Ishu ya Polisi kubaka, msichana asimulia (audio)

Ishu ya Polisi kubaka, msichana asimulia (audio)

Maelezo ya binti hayajitoshelezi kabisa, sijajua kwa upande wa Askari (Osama) ambaye ndiye mtuhumiwa, ningeomba mahakama ikafika eneo la tukio ili ijilidhishe na mazingira yaliyosemwa na binti maana inaonekana kuwa uwanja ni mkubwa sana (sijui mita ngapi?).
 
2))huyu katoa mzigo bila shuruti nawaambia mkimsikia vizuri seems amezimwa mzgo aliohaidiana blv
 
Kama katoa bilashurti anyongwe Wa ninii jamani..hivi anamiaka mingapi
 
mkuu issue hiyo imenyooka jana tulikua tunaiongea.....huwezi kumbambika case police mana wao ndio waandika case....binti ni mwanafunzi n ndgu zake wamesema lazma jamaa avune alichopanda ushahidi upo wa daktari n majeraha.....na yule aliemsaidia kupiga simu kwa ndgu zake ule ucku alijitokeza jana kusaidia police ushahidi
Hivo vtambulisho vipi kasema kuna cha kupigia kura au mm ndo sijasikia vizuri coz ilisadikishwa kwamba kabaka binti wa miaka 16
 
Kama sijasikia vibaya huyu binti kasema anamiliki kitambulisho cha kura wakati huohuo naambiwa binti ana miaka 16!! Sijui hili limekaaje wakuu????
 
Hawa watu inaonekana walikuwa wapenzi ndio maana baada ya jamaa kumkuta na yule kijana alimind maana haingii akilini uwakute watu wamesimama wawili uanze kumzingua kijana bila kujua wana uhusiano gani vinginevyo huyo askari ni mgonjwa wa akili
Kitendo cha binti kukataa kwenda kwa kaka yake maanake alijiandaa kwenda sehemu nyingine tofauti na hao marafiki zake?
Ilikuwaje aanze kuongozana na huyo askari bila kuhoji anampeleka wapi? Lengo lake lilikuwa aende kwa marafiki zake kwanini alihaarisha na kuanza kuongozana na askari huyo?
Kwa akili ya kawaida tu mtu anaweza kwenda kumbaka mtu katikati ya uwanja kweli?
Hapa inaonekana walikuwa wanaenda kwa mshikaji ugomvi ukatokea katikati ya uwanja inawezekana pia hapa amedanganya huenda ugomvi ulitokea nyumbani kwa askari yeye amesema katikati ya uwanja ili kukwepa maswali alifuata nini kwa mshikaji.
Binti anasema alibakwa kuanzia saa mbili usiku mpaka saa 8 usiku katikati ya uwanja hivi kwa akili ya kawaida mtu anaweza kumbaka mtu asiyefahamu muda wote huo?
Binti amesema alikuwa na kitambulisho cha kupigia kura maelezo ya awali alidai ana miaka kumi na sita,
Mwisho kabisa kuna mahali binti amesema "sikuamini tena" akamalizia kwa vile umening'ata hapa binti ameshtuka kumalizia hivyo lakini ukweli inawezekana kulikuwa na ugomvi na jamaa alikuwa anamtuhumu mwenzake kwa kukosa uaminifu,.
Ukweli ni kwamba hawa watu walikuwa wanajuana ila ndo hivyo jamaa aatanyea ndoo sana maana binti kajipanga hasa.
Aisee.embu wapelelezi waanzie kuwaza hapa.
 
Binti hiyo Dushe ulivyoing'ata ungehakikisha unainyofoa kabisa..Hiyo ingekuwa ni hukumu tosha
 
Binti muongo sasa kitambulisho cha kupiga kura na miaka kumi na sita? Mara kuvunga mara laki mbili na nusu aaaahhh sasa kaka ake si alikuwa yupo kwanini asiende huko
? Ninaona ni makubaliano yao sema binti atakuwa ameshitukiwa tu na ndugu zake
Dogo ana miaka 15 anacho
 
Huu ni ugonjwa wa kisaikolojia. Na ninavyoona askari huyo amezoea kubaka pengine katika operesheni alizofanya, siyo mara yake ya kwanza. Wabakaji wenye ugonjwa wa kisaikolojia hawaoni raha kufanya mapenzi kwa makubaliano ya pande zote, hupenda kulazimisha ndiyo starehe yake. Pole sana binti.
 
Kuna watu sijui iyo audio mmesikiliza na makalio? Sababu binti kaeleza sababu na chanzo, lkn kuna wasengerema apa mnaropoka upumbavu na ujinga,uyo ffu kumaind kwa kumkuta jamaa na huyo denti ni moja ya biti zao kwan nazan binti alikua anaonekana mdogo kwa huyo msamalia wake aliemuomba kupiga simu kwa ndugu zake,
Na baada ya kujua hawana uhusiano wowote ndio afande akazidi kukomaa akijua tayari msosi,

Pili binti alipata aman baada ya kujua jamaa ni poti, hivyo hakua na mashaka tena, na alipoulizwa tunaenda wapi jamaa akasema pale ffu tuone cha kufanya, ndio maana binti akawa mpole sababu alijua huyo mtu mwema.

Ishu ya kubakwa nikwamba jamaa alibaka mpaka denti akazimia baada ya muda akashtuka sababu ya ubaridi uliokua pale, lkn bado akamkuta jamaa anazungusha nyonga ivo akaendelea kuvunga kama kazimia, jamaa akamaliza akataka kuondoka lkn denti akawa kama kaamka, ndipo poti akaona kumbe bado kazima akarudi tena na nguvu mpya pamoja na mbwembwe za kulambana,
Akang'atwa ndipo akapandwa na hasira akashusha kipigo mpaka binti kuzimia,

Kaja kushtuka ilikua saa nane na sio kwamba alifanywa mpaka saa nane gadem.

Ishu ya miaka apo na mimi napatwa mashaka lkn naamini ni mama yake alifanya ivyo ili kuipa kesi uzito zaidi kua kabaka mtoto under 18 na sio mtoto aliesema hivyo,.
 
Napinga vitendo vya ubakaji, kuna maswali mengi juu ya hili tukio, wataalamu wa mabo ya upelelezi wafanye kazi yao na haki itendeke. 16 yrs ana kadi ya kupigia kura(NEC) mpo?
 
"Alivyonipa ninyonye tena nikamng'ata, akakasirika sana akaniambia SIKUAMINI TENA, YANI UMENING'ATA, SIKUAMINI KABISA" basi damu ikawainamtoka nyingi sana, baadae akaniona kama nimezinduka akaanza tena kunibaka"-

From saa 2 mpaka saa 8 Usiku askari anambaka mwanafunzi tena baada ya kumkagua vitambulisho vyake bado kampanda tena na kumbaka?!,...
Huyo askari katumwa au alikunywa "Mkuyati"?!
Ina maana askari alirukwa na akili mpaka akasahau kabisa kwamba wapo katikati ya uwanja wa mpira?!
Ina maana askari alisahau ghafla kila kitu kuhusu yeye binafsi mara baada ya kumkuta binti njiani na kijana (fundi ujenzi)?!
Binti ni mzuri sana kiasi cha kumchanganya askari au askari alikuwa na ugwadu wa siku nyingi?!

Pole sana binti kwa yaliyokukuta, Ujana una mambo mengi sana, be careful!!
Kusoma hujui hata kusikiliza?? Sikilixa tena upate majibu yako kila kitu kipo wazi
 
Mi nadhani;
1. Namba ya Rehema ifatiliwe, je kweli huyu dada alipiga ikawa haipokelewi muda huo

Ninahisi:
Huyu dada alikuwa naahusiano na huyu jamaa, ila kuna kitu walizinguana. Haiwezekanj, mtu anakubaka uwanjani kuanzia saa mbili hadi sa nane.

Huyu dada alizidiwa na dudu ikabidi akimbie.

Story haiaminiki saaaana, FBI au CIA wanahitajika hapa
 
Kuna watu sijui iyo audio mmesikiliza na makalio? Sababu binti kaeleza sababu na chanzo, lkn kuna wasengerema apa mnaropoka upumbavu na ujinga,uyo ffu kumaind kwa kumkuta jamaa na huyo denti ni moja ya biti zao kwan nazan binti alikua anaonekana mdogo kwa huyo msamalia wake aliemuomba kupiga simu kwa ndugu zake,
Na baada ya kujua hawana uhusiano wowote ndio afande akazidi kukomaa akijua tayari msosi,

Pili binti alipata aman baada ya kujua jamaa ni poti, hivyo hakua na mashaka tena, na alipoulizwa tunaenda wapi jamaa akasema pale ffu tuone cha kufanya, ndio maana binti akawa mpole sababu alijua huyo mtu mwema.

Ishu ya kubakwa nikwamba jamaa alibaka mpaka denti akazimia baada ya muda akashtuka sababu ya ubaridi uliokua pale, lkn bado akamkuta jamaa anazungusha nyonga ivo akaendelea kuvunga kama kazimia, jamaa akamaliza akataka kuondoka lkn denti akawa kama kaamka, ndipo poti akaona kumbe bado kazima akarudi tena na nguvu mpya pamoja na mbwembwe za kulambana,
Akang'atwa ndipo akapandwa na hasira akashusha kipigo mpaka binti kuzimia,

Kaja kushtuka ilikua saa nane na sio kwamba alifanywa mpaka saa nane gadem.

Ishu ya miaka apo na mimi napatwa mashaka lkn naamini ni mama yake alifanya ivyo ili kuipa kesi uzito zaidi kua kabaka mtoto under 18 na sio mtoto aliesema hivyo,.
Unasikiliza maelezo ya upande mmoja unatengeneza hitimisho nahisi umebeba boksi baadala ya kichwa ulishawahi kukutana na askari akaanza kukuzinguwa bila sababu, kwa akili ya kawaida mbakaji anaweza kumbaka mtu kutoka saa mbili usiku mpaka saa nane tena mtu azimie uendelee kumsubiri aamke umbake tena. Waza nje ya boksi lako hilo.
 
Back
Top Bottom