Ishu ya Polisi kubaka, msichana asimulia (audio)

Ishu ya Polisi kubaka, msichana asimulia (audio)

mkuu jamaa kabaka kweli na case imenyooka.....ffu wenzake ndio walimkamata n akapelekwa central kahojiwa na upelelezi mpka jana ulikua umekamilika.....wa2 waliomuona huyo mtoto wamesikitika n rpc sabas hana masihara kwa ujingaujinga....mwingne mwez dec kampiga mwanamama rpc kamuweka ndani wiki 2 sasa hivi kazi yke kufanya usafi alikua dreva wa gari ya patrol
Basi mkuu kwa hilo anapaswa kufungwa maisha maana kama mlinzi wa wananchi utawabaka sa wakimbilie wapi? Au ame wehuka? Maana huu ni ujinga uliokithiri na unyama wa hali ya juu.
 
Yapo maelezo pia upande wa pili.... Pole binti... Ila sijatoa hukumu bado... (kuna jambo zaidi)
 
Basi mkuu kwa hilo anapaswa kufungwa maisha maana kama mlinzi wa wananchi utawabaka sa wakimbilie wapi? Au ame wehuka? Maana huu ni ujinga uliokithiri na unyama wa hali ya juu.

mkuu issue hiyo imenyooka jana tulikua tunaiongea.....huwezi kumbambika case police mana wao ndio waandika case....binti ni mwanafunzi n ndgu zake wamesema lazma jamaa avune alichopanda ushahidi upo wa daktari n majeraha.....na yule aliemsaidia kupiga simu kwa ndgu zake ule ucku alijitokeza jana kusaidia police ushahidi
 
mkuu issue hiyo imenyooka jana tulikua tunaiongea.....huwezi kumbambika case police mana wao ndio waandika case....binti ni mwanafunzi n ndgu zake wamesema lazma jamaa avune alichopanda ushahidi upo wa daktari n majeraha.....na yule aliemsaidia kupiga simu kwa ndgu zake ule ucku alijitokeza jana kusaidia police ushahidi
Lakini sa keshamharibia binti maisha maana ki saikolojia hatokuwa vizuri na wanaume pia huwezi jua pengine kamumbukiza magonjwa yasiyotibika
 
Lakini sa keshamharibia binti maisha maana ki saikolojia hatokuwa vizuri na wanaume pia huwezi jua pengine kamumbukiza magonjwa yasiyotibika

ndio hvyo ila atavuna alichopanda mana 50yrz zinamuhusu
 
ndio hvyo ila atavuna alichopanda mana 50yrz zinamuhusu
50 haitoshi labda kama na viboko juu. Kwa dunia ya leo kubaka ni upuuzi mkubwa sana wakati Angeenda Sheevas na 5000 angemaliza shida zake kabisa
 
50 haitoshi labda kama na viboko juu. Kwa dunia ya leo kubaka ni upuuzi mkubwa sana wakati Angeenda Sheevas na 5000 angemaliza shida zake kabisa

hahaaa buku 5 ndio zao askari pale shiverz ndio mapozeo yao n itakua wanagonga bure
 
Maelezo ya binti mbona yana utata utata!cm anayo yake ila akaomba ya msamalia,kabakwa kuanzia saa mbili hadi saa nane hivi huyo mbakaji haitaji kurudi kwake ucku huo?kapewa anyonye kweli mbakaji anafikia huko wakat tendo ni la nguvu?aligoma kuja kuchukuliwa kwa kudai anaenda kwa ndugu zake,vp tena upotee?mmmmh! Labda.
 
Si ataangaliwa si alingatwa jamani,msiombe ya watokeeee
 
Kwa mnaounga mkono huyu mbakaji; mwaka huu hautaisha lazima ubakwe!!
 
Hawa watu inaonekana walikuwa wapenzi ndio maana baada ya jamaa kumkuta na yule kijana alimind maana haingii akilini uwakute watu wamesimama wawili uanze kumzingua kijana bila kujua wana uhusiano gani vinginevyo huyo askari ni mgonjwa wa akili
Kitendo cha binti kukataa kwenda kwa kaka yake maanake alijiandaa kwenda sehemu nyingine tofauti na hao marafiki zake?
Ilikuwaje aanze kuongozana na huyo askari bila kuhoji anampeleka wapi? Lengo lake lilikuwa aende kwa marafiki zake kwanini alihaarisha na kuanza kuongozana na askari huyo?
Kwa akili ya kawaida tu mtu anaweza kwenda kumbaka mtu katikati ya uwanja kweli?
Hapa inaonekana walikuwa wanaenda kwa mshikaji ugomvi ukatokea katikati ya uwanja inawezekana pia hapa amedanganya huenda ugomvi ulitokea nyumbani kwa askari yeye amesema katikati ya uwanja ili kukwepa maswali alifuata nini kwa mshikaji.
Binti anasema alibakwa kuanzia saa mbili usiku mpaka saa 8 usiku katikati ya uwanja hivi kwa akili ya kawaida mtu anaweza kumbaka mtu asiyefahamu muda wote huo?
Binti amesema alikuwa na kitambulisho cha kupigia kura maelezo ya awali alidai ana miaka kumi na sita,
Mwisho kabisa kuna mahali binti amesema "sikuamini tena" akamalizia kwa vile umening'ata hapa binti ameshtuka kumalizia hivyo lakini ukweli inawezekana kulikuwa na ugomvi na jamaa alikuwa anamtuhumu mwenzake kwa kukosa uaminifu,.
Ukweli ni kwamba hawa watu walikuwa wanajuana ila ndo hivyo jamaa aatanyea ndoo sana maana binti kajipanga hasa.
 
Huu ni uongo dhahiri field force kwa mrombo napajua vizuri sana. Huo uwanja anaousema haufiki hata mita20 kutoka barabarani sa hio ni sehemu ukipiga kelele usisike? Na mita kama 70 upande wa kambi kuna nyumba za askari wa ffu. No way this is a cooked story kwa hapo tu nimedharau
Maelezo na sauti ya huyu binti yamefanya ''alam'' ilie kichwani mwangu. Ana maelezo ''yaliyonyooka'' lakini yenye mashaka mashaka. Sikatai kama kuna kubaka, lakini naona huenda story inaweza kuwa tofauti na anavyohadithia. Aidha walikubalina kwenda kufanya sex halafu baadae wakashindwana mambo mengine au kuna jambo jingine.
 
Hawa watu inaonekana walikuwa wapenzi ndio maana baada ya jamaa kumkuta na yule kijana alimind maana haingii akilini uwakute watu wamesimama wawili uanze kumzingua kijana bila kujua wana uhusiano gani vinginevyo huyo askari ni mgonjwa wa akili
Kitendo cha binti kukataa kwenda kwa kaka yake maanake alijiandaa kwenda sehemu nyingine tofauti na hao marafiki zake?
Ilikuwaje aanze kuongozana na huyo askari bila kuhoji anampeleka wapi? Lengo lake lilikuwa aende kwa marafiki zake kwanini alihaarisha na kuanza kuongozana na askari huyo?
Kwa akili ya kawaida tu mtu anaweza kwenda kumbaka mtu katikati ya uwanja kweli?
Hapa inaonekana walikuwa wanaenda kwa mshikaji ugomvi ukatokea katikati ya uwanja inawezekana pia hapa amedanganya huenda ugomvi ulitokea nyumbani kwa askari yeye amesema katikati ya uwanja ili kukwepa maswali alifuata nini kwa mshikaji.
Binti anasema alibakwa kuanzia saa mbili usiku mpaka saa 8 usiku katikati ya uwanja hivi kwa akili ya kawaida mtu anaweza kumbaka mtu asiyefahamu muda wote huo?
Binti amesema alikuwa na kitambulisho cha kupigia kura maelezo ya awali alidai ana miaka kumi na sita,
Mwisho kabisa kuna mahali binti amesema "sikuamini tena" akamalizia kwa vile umening'ata hapa binti ameshtuka kumalizia hivyo lakini ukweli inawezekana kulikuwa na ugomvi na jamaa alikuwa anamtuhumu mwenzake kwa kukosa uaminifu,.
Ukweli ni kwamba hawa watu walikuwa wanajuana ila ndo hivyo jamaa aatanyea ndoo sana maana binti kajipanga hasa.
Mkuu asnte sana. Wewe umechambua vizuri. Hata mimi kengele ya hatari imelia kichwani. Hata sauti ya binti inaonyesha kuna kitu kingine. Mimi ukiniambia walikubaliana halafu baade kukatokea kutoelewana nitakubali.
 
Lakini sa keshamharibia binti maisha maana ki saikolojia hatokuwa vizuri na wanaume pia huwezi jua pengine kamumbukiza magonjwa yasiyotibika
Kimsingi binti bado atalika vizuri tu, mwenyew kanivutia kweli na kasauti kake, ntaenda mcheki korogwe girls pale nxt wk
 
Back
Top Bottom