bara ni umbali kama wa 100mtrs hv au zaidi
Na nikweli kwa jinsi makazi yalivyo mbali ni ngumu
Sauti ya binti kusikika
We ni hakika hujui chochote kile na unajaribu kutetea kwa utetezi wa uongo...
Kwa haya maelezo ya huyu bint kuna asilimia kubwa za ukweli maana mimi mwenyewe nimesha wahi kukatiza hilo eneo.
Ni eneo linalo toka kambi ya fidifos kando ya uwanja wa mpira linafika mpaka barabara inayo panda bar mpya....
Umbali kutoka kwenye kambi bara bara inapo anzia mpaka mwisho wa bara bara ni umbali kama wa 100mtrs hv au zaidi
Na nikweli kwa jinsi makazi yalivyo mbali ni ngumu
Sauti ya binti kusikika