Ishu ya Polisi kubaka, msichana asimulia (audio)

Ishu ya Polisi kubaka, msichana asimulia (audio)

Mtoto wa miaka kumi na sita anamiliki kitambulisho cha kura ?hii nchi bana
 


Nimefatilia maelezo ya huyu msichana anayetajwa kubakwa na askari polisi Arusha, binafsi naona kuna mtiririko usiopinda au wa kubuni aliokuwa anasimulia huyu msichana, ingawaje suala lipo mahakamani ila naona kama kuna ukweli flani , mwanzoni nilifikiri walikuwa ni wapenzi na msichana kaamua kumgeuka na kumkomesha kumbe ni kinyume,anyway, mahakama itaamua, sikilizeni na nyie ....

Miaka 16 anakuwaje na kitambulisho cha mpiga kura?
 
Kesi imenyooka hiyo.Shahidi wa kwanza ni yule mjenzi afande aliyempiga biti,atapatikana kwa ile namba yake aliyokuwa anawapigia wenyeji wa huyo binti.Wafanyakazi wa sheli watatoa ushahidi wa mazingira na hali walyomkuta.Ripoti ya daktari juu ya binti na uume wa afande vitamaliza mchezo kwa KO.
Lakini huyo afande lazima awe mvuta bangi kubuhu maana alijiamini sana!saa mbili mpaka nane anagonga tu!
 
Hivo vtambulisho vipi kasema kuna cha kupigia kura au mm ndo sijasikia vizuri coz ilisadikishwa kwamba kabaka binti wa miaka 16

Hayo ni maneno 2 binti yuko juu ya 18yrz mleta taarifa anapotosha....kubaka haijalishi umri hata kma angekua n 50yrz case inasikilizwa 2......police alipekuliwa nyeti zake akakutwa kajeruhiwa kuna ushahidi mkubwa zaidi y huo
 
Unasikiliza maelezo ya upande mmoja unatengeneza hitimisho nahisi umebeba boksi baadala ya kichwa ulishawahi kukutana na askari akaanza kukuzinguwa bila sababu, kwa akili ya kawaida mbakaji anaweza kumbaka mtu kutoka saa mbili usiku mpaka saa nane tena mtu azimie uendelee kumsubiri aamke umbake tena. Waza nje ya boksi lako hilo.
Nataman kukujibu vibaya lkn acha nikuheshim sababu hatufamiani, labda waweza kua mzee zaidi yangu, ila nikuache na neno moja tu, acha ujinga, afande kapelekwa mpaka hospital kutibu dudu sasa unataka nini tena?
 
So sad yan ila si walisema ana miaka 16 kitambulisho cha kura kakipata wap
 
1)Bint anatumia lugha ya kisela sana
2)16 Years old, ana kitambulisho cha kura (au ndo Zile kura za maruhani ,anyway alianza form 1 na miaka 11.
3)Ni jioni ya kukaribia usiku, anaenda sehemu alofika miaka 3 iliyopita, wasichana ni wazuri kupangilia ratiba zao, kwa hali ya kawaida angepiga simu siku angalau moja kabla ya kufika Arusha .
4)Arusha mjini, kupatikane uwanja unaoweza kutumika kubaka mida ya saa 2 bila watu kujua.

☆Kakataa kwenda kwa kakaake Rama.

Sitetei ubakaji, ila taarifa sounds as if there's another side of the story.
 
Sijui niseme nini maana uongo ni mwingi kuliko ukweli! sasa naumia kama mzazi sijui ni seme nini ila swala zima la ubakaji limetawaliwa na hisia, na ni swala linalo gusa sana hisia za wazazi, hivyo linahitaji umakini nabusara sana,hata polisi wamekurupuka kumuachisha kazi kwani akishinda kesi watamlipa pesa nyingi...kuna polisi wanaua kwa makusudi na wapo leo kazini! sasa iweje huyu afukuzwe.?? kwakutia doa Jeshi la polisi??wakati kuna taarifa nyingi za jeshi la polisi kubaka mahabusi au hao hawana haki??Hila siachi hivi hivi nakopy hii URL Nampelekea Mkurugenzi wa mshitaka DPP kwani naamini nayeye atajiridhisha na maelezo ya binti! pamoja mawazo yenu, kwani ofisi ya DPP inao uwezo wa kufutilia mbali swala hili! Endapo nasema Endapo itajiridhisha kuwa ni fishing story!ila kwakuwa nitampa copy ya hii thread (URL) tusubiri ukweli.Hila mimi kama mzazi wa watoto wakike na wanasoma maeneo hayo ya Arusha Moshi imenigusa ila maelezo ya binti yana utata mkali sana! kwani bila kuwa makini unampoteza mtu miaka 30yrs! Hivyo hii kesi apewe mweledi na si kwakufuata jinsia pia kwa DPP asiwape wadada! inabidi awape wnasheria zaidi ya watu 3 means 3,5,6 Na hakika mtakuwa mumenielewa zaidi hivyo nampa copy ya comments zenu tutajua mwisho wasakata hili.
 
Forget about the age just consider the facts if it really true it doesn't matter how old the victim is

huwezi kutoa hukumu kwa kusikiliza upande mmoja,imgekuwa busara tupate side B inasema nini hapo ndio tutakuwa tumetenda haki
 
Mtoto wa miaka kumi na sita anamiliki kitambulisho cha kura ?hii nchi bana

huyu binti anajichanganya, kuna mahali kasema alikua na kiyambulisho cha uraia, halafu baadae akasema ni kitambulisho cha kura

ningekua mimi mahakama ningemuuliza maswali yafuatayo
1. kwanini aliazima simu ya msamaria mwema ilhali simu yake ameiweka kwenye mfuko?
2. alipoondoka na huyo askari, je alimuuliza wanapoelekea?na kama ndivyo kwa nini yeye ahakuomba msaada wa kupelekwa anapokwenda akaamua kumfata huyo askari?
3. alikua na namba ya kaka yake na aliwasiliana na kaka yake muda mfupi tu kabla ya kuelekea huko kwa akina rehema, kama aliona amepotea njia kwa nini hakumpigia kaka yake amuelekeze baada ya kuona kina rehema hawapokei sim?
3. tatu, alikua na fedha mfukoni, kwa nini hakuamua kuchukua hata gest alale mpaka asubuhi akaamua kufatana ana askari sehemu asiyoijua wakati option ya haraka pale ilikua ni yeye kurudi stend alipotokea badala ya kufatana na mtu usomjua wala hujui anakupeleka wapi eti kisa u anaonekana ni mwenyeji na ni askari
4.amesema huwa anafikia kwa akina rehema mara kwa mara, na kwamba tangu mwaka juzi hajafika ndio maana amepasahau, mimi nadhani mahali ambapo unafikia marakwa mara huwezi kupasahau kirahisi, na hata kama amepasahau nadhani angeweza kuulizia jina la mwenyeji wake baada ya kupiga sim kuona haipokelewi kwa sababu kwa akili ya kawaida tu mtu ukienda mahali ukipotea lazima uulize atlist watu wawili watatu kama wanamfahamu mwenyeji wako ukishindwa ndo uchukue option

otherwise huyo binti mi naona either anadanganya au ana akili za kitoto bado kiasi cha yeye kushindwa kujieleza
nampa pole sana
 
Nimesikiliza stori nyingi za wadada waliobakwa, wanaposimulia sauti na kumbukumbu za kilichotokea huwa tofauti sana, wengi huishia kulia na kusimulia kwa aibu.

Bi dada sijui niseme yupo strong au ni confidence maana anahadithia vizuri tu.
 
1)Bint anatumia lugha ya kisela sana
2)16 Years old, ana kitambulisho cha kura (au ndo Zile kura za maruhani ,anyway alianza form 1 na miaka 11.
3)Ni jioni ya kukaribia usiku, anaenda sehemu alofika miaka 3 iliyopita, wasichana ni wazuri kupangilia ratiba zao, kwa hali ya kawaida angepiga simu siku angalau moja kabla ya kufika Arusha .
4)Arusha mjini, kupatikane uwanja unaoweza kutumika kubaka mida ya saa 2 bila watu kujua.

☆Kakataa kwenda kwa kakaake Rama.

Sitetei ubakaji, ila taarifa sounds as if there's another side of the story.
Ni kweli hatutetei na tunaukataa ubakaji daima na milele, yawezekana hili limetokea lakini hili linahitaji uchunguzi wa hali ya juu kama ulivyo patashaka McLover. Kwanini hakuwa tayari kupokelewa na kaka yake!?basi hata angekubali asindikizwe na kaka yake hadi huko alipokuwa willing kwenda kwakuwa muda ulikuwa umeenda. Isijekuwa walikuwa wapenzi kabla ila siku hiyo waliyokutana wakazinguana labda kutokana na kutoaminiana na wivu. Kweli ubakaji ufanyike kwa muda wa masaa zaidi ya 5?jamaa apumzike, aanze tena mmmh!napata shaka. Katika eneo hilo ingawa silifahamu vizuri muda wote huo hakuna mtu yeyote aliyepita?maswali ni mengi, lakini kama itabainika kuwa ni kweli tena kweli kabisa basi huyo askari alikuwa na kichaa.
 
Nimesikiliza stori nyingi za wadada waliobakwa, wanaposimulia sauti na kumbukumbu za kilichotokea huwa tofauti sana, wengi huishia kulia na kusimulia kwa aibu.

Bi dada sijui niseme yupo strong au ni confidence maana anahadithia vizuri tu.

tena anahadithia kwa furaha
 
Kesi imenyooka hiyo.Shahidi wa kwanza ni yule mjenzi afande aliyempiga biti,atapatikana kwa ile namba yake aliyokuwa anawapigia wenyeji wa huyo binti.Wafanyakazi wa sheli watatoa ushahidi wa mazingira na hali walyomkuta.Ripoti ya daktari juu ya binti na uume wa afande vitamaliza mchezo kwa KO.
Lakini huyo afande lazima awe mvuta bangi kubuhu maana alijiamini sana!saa mbili mpaka nane anagonga tu!
ha ha ha haaaaa saa mbili mpaka nane jamaa anakula mashine tuu sijui alikumbuka naniliu masikini ya Mungu!!
 
tena anahadithia kwa furaha
Hilo nalo linashangaza zaidi na mpangilio wa matukio.....
Kubakwa ni kitendo kibaya kinachodhalilisha utu wa mwanamke, sio rahisi kwa aliyebakwa kuwa na uwezo wa namna hii wa kusimulia.
 
Pole sana binti,huyo askari atakuwa kafanya unyama sana,anapaswa awe wa mfano, ushauri kwa Millard ayo siku nyingine atoe maeneo yanayoweza kumtambulisha victim kirahisi,ikiwezekana hata kuibadili sauti,maana hapo ni kama anamwanika kabisa,ni rahisi watu kumjua.
Hata akijulikana kuna ubaya gani?
Hii ni ajari kama ajari zingine
Huyu asikari afungwe kifungoa cha maisha I we fundisho kwa wengine.
 
Huu ni uongo dhahiri field force kwa mrombo napajua vizuri sana. Huo uwanja anaousema haufiki hata mita20 kutoka barabarani sa hio ni sehemu ukipiga kelele usisike? Na mita kama 70 upande wa kambi kuna nyumba za askari wa ffu. No way this is a cooked story kwa hapo tu nimedharau
Saa mbili jioni na magari yanayopita barabarani pale unategemea apige fujo na sauti isikike? Labda awe na kipaza sauti.
 
Back
Top Bottom