Ishu ya Polisi kubaka, msichana asimulia (audio)

Ishu ya Polisi kubaka, msichana asimulia (audio)

hii ishu sio kweli..miaka 16 yuko form six,halafu anakitambulisho cha mpiga kula,hii inawezekana vipi?
 
Hata kama angekuwa na miaka 70 uhalali wa kubakwa haupo!pata picha ndio binti yako kafanyiwa hivyo...huyo Afande"RAFAELI"ana kesi ya kujibu...
 
#babu seya na wanawe....
1. Binti wa miaka 16.
2. Anasoma form 6.
3. Anakitambulisho cha mpiga kura...
4. Amebakwa eneo la wazi kwa masaa yasiyo pungua 6
JAMANI HATA KAMA MNAENDA KUMFUNGA BWANA AFANDE JARIBU KUANGALIA SUALA HILI UPYA.
 
#babu seya na wanawe....
1. Binti wa miaka 16.
2. Anasoma form 6.
3. Anakitambulisho cha mpiga kura...
4. Amebakwa eneo la wazi kwa masaa yasiyo pungua 6
JAMANI HATA KAMA MNAENDA KUMFUNGA BWANA AFANDE JARIBU KUANGALIA SUALA HILI UPYA.
jamaa alimbaka mpaka binti akazimia akamsubili mpaka akazinduka akambaka tena kisha akamwambia amnyonye binti aka mng'ata mpaka akahisi dam, Mh!!
 
Yaani mm ni muda wa huo ubakaji toka SAA mbili mpaka saa nane usiku hapana halafu amrudie kumbaka mhh sijuwi. Anavyotamka kunyonya vizuri mpaka nimedisa
 
Back
Top Bottom