Ujielewi wewe na naombea mtoto wako aje abakwe uone hali ikoje
Kama wewe ni mwanaume basi sio baba, na kama ni mwanamke sio mama.
Kama mkuu hajielewi mtoto wake anahusika nini hadi umwombee abakwe? ????
Wewe ndio walewale wapenda kutoa laana.
Mie huwa nashangaaga unagombana na mtu then unamtukania mama yako hivi kiuhalisia kosa la mama ni lipi huwa??? Sasa Leo ndio nimeongeza upeo wa kushangaa kwa hayo yako.
Kila mtu anahaki ya kudought, na Kila mtu anajinsi anamlea mwanae.
Hapo tukio limetokea lakini shida zipo nyingi.
1. Anasema aliamua akaekae stendi ndio afanye booking, kwani booking inahitajika kungoja hadi saa moja, huko ni kuhang mtoto wa kike sio sawa.
2. Aliamua kwenda kwa classmate wake badala ya kwa kaka yake kwanini? tena Anasema huko ndiko hushukiaga, iweje apasahau ghafla??
3. +hizo mikanganyika waliyoanisha hapo juu.
Ukiangalia hata binti kuna uhuru aliopewa ambao sio mzuri.
Ila kiukweli kama Mie ningekuwa ndio mzazi wa huyo binti, aisee huyo polisi ningedili nae vibaya sana sabab ukiacha ubakaji ningeamini ndie mwaribifu wa binti yangu.